ungekuwa msafiri wa ndani maeneo tofauti ungeelewa tu .Kununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
Asante mkuu.. Nakubaliana na we we..lakini kama navyosema nchi bado inavyo vingi ambavyo directly vinaweza kubadili maisha ya watanzania.Usafiri wa anga ni sehemu mhimu sana katika uchumi wa nchi, halafu sio lazima watanzania milioni 55 wapande hizo ndege ndio uone faida, its a matter of direct and indirect benefit to the community!!
Allamsik mkuu
hizi tabia za kuyabeba mashirika ya serikali ili tu ionekane yanashindana na mengine ndo kitu kitakacholeta mdondoko wetu......kama umefanya kazi kwenye mashirika ya ndege lazima ujue ni kuwekeza zaidi kwe customer service kuliko investment nyingii ya mandege wateja wakiwakataa inakula kwenu...ATCL bado inapoor customer service na tatizo la viongozi wanawaza kwa kuiangusha fastjet na precision air ndo wanahisi wao watasimamaUsafiri wa anga ni sehemu mhimu sana katika uchumi wa nchi, halafu sio lazima watanzania milioni 55 wapande hizo ndege ndio uone faida, its a matter of direct and indirect benefit to the community!!
Allamsik mkuu
Huku anachuma tuhuyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
Kampuni za Azam zimeendelea kufanya mapinduzi ya uwekezaji kwa kuanza kuwekeza katika Usafirishaji Wa anga kwa kutegemewa hivi punde kushusha ndege 15 kwa ajili ya shughuli za usafirishaji kutoka Zanzibar kwenda maeneo jirani
View attachment 718548
Ferry boat nauli ya chini kabisa ni 25k then unaongelea flights?Nauli iwe Angalau elfu 30
Kwasababu huyu ni mzanzibari,kama vile Mengi anavyosaidia Tanganyika tu sijamsika kusaidia Zanzibar..Mkuu huo sio msaada ni biashara yake hasaidii mtu hapo...,zindukahuyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
Air Tanzania haina hata hivyo vibajaji vya angaani...Kumbe ni vibodaboda vya angani
huyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
Fastjet na precision airways wajiandae, ila bila shaka hizo ni ndege used tena za kukodi
acha dharau babako hata baiskeli hanaNdege au vijidege?
kasaidia nini zanzibar?huyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
watu mna wivuFastjet na precision airways wajiandae, ila bila shaka hizo ni ndege used tena za kukodi
Pesa anatafuta yeye ,, na wewe tafuta ili uisaidie barahuyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
Wewe ni mchochezihuyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?