Tetesi: Zanzibar kupokea ndege 15 kutoka kwa Bakhressa

Kichwa cha habari. Nilidhani Bakharesa amenunua hizo ndege na atazikabidhi kwa serikali ya Zanzibar, kumbe ni zake mwenyewe....
 
Kampuni za Azam zimeendelea kufanya mapinduzi ya uwekezaji kwa kuanza kuwekeza katika Usafirishaji Wa anga kwa kutegemewa hivi punde kushusha ndege 15 kwa ajili ya shughuli za usafirishaji kutoka Zanzibar kwenda maeneo jirani

View attachment 718548
Shkamoo bakhresa na wakina kanjunju na Sisi tutaanza kupanda ndege soon
 
Kwahiyo kutusema wamatumbi maana yako ni nini
 
Na jisukari lenu hatulitaki mwisho chumbeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…