Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda waibe ila kiutaratibu hiyo ni serikali inayojitegemea..na hela wanayostahili kupewa ni ile 0.04 percent ya muungano kupitia wizara tu.Inabidi dk mwinyi amkumbatie sana mama wapate pesa za kutengeneza barabara na city plan
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Usiidharau nyumba ya mtu kwasababu hajapiga plasta nje! Ni ufinyu wa akili. Ndio maana wengi wanavaa nguo kwa lebo au michoro iliyopo nje lakini ndani mapumbu yanabanwa na nyuzi.Uko ulipo pataja hapafikii hata kijitonyama, Mikocheni, barabara mbovu , uko ulipo pataja kiwengwa, matemwe nungwi ndo hovyo kabisa wananchi wanaish vijumba vibovu hakuna maendeleo yoyote , hafu hakuna nyumba zaki fahari kabisa Yan, nyumba zao hawa pigi plasta nje, kwaiyo nyumba karibia zote nje hazija pigwa plasta.
Nikwel nyumba zao ni duni kabisa Yani, Jambo la kushangaza utakuta pesa wanazo lakini wanaishi maisha duni sijui pesa zao za majini, maana hawajui kutumia pesa. Utakuta mtu pesa anazo lakini Wana Kula vyakula vya ovyo, Yani wazanzibar hawajui kuvaa, Kula na kuishi maisha Bora, Hussein Mwinyi ana kazi kubwa ya kuwabadilisha kifikra.Zanzibar had nyumba ni duni za watu nilishangaa mno
Mwambie aje kwetu Mwambasa namkaribisha, kisha arudi tena nione atasema nini!Akaenda kutembea Matarumbeta kupitia kidongo chekundu, tayari kishachoka anaanza lawama!!
Kwahiyo gesti ndio maendeleo? Unawaza sana chini ndio tatizo.Nasikia hata lodge hakuna..sasa mji gani huo hata hawapendi wageni..hawa watu wabaguzi sana..ndio mana hawana hata maendeleo...kutwa kutegemea Tanganyika.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Fact ..Nadhani hulika ya kiswahili na kuridhika na vitu viduchu inawafanya wawe nyuma.
Ufinyu wa akili wanao wao haiwezekani Kata nzima nyumba zote hazija pigwa plasta?Usiidharau nyumba ya mtu kwasababu hajapiga plasta nje! Ni ufinyu wa akili. Ndio maana wengi wanavaa nguo kwa lebo au michoro iliyopo nje lakini ndani mapumbu yanabanwa na nyuzi.
Hizo nyumba ambazo hazijapigwa plasta kwani wamekujengea wewe? Hata makaburi yanapigwa plasta na tiles juu lakini wanaishi marehemu!! Huwezi kumpangia mtu vile anavyotaka kuishi. Then wazanzibar wengi ufakhari na kujionesha hawana.Ufinyu wa akili wanao wao haiwezekani Kata nzima nyumba zote hazija pigwa plasta?
Mbona ume paniki sana? Relax dogo. Maisha hayataki hasira.Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?
Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
Hakuna aliyepaniki kijana, unaweza kuniita dogo kumbe mwisho wa siku ni baba yako mdogo!Mbona ume paniki sana? Relax dogo. Maisha hayataki hasira.
Siyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia helaHizo nyumba ambazo hazijapigwa plasta kwani wamekujengea wewe? Hata makaburi yanapigwa plasta na tiles juu lakini wanaishi marehemu!! Huwezi kumpangia mtu vile anavyotaka kuishi. Then wazanzibar wengi ufakhari na kujionesha hawana.
Naona umepanik sana haya maisha unavyoona wewe si wanavyoona wengine. Tuliza akili usipaniki na mambo madogo. Sisi watu wazima uzoefu unatusaidia sana dogo.unatokea wapi? Jambia nini,unayechamba wima au upo kundu uchi? 😁😁😁😁Hakuna aliyepaniki kijana, unaweza kuniita dogo kumbe mwisho wa siku ni baba yako mdogo!
Yaani nilochogundua wengi wenu mnaona luxury ndio maisha!! Jaribu kubadilika usione kuvaa nguo ya bei kuwa na nyumba ya bei kuwa na gari ya bei kununua vitu vya bei kula vyakula vizuri vizuri ndio maisha, unapotea sana.Siyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia hela
Hayo ndo Maisha, sasa utakuta wa Zanzibar Wana kipato lakin wanaishi maisha ya chinYaani nilochogundua wengi wenu mnaona luxury ndio maisha!! Jaribu kubadilika usione kuvaa nguo ya bei kuwa na nyumba ya bei kuwa na gari ya bei kununua vitu vya bei kula vyakula vizuri vizuri ndio maisha, unapotea sana.
Naona umepanik sana haya maisha unavyoona wewe si wanavyoona wengine. Tuliza akili usipaniki na mambo madogo. Sisi watu wazima uzoefu unatusaidia sana dogo.unatokea wapi? Jambia nini,unayechamba wima au upo kundu uchi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Umepaniki sana. Tulia....wewe si mkazi wa zanzibar....ngoma siyo yako why unaivalia kibwaya? Tulia......Jibu lako liko hapa hapa kwenye post yako! Haina haja ya kuandika maneno mengi sana. Tatizo mnakwenda mbele na kujikosoa wenyewe! Kuweni na upeo na sio mnafikiria hapa karibu bila kuona mbali.
Kwetu Bagamoyo hapo. Unaweza kuniita dogo kwa vile hatufahamuani, endelea...
Utampangiaje mtu kipato chake akitumie jinsi unavyotaka wewe?! Wazanzibar wengi ni waumini wa dini ya Kiislam hivyo katika mafundisho ya Kiislam yanakataza israf.Hayo ndo Maisha, sasa utakuta wa Zanzibar Wana kipato lakin wanaishi maisha ya chin
Dunia nzima hakuna mtu mwenye asili ya Sehemu moja... Hata Wangoni inasemekana koo zao zimetokea Afrika kusini.Umepaniki sana. Tulia....wewe si mkazi wa zanzibar....ngoma siyo yako why unaivalia kibwaya? Tulia......