Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

..Wazanzibari wamuondoe Hussein Mtanganyika anayewatawala kimabavu.

..Na huku Tanganyika tumuondoe Samia. Haiswihi Mzanzibari atutawale Watanganyika.
Well, that's very poor from you...
 
Nlienda zenji bwana , kule neno " kukufira" ni kama kibwagizo cha wimbo ulio bora

Wanapend sana kutumia neno kufirana ktk maongezi yao, hadi nkauliza vp mbona kwa siku neno kufira hutumika mara nyingi kuliko neno lingine, jamaa hawakua na majibu

Sasa kwa uzi huu nmejua kumbe hii nayo ni sehemu ya utamaduni.
 
Mkuu acha ubishi fuata ushauri wawadau. Kukataza watu kula ni kuingiza mambo yanayowezekana ngazi ya familia kwenye taifa zima. Hapo mtafeli tu
 
Ondoa chuki kwanza ndipo uwe free kujadili,bila hivyo mjadala wako utakuwa unageuka kuwa emotional badala ya kutumia facts.
Ukweli si chuki, tatizo ni kwamba nimenyooka! Sikubaliani na unafiki.
Umalaya upo duniani miaka na miaka,hata mambo ya Sodomy yapo duniani zaidi ya miaka elfu kabla ya kuzaliwa kristo na Bado hadi Leo yanaendelea kiasi Cha kufikia hadi kiongozi wenu Mkuu Papa kutoa holy permit Kwa watu kuendelea na ndoa hizo .
Kuntu! kwahiyo ni makosa kusema Tanganyika inapeleka malaya. Zanzibar kama sehemu ya dunia ina malaya
Tofauti inaweza kuwa mini sketi na buibui
Nachokueleza ni kwamba Zanzibar Ina by laws zake ambazo wakazi na wageni lazima wazifuate,na hizo by laws ziko prescribed na enforced pale zisipofuatwa.
Ndio lakini si kwa kuchagua. Mtanganyika akila ni tatizo, Wazungu wakila poa!
Mkenya akiwa kahaba poa, Mtanganyika ni haramu
Sasa huwezi kuwapangia wasitekeleze eti Kwa kuhofia watalaumiwa na wewe uliekwenda huko.
Nani anawapinga? Waweke sheria zao kama ile ya kuzuia ndizi na nyingine nyingi za kibaguzi.

Hizo bikini unazosema kwani zimeanza lini?na unataka wafanyaje Nini Sasa,wachapwe viboko ndiyo uone kama juhudi hazifanyiki?
Siku hizi zimezidi na kuwa kazi ya kipato. Hakuna shida ! ni kazi kama nyingine.
Tatizo ni pale Wazanzibar wanaobeba mabinti wa kizungu wakifubata ! subhanallah ! hakuna binti wa kizungu anayerudi majini mara ya pili. Wanakumbuna na yasiyoandikika hapa ! Huo ndio utamaduni wa Zanzibar!
Wageni wanapofika wanaelezwa,na huwezi kutumia nguvu kwenye kila jambo, tambua ukweli na uukubali hata kama ni mchungu.
Sasa Watanganyika si wageni! wafuate sheria. Ipo siku watakuwa wageni wetu! ipo inakuja
 
Still you don't get it,

Siyo suala la kusema eti jamii imeamka or otherwise,hivyo vitu viko stipulated kwenye by laws na zinaweza kuwa enforced pale inapobid utambue.

Besides,hiyo Zanzibar kuungana na wewe Tanganyika haimaanishi imepoteza legitimacy yake ya kujiamulia mambo yake,na ndiyo maana unaona Kuna mambo ya muungano na Kuna mambo siyo ya muungano,Hilo mbona Liko wazi?

Sasa unataka kupinga vipi kitu kilicho wazi na kinafahamika?
 
Mila za Waarabu
 
Kumkamata anayekula ambaye hakulazimishi wewe kula, ni uwendawazimu wa hali ya juu.
 
It's too bad Kwa mtu kama wewe kuutambua huu ukweli ninaokueleza Kisha kuamua kuignore kuukubali,haitakuwa na maana ya kujadili Sasa.

Nani kavaa bango usoni au mgongoni anapobeba mzungu au Malaya ya kwamba yeye ni mzanzibar au mtannganyika au mkenya?

Utaweza vipi kumtambua,hata wamasai kutoka Arusha now days wamejaa Zanzibar kutafuta wazungu.

Haya mmasai kaja na sime zake na visu,mfano tuh tuseme Kwa mfano Zanzibar wawe wanakataza kutembea na vifaa hivyo kwao ni hatarishi na kuamua kumzuia mmasai kisheria,unataka mmasai akikaidi aachwe Kisa eti ni uhuru wake mbona akiwa Tanganyika hasumbuliwi?

Basi kama hawezi kufuata hizi taratibu huyo mmasai na anataka uhuru basi arudi zake Tanganyika.

Dar es salaam ukitupa taka taka hovyo hakuna MTU anakufanya chochote,ila Moshi na Kigali ukitupa taka taka hovyo ukishikwa by laws zitakubana mahakamani ulipe faini au kifungo,ni utaratibu tuh.
 
..very poor of me kivipi?

..kwanini Watanganyika tutawaliwe na Mzanzibari?

