Zanzibar 2020 Zanzibar: Majimbo manne ya uchaguzi yafutwa na kubakiza Majimbo 50

Zanzibar 2020 Zanzibar: Majimbo manne ya uchaguzi yafutwa na kubakiza Majimbo 50

Hujuma zimeshaanza!!!

Serikali yoyote inayofahamu haina ubavu wa kushinda kwenye fair election pamoja na mambo mengine lazima watumie gerrymandering!

Lakini wakumbuke kufuta majimbo hakupunguzi idadi ya watu wanaoweza kuindoa CCM Madarakani!!
Maelezo ya kwenye video mbona yanajitosheleza kabisa. Haiingii akililini majimbo ya Bunge la Muungano ni 50 halafu majimbo kwa upande wa Wawakilishi yawe ni 54.

Ningefurahi na huku Bara majimbo yangeainishwa upya ila yaendane na idadi ya wilayo tulizonazo. Sababu ya ukubwa wa eneo si hoja kwani kuna madiwani
 
Maelezo ya kwenye video mbona yanajitosheleza kabisa. Haiingii akililini majimbo ya Bunge la Muungano ni 50 halafu majimbo kwa upande wa Wawakilishi yawe ni 54.

Ningefurahi na huku Bara majimbo yangeainishwa upya ila yaendane na idadi ya wilayo tulizonazo. Sababu ya ukubwa wa eneo si hoja kwani kuna madiwani
People always have justifications for what they do, lakini mtu hana haja ya kuwa na Shahada ya Political Science kufahamu lau kama Pemba ingekuwa ndo ngome ya CCM na Unguja ndio ngome ya upinzani, suala la kuunganisha majimbo lingekuwa ni kinyume chake!!
 
Zanzibar ilitakiwa kuwa na majimbo 10 tu!
10 yote ya nini? Unguja ilitakiwa iwe jimbo ndani ya mkoa wa Dar Es Salaam na Pemba ni jimbo ndani ya Mkoa wa Tanga.
mbunge mmoja pemba na mwakilishi mmoja unguja wanatosha, serikali ya JMT itizame hili kuepusha gharama zisizo za lazima!
 
Ni upumbavu wa CCM ili wadhibiti bunge la wawakilishi kwa sababu Pemba huwa hawapati jimbo hata moja!
 
Hata hayo Majimbo 50 bado ni Mengi yafutwe yabaki 40.
 
Sikio la kufa halisikii dawa. Mfa maji hukamata maji
 
Baada ya matokeo kuwa basi tume ikafuta matokeo hayo kwa sababu eti baadhi ya wajumbe walivua mashati kwenye ukumbi wa kuhesabu kura!
 
Back
Top Bottom