Zanzibar 2020 Zanzibar: Majimbo manne ya uchaguzi yafutwa na kubakiza Majimbo 50

Zanzibar 2020 Zanzibar: Majimbo manne ya uchaguzi yafutwa na kubakiza Majimbo 50

Hayo yaliopunguzwa ni kutoka Pemba au Unguja?
Natamani na Tanganyika yapungue jamani. Wingi wa wabunge unaliangamiza taifa. Wabunge ni wawakilishi Tu sio lazima wawe wengi.
Wabunge 394 Kwa nchi hii ni wengi Sana.
250 Tu wanatosha.

2020
Ila lile la Gwaji boy wasilipunguze.
 
Hujuma zimeshaanza!!!

Serikali yoyote inayofahamu haina ubavu wa kushinda kwenye fair election pamoja na mambo mengine lazima watumie gerrymandering!

Lakini wakumbuke kufuta majimbo hakupunguzi idadi ya watu wanaoweza kuindoa CCM Madarakani!!
kupunguza majimbo ya wapinzani si hujuma inategemea uko upande upi kutafsiri mambo! hiyo si hujuma ni mipango na mikakati ya ushindi, jingine ni kuhakikisha wagombea ubunge hatari toka upinzani wanakosa vigezo vya form za ubunge au wanacheleweshwa kurudisha forms hadi muda unapita, jingine ni magoli ya mkono vituo vya kupigia kura hadi ofisi kuu!!!mwenyekiti wa tume unaanzaje kumtangaza mpinzani kashinda huna akili? hujali tumbo lako na matumbo ya wanao?

Katika wakati huu nchi imetangazwa kuwa na uchumi wa kati na nchi inayaona mawe makubwa ya Tanzanite kwa mara ya kwanza , umeme haukatwi tena kwa kuuzia majenereta , ndege kama zote na SGR inashika kasi , naishauri tume ya uchaguzi ihakikishe wapinga juhudi wa bara wasipate kiti hata kimoja bungeni sababu kelele zao kupitia bungeni ndo zinaletwa mwangwi ambao unavuka bahari na kutua ulaya na marekani na kuchafua juhudi za Mkulu.
 
kupunguza majimbo ya wapinzani si hujuma inategemea uko upande upi kutafsiri mambo! hiyo si hujuma ni mipango na mikakati ya ushindi, jingine ni kuhakikisha wagombea ubunge hatari toka upinzani wanakosa vigezo vya form za ubunge au wanacheleweshwa kurudisha forms hadi muda unapita, jingine ni magoli ya mkono vituo vya kupigia kura hadi ofisi kuu!!!

Katika wakati huu nchi imetangazwa kuwa na uchumi wa kati na nchi inayaona mawe makubwa ya Tanzanite kwa mara ya kwanza , umeme haukatwi tena kwa kuuzia majenereta , ndege kama zote na SGR inashika kasi , naishauri tume ya uchaguzi ihakikishe wapinga juhudi wa bara wasipate kiti hata kimoja bungeni sababu kelele zao kupitia bungeni ndo zinaletwa mwangwi ambao unavuka bahari na kutua ulaya na marekani na kuchafua juhudi za Mkulu.
Pole sana
 
kupunguza majimbo ya wapinzani si hujuma inategemea uko upande upi kutafsiri mambo! hiyo si hujuma ni mipango na mikakati ya ushindi, jingine ni kuhakikisha wagombea ubunge hatari toka upinzani wanakosa vigezo vya form za ubunge au wanacheleweshwa kurudisha forms hadi muda unapita, jingine ni magoli ya mkono vituo vya kupigia kura hadi ofisi kuu!!!mwenyekiti wa tume unaanzaje kumtangaza mpinzani kashinda huna akili? hujali tumbo lako na matumbo ya wanao???

