Mtu kwao.....huyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
Mengi au Ali Mafuruki umeshawahi kusikia kasaidia Zanzibar?huyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
Dogo acha wivuNdege au vijidege?
Unachuki na bashite sijui alikupumulia kwa mkopobashite anatamani amfilisi na huyu, ahongwe kandege kamoja
Shkamoo bakhresa na wakina kanjunju na Sisi tutaanza kupanda ndege soonKampuni za Azam zimeendelea kufanya mapinduzi ya uwekezaji kwa kuanza kuwekeza katika Usafirishaji Wa anga kwa kutegemewa hivi punde kushusha ndege 15 kwa ajili ya shughuli za usafirishaji kutoka Zanzibar kwenda maeneo jirani
View attachment 718548
Na jisukari lenu hatulitaki mwisho chumbeeeKenya nayo ni nchi, mkiona nchi yenu ni bora wataenda Nairobi, Mombasa na kwingineko.
Sasa hivi hamumtishii kitu, Azam wapo karibia nchi zote za Afrika mashariki mkikataa kununua mikate yake atawauzia Kenya, mkimzimia Azam tv atarusha kutokea Kenya, Rwanda na Uganda.
Kule Fumba ameamua kuwalazimisha muende wenyewe kwa hela yenu na wiki hii anakuja na Hotel Verde mtaenda hata kwa mitumbwi tu kushangaa.
Na midada poa yenu iliyojazana hotelini haitakiwi mwisho Kigamboni.Na jisukari lenu hatulitaki mwisho chumbeee
Acha wivu wa kipumbavuNdege au vijidege?
Ni vijidege tu hivyo,hakuna cha wivuAcha wivu wa kipumbavu
Na nyie mapunga muishie hukohuko kwa kina kiringoNa midada poa yenu iliyojazana hotelini haitakiwi mwisho Kigamboni.
Na nyie kina Bashite na Babu Seya muishie hukohuko wanaume wazima mnamhanya mwanaume mwenzenu.Na nyie mapunga muishie hukohuko kwa kina kiringo
Kiringo nasikia kawamaliza kwelikweli habari za kweliNa nyie kina Bashite na Babu Seya muishie hukohuko wanaume wazima mnamhanya mwanaume mwenzenu.
tena watu wenye akili kali ya kibiasharaNimeanza kuamini nyuma ya bakhresa kuna watu.
Hongera Azam company