Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Lakini hukushangaa makondakta wanaovaa hereni huko gongo la mboto??Mimi nilienda huko nikapanda daladala namcheck konda eti kapaka uwanja aah..sikumweka nikamuuliza ...eti ananiambia ni sunah hiyo ...eeh nikabaki nashanga hawa watu wanaishi maisha ya Karne gani sijui .
Thats the beauty of ZanzibarMtoa mada unamatatizo sio bure watu wenye wadhifa wao, utajiri na wafanyabiashara na mashuhuri wanaipenda Zanzibar ni sehemu moja iko kipekee kabisa kama una hela za kutumia nenda Zanzibar Tembelea stone town na uinjoy hotel za kifahari.
inasemekana Zanzibar ni sehemu pekee ukienda msikitini unaweza kuonana na waziri, wabunge , Rpc na ukapiga swaga nao bila shida yoyote ufahari, majivuno hawana wanaishi maisha yakawaida kabisa.
Na kuna watu wanatoka Tanzania bara na kuja Zanzibar kupatiwa matibabu tu hapo Mnazi mmoja hospitalIla Serikali yao inawapenda sana, huduma zote zinazotolewa na Serikali kama Elimu,Afya Umeme,Maji na n.k. aidha ni bure ama kwa gharama ya chini kabisa, hakuna magereza, badala yake kuna vyuo vya Mafunzo na humo ndani ya hivyo vyuo kunapatikana michezo ya kila aina, "mpira wa miguu,basketball,netball,Keram, draft na michezo mingine tele na anaemaliza kifungo chake kuna pesa ya kwenda kuanzia maisha huwa anapewa. Wenyewe wanaita "mshahara"yaani kipindi chote unachokaa jela unakuwa unalipwa.
...na wanatamba kutaka kuigeuza iwe kitovu cha Biashara kama Dubai!!![emoji16][emoji16]Yaani hapafaii kabisa sijui mji gani huu
Umefika chamba wima? nasikia pako doro sana.Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.
Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 or ndio mji wa kitalii labda.
Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehemu sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Ungekuwa unaelewa maana ya makaratasi usingenijibu hivyo.Wakati wewe ukiendelea kuijua kimakaratasi wenzako tunaijua kiuwezo pia.
Hujawahi kufika ila umejua ni pa hovyo? unapiga ramli mkuuJapokuwa sijawahi kufika Zanzibar ila pia sijawahi kabisa kuvutiwa na hicho kisiwa, Yani ni pa hovyo mno .. wamepita Marais wengi lakini hakuna kinachobadilika ..
Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.
Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 or ndio mji wa kitalii labda.
Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehemu sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Zanzibar mnatakiwa mbadilike mainjinia sijui mnafanya kazi gani mnashindwa kulipendezesha jiji yaani lami kama zimemwagwa zege hovyo hovyo miji ni michafu hatari. Kuwa jiji la kitalii haimaanishi muwe hivyo pendezesheni mji wenu wekeni pawe pasafi kama moshi, tengenezeni lami za kiaasa kama dar pawe pazuri
Plan ya miji iwe kila sehem na migahawa miuzuri na pasafi,
Huwa nakwenda Unguja kufuata yale mazingira sometimes kichwa kikishika moto.Mazingira fulani amazing!yanafanana na Dar ya zamani iliyokuwa tulivu.Vile vimtaa kama Casablanca!Upepo na utulivu.Maisha ya uswahili ule wa zamani,wenye ukarimu na mvuto wa kipekee kwa wageni.Wenyeji walio honest!Zanzibar iacheni hivyo hivyo pamoja na watu wake!Wengine tunaona adventure kwenda mazingira hayo!Embu waacheni wazenji wetu.Kama mnataka skyscrapers si muende Nairobi ma Dubai....labda hilo la misosi ndio walirekebishe maana lina ukweli ingawa some of us tunatazama kwa jicho la fursa.Kule hata nyumbani sometimes wavivu kupika so ukiweka mgahawa ukawa na taste na ukauza bei za kawaida utatapika hela!fursa hiyo nimewamegeeni!
Usikimbie hoja jibu hoja..kama ilivyokuja..mbona mnatesa na kutenga waswahili wenzenu ila wazungu mnawanyenyekea na kuwapa huduma ya chakula kipindi cha mfungo?
Dini..umaskini na ujinga ni tatizo kubwa sana kwa waafrika hasa jamii kama zenu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Wallahi...Acha uongo mkui
Acha uongo mkui
Unguja Hakuna wanawake kabisa.
Waliopo sura Kama za baba zao. Huwa nikienda unguja najiona Kama Niko msituni kila mwanamke anafanana sura na mimi
Wallahi...
Ni bora kwenda kula pale jirani katika capetown fish market kuliko kula forodhani
Masikini roho yakooooo! Hivi umetokea mikoani huko (tunaita madongo poromoka) umefika Dar ndiyo unajiona uko more civilized than Zanzibaris?
Dah[emoji28]Tatizo wanapenda kufuga majini kila nyumba kuna fugwa jini, kingine wanahamin Sana ushirikina utakuta Mume hajaonekana nyumban siku mbili mke anaenda Kwa mganga ili amsaidie, baadala aende kutoa taarifa polisi na kwenda hospital kumtafuta , chakushangaza wanaenda kwa waganga.
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku za sikukuu wanapanda kwenye daladala na bata, kuku