Wazazibar wanakiwanda chao cha sukariYaan pamoja na mabilioni yote yanayotumwa huko kila mwezi bado watu ni maskini? nasikia wakikopa serikali ndiyo ulipia riba, mafuta ya petrol nk bei chini kama nchi za ghuba, sukari utafikiri uko cuba au Brazil, kama bado ni masikini sana basi hawa jamaa ni wavivu sana.
[emoji125][emoji125][emoji125]Kuuza urijali wao sio umaskini ndio moja ya fursa hizo za utalii na kwa taarifa yako wanaoenda kufanya umalaya Zanzibar wala sio Wazanzibar ni Wabara na mataifa mengine ya Kiafrika.
Hakuna vijana wanaoongoza kwa kugeuzwa na hao Watalii kama Wamasai na Vijana wengine wa Arusha wanaojifanya mabeach boy, low season ndio utawaonea huruma.
Nyiyi mnao oa mke 1 mbona ni yale yale tu kazi kujipa hadhi isioyenuLabda sababu ya kuoa wake wengi, ila wazanzibar hawafanyi kazi za ovyo ovyo
KinaitwajeWazazibar wanakiwanda chao cha sukari