Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tume ya uchaguzi ya Zanzibar imetangaza kufuta majimbo manne ya uchaguzi na hivyo kubaki majimbo 50 pekee, ambapo Unguja yatakuwa 32 huku Pemba yakibaki 18.
Haijafahamika kama Tume imejituma yenyewe kufanya jambo hilo au imetumwa ili kuwaokoa watu fulani na wala hakuna sababu zozote za maana zilizotolewa.
Pia soma:
Zanzibar: ACT Wazalendo wapinga Upunguzaji wa Majimbo kutoka 54 hadi 50, Wadai ni njama za CCM
Mkoa wa Kusini Unguja (Majimbo Matano)
Mkoa wa Mjini Magharibi (Majimbo Kumi na Tisa)
Mkoa wa Mjini (Majimbo Kumi na Tisa)
Mkoa wa Kaskazini Pemba (Majimbo Tisa)
Mkoa wa Kusini Pemba (Majimbo Tisa)
Haijafahamika kama Tume imejituma yenyewe kufanya jambo hilo au imetumwa ili kuwaokoa watu fulani na wala hakuna sababu zozote za maana zilizotolewa.
Pia soma:
Zanzibar: ACT Wazalendo wapinga Upunguzaji wa Majimbo kutoka 54 hadi 50, Wadai ni njama za CCM
MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
Mkoa wa Kaskazini Unguja (Majimbo Manane)
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|