Katika wakati huu nchi imetangazwa kuwa na uchumi wa kati na nchi inayaona mawe makubwa ya Tanzanite kwa mara ya kwanza , umeme haukatwi tena kwa kuuzia majenereta , ndege kama zote na SGR inashika kasi , naishauri tume ya uchaguzi ihakikishe wapinga juhudi wa bara wasipate kiti hata kimoja bungeni sababu kelele zao kupitia bungeni ndo zinaletwa mwangwi ambao unavuka bahari na kutua ulaya na marekani na kuchafua juhudi za Mkulu.
Mkuu habari za Geita
 
Zitaje sababu zilizoelezwa ili na sisi tujiridhishe wenyewe kwamba sababu hizo siyo za maana kama wewe unavyodai? Hapo hapo unasema haijafahamika kama Tume imejituma yenyewe au la. Kwa nini usidodose kwanza undani wa mambo ili kuzipa mshiko hoja unazozitoa?
maswali yako yanamhusu aliyefuta majimbo
 
Mkuu habari za Geita
Mkuu ahsante kunijali nilikuwa Geita nimetoka kidogo nimekuja Zenj kuweka mikakati ya udhamini wa Mh Jecha washamba visiwani wanamzingua !! Mh Jecha ni mtu jasiri na genius kuliko wote Zenj kwasasa ndie pekee Tanzania bara anatufaa!!

Huyu Jecha ndie rais bora na anaefaa kuwanyoosha na kuwakomesha wazenji kwa kuleta nidhamu serikalini na mtaani, nawashauri kamati kuu sisiem bara kufanya figisu Jecha adhaminiwe! Kwa desturi wanafunzi humkataa mwalimu mkali na mwalimu mkali ndie huleta matokeo bora na makubwa!! Twende na Jecha 2020!
 
Walipofuta ule uchaguzi wa zanzibar,tulitegemea wapo wenyewe wangefanya makubwa kwenye uchumi wa mtu mmoja mmoja,
Lakini matokeo yake miaka 5 hali ndiyo imezidi kuwa mbaya sana ,siyo visiwani tu hata huku bara.
 
Walipofuta ule uchaguzi wa zanzibar,tulitegemea wapo wenyewe wangefanya makubwa kwenye uchumi wa mtu mmoja mmoja,
Lakini matokeo yake miaka 5 hali ndiyo imezidi kuwa mbaya sana ,siyo visiwani tu hata huku bara.
mkuu rekebisha kauli yako aliefuta uchaguzi ni mtu mmoja tu genius Mh Jecha ambae ni anafaa kwa urais sababu hawamtaki na washamba wale wanamzingua udhamini hadi sasa timu nzima tumeenda kumsaidi!! nimeona umetumia nafsi ya wingi!!! Zanzibar is our colony mkuu kuendelea kwao lazima kwanza waache uvivu wafanye kazi na wasome na kisha waje huku bara na mkakati mzuri wa kiuchumi tuukague na tuupitishe na hiyo sio leo!!
 
maswali yako yanamhusu aliyefuta majimbo
Kwa nini sasa ulete mada hapa jamvini kwa taarifa nusunusu? Kama ulitaka myamalize wawili tu na mfuta majimbo, usitujuze kabisa sisi tusiohusika kwani unaamsha shauku bure kwetu kujua kulikoni.
 
Walipofuta ule uchaguzi wa zanzibar,tulitegemea wapo wenyewe wangefanya makubwa kwenye uchumi wa mtu mmoja mmoja,
Lakini matokeo yake miaka 5 hali ndiyo imezidi kuwa mbaya sana ,siyo visiwani tu hata huku bara.
tena Zanzibar 100% ni wawakilishi wa ccm tu , lakini dhiki ni mara dufu !
 
Hata hivyo zanzibar ilitakiwa iwe na majimbo mawili tuuu
 
yaani ma CCM ni mepesi kuliko sufu, bila janja janja 'wanagaragazwa' mapemaaa kabisaa………………………..
 
zanzibar ina idadi sawa na Wilaya ya Kinondoni iweje iwe na wabunge 50
 
Wenyewe wamasema hio ni kama Kashata hata uikate vipi utamu ni ule ule. Ukiikata pembe tatu, square, mduara bado utamu ni ule ule. Kiufupi CCM hawapo kabisa huku Zanzibar, wapo ambao wana act tu kuwa CCM ila ukikaa nao pembeni wanasema tunatafuta ulaji tu. Wakienda kupiga kura wanapiga Upinzani, kwa uhakika kabisa wapo askari, majeshi na wana vikosi huku Zanzibar ni wapinzani na wanapigia kura upinzani ila kwa nje wanajifanya CCM.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tayari
 
Back
Top Bottom