Zanzibar: Meli ya Serikali iliyokarabatiwa kwa Tsh. Bil 3.6 yauzwa kwa Tsh. Mil 536.8
"Black People can not rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society. Give them guns, they would kill themselves, give them power, they will steal all the Government (Public) money, give them Independence and Democracy, they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings and wars."
P. W. Botha
 
"Black People can not rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society. Give them guns, they would kill themselves, give them power, they will steal all the Government (Public) money, give them Independence and Democracy, they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings and wars."
Kuna watu wanaitwa wasomali na waethiopia nilikuwa siwajui walivyo na akili mbovu za kikabila na udini, niliishi nao kidogo lakini nilichoona kidogo kuhusu jamii yao wanavyochukiana na kujiona bora zaidi ya wengine mungu awasaidie tuu, hawa watu kama wewe sio kabila lake au dini yake ni kama nusu binadamu kwake na kila kitu chako ni wrong kuanzia chakula, unavyovaa, culture ,dini etc naamini ile vita watachapana mpaka mwisho wa dunia
 
Bora wangepeleka chuma chakavu ikayeyushwe kuwa nondo kuliko hasara hiyo
 
Wizara ya Uchukuzi Zanzibar imechukua uamuzi wa kutoendelea na ukarabati na kuiuza Meli hiyo kwa mnunuzi ambaye hajatajwa ili kupunguza hasara.
Kuna siku Mh. Rais akiwa Kigamboni alisema wanategemea kuwaachia kuacha uendeshaji wa vivuko kwa taasisi binafsi. Nadhani zile taasisi ndo zishaanza kukusanya working tools! Tusubiri muda ni muamuzi mzuri!!
 
Hii inanikumbusha bajaj yangu nilishatengeneza hadi nikachoka kuangalia matengenezo ya miezi minne ni 1.2 milion .
Nikaona hapa ntatoka busha na hii chombo ngoja niuze ,nikaja kupata mteja wa laki 4 tena kwa awamu na pia nahisi kuna kama elfu 20 sijapewa hadi leo.
 
Zanzibar hawana uchungu maana Sasa mahela yanamwagwa toka Tanganyika.
 
Hapo kuna mtu kajiuzia baada ya matengenezo kukamilika.
 
Uchumi wa blue uliondoka na Magufuli. Kwa sasa sisikii tena ule wimbo. Hata zile meli nne mpya walizopanga kununua kwa ajili ya uvuvi deep sea kuke zenji imebaki historia.
 
Meli hizo zimeisha zeeka, lazima ziuzwe kama screpa. Mwenye kosa ni aliyeandaa bajeti ya marekebisho
 
Hii inanikumbusha bajaj yangu nilishatengeneza hadi nikachoka kuangalia matengenezo ya miezi minne ni 1.2 milion .
Nikaona hapa ntatoka busha na hii chombo ngoja niuze ,nikaja kupata mteja wa laki 4 tena kwa awamu na pia nahisi kuna kama elfu 20 sijapewa hadi leo.
Labda wengi hamjui kuhusu meli,meli Bora uuze Kwa hasara kuliko kuendelea nayo. US government walitoa bureeeee retired Aircraft carrier sababu cost ya kuidismantle kama chuma chakavu ni kubwa kuliko Thamani ya hivo vyuma.

Ndio maana haya mameli mabovu unayoyaona yanaozeana baharini wakati yangeuzwa chuma chakavu hayauziki sababu ya gharama kubwa Sana kuikatakata na kuisafirisha ukauze.

Bangladesh na Nchi kadhaa za kimaskini ndio wameweza kulishikilia soko la kukata kata meli sababu ya very cheap labor na wana vifaa.

Serikali ilichofanya ni sawa ila pesa imepigwa hapo kwenye 1.5m$
 
Mambo ya nchi Jirani hayo hayatuhusu.
Kwenye taarifa ya habari ITV nimeona kwamba asilimia 80 ya watahiniwa wa 4m 4 wanapata division zero na weak 4.
Roughly 80% wanapata zero. Watu hao Div zero ukiwaweka kwenye vyeo vya maamuzi.......
 
Kwani huyo AZAM ni Nani hasa au ni Nani Yuko Nyuma yake !!

Familia ya Mwasisi Wa Mapinduzi SIO malofa.

Ni Kule butiama tu alizembea akaacha kupeleka Watoto wake Harvard university na Sasa watu wenye Akili ndogo wanalamba asali na wenye Akili KUBWA Wanabaki kuwa watu Wa kuhurumiwa.

Acha wafu wawazike wafu wao.
 
Back
Top Bottom