..yaani Watanganyika mil 60+ tumekosa mtu wa kutuongoza mpaka tuletewe Mzanzibari?
Nenda kamtoe ikulu Sasa!!

It's better for you to go,Tena ikibid ukimtoa jitangaze wewe ndie Raisi wetu na sisi bila shaka tutakutii na majeshi yatakulinda bila ya shida yoyote.
 
Umesmkia mkenya,au mzungu,au mnyarwanda analalamika?
Hawana sababu za kulalamika ni Wageni.
Watanganyika wanasema, Wazanzibar wakitaka ardhi Tanganyika au fursa wanasema sisi ni nchi moja.
Halafu leo unawalinganisha na Wakenya au Wanyarwanda

Watanganyika wanatoa pesa nyingi sana kwa Serikali ya Zanzibar, nyingi kuliko Bajeti yao.
Leo unawalinganisha na Wanyarwanda

Ikiwa unataka Wtaanganyika wawe wageni! itakula kwao maana nusu yao wanaishi Tanganyika tena bila malipo.
Wanapata huduma kama rai wengine. Hivyo Kuna sababu Watanganyika kulalamika.

Huwezi kuwatumia kama 'toilet paper'
Nakuambia watanganyika Kwa kuwa waasisi wa hizo kelele ni nyinyi,na msingi mkubwa wa kelele zenu ni chuki tuh,hakuna kingine...
Chuki na Zanzibar itoke wapi? Kuna nini cha ziada. Wengine tumeamua kuitetea Tanganyika! kama ni chuki iitwe

Naikiwa mtu wa Pwani nakubaliana nawe. Tatizo ni pale yule mtu aliyekula Zanzibar alikuwa anaadhibiwa kwa UBARA.
'' hayo mambo ni ya bara, huyu ni bara' na kila aina ya tusi kana kwamba Ubara ndio umemtuma mtu ale.
Lakini pia mtu aliyeadhibiwa ni kwa UBARA, Wazungu, Wakenya wakila sawa. Hapo ndipo chuki inapoanza

Kumwadhibu mtu kwa UBARA ni chuki ndiyo inawatibua Watanganyika.
sheria zisibague Ubara
 
Mnalishwa Bure kwani wewe hujui? Kuanzia viongozi wenu mpaka hayo mabaraza yenu pamoja na wabunge wenu wewe unafikiri Kwa mapato ya utalii yanatosha kuwalisha hao wote na kuendesha nchi? Acha ujuha tanesko tu yenyewe inawadai deni kubwa kiasi halilipiki mnakula umeme Kwa jasho la wabara Sasa mmevimbiwa mnaanza kujamba hovyohovyo Waheed nyie wapemba kwenu Oman rudini huko mkalinde utamaduni wenu
 

..you and your fellow Zanzibaris dont get it.

..huku Tanganyika kuna Rais Mzanzibari, halafu bila aibu mnanyanyasa na kudhalilisha Watanganyika walioko Zanzibar.
 
Nenda kamtoe ikulu Sasa!!

It's better for you to go,Tena ikibid ukimtoa jitangaze wewe ndie Raisi wetu na sisi bila shaka tutakutii na majeshi yatakulinda bila ya shida yoyote.

..aondoke mwenyewe toka Ikulu ya Watanganyika maana nyinyi Wazanzibari ni wastaarabu na waungwana.
 
Peleka ushetani wako huko

Ile ni nchi ya kiislamu, na sio nchi ya kikafiri, hivyo usilazimishe wafuate mila zenu

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Ondokeni na nyie kwetu, mnatulisha vibudu, eti mkristo asherekee Pasaka chumbani sababu ya ujinga wenu huko.

Hivi serikali ikiamua ifanye sensa ya DINI aise utakimbia huu uzi, hata hii comment yako utaifuta mlivyo wachache, basi tu Uislamu ni dini ya amani na huruma, ingelikua nchi hii haina waislamu sijui kama wewe au katika familia yenu mgebaki salama. Refer Congo, rwanda na south afrika ambapo waislamu ni wachache, halafu mnaleta jeuri na kibri.
 
shida wazenj wanajiona ni waarabu wafia dini, kumbe ni mapu💩nga yamejazana kila nyumba... Yanaacha kukemea ufir🐷ji uliokithiri wanahangaika na mabadiriko ya sayansi teknolojia na nyakati za sasa. .

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Hakuna alieuzuiwa kula Zanzibar, taarifa hizo mnazizua nyinyi makafiri wa huku bara,Kuna mkristo Gani au kiongozi Gani wa kikristo kasema kuwa amenyimwa uhuru wa kula au kuabudu Zanzibar?

Makafiri wa bara kinachowasumbua ni chuki tuh,ukitaka kwenda Zanzibar sharti ufuate taratibu za kule,hutaki bakia kwenu mbulu huko,kwani kila MTU SI ana kwao?shida nini.
 
..you and your fellow Zanzibaris dont get it.

..huku Tanganyika kuna Rais Mzanzibari, halafu bila aibu mnanyanyasa na kudhalilisha Watanganyika walioko Zanzibar.
Tueleze mtannganyika alienyanyaswa Alie Zanzibar.

Na huyu Rais mzanzibar aliepo huku bara,why unaumia Sasa akiwa Rais mbona alipokawa makamu wa Rais ulikuwa kimya?

Vipi inakuchoma choma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…