Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Nachelea kusema hivi lakini dini ya Kiisalamu inaendekeza ubaguzi wa kidini sana. Angalia nchi zote zinazojiita Islmiuc republics uone jinsi wakristo wanavyotendewa!
 
Hao jamaa kiukweli kutoka moyoni siwapendi hata kuwaona na ni bahati tu wanaishiaga Pwani huko ila wakipanda milimani huku wataisoma na pedo zao motherfuckers

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
Punguza stress na makasiriko dada, huna unachoweza kuwafanya waislam manka
 
Kwahiyo china hakuna waislam?
 
Agustino ramadhani akisali wapi!?...pentekoste ndiyo wale wapo watatu lakini wanaweka CD makelele toka ijumaa mpaka jumapili!?
Wanaipata shida ni haya makanisa madogo madogo. Lile kanisa alikuwa anasali Ramadhani mnatamani mlivamie lkn mkikumbuka kwamba ni Anglican ambalo wenye kanisa lao ni England mnarudi nyuma na kobaz zenu.

Jaribuni mliguse lile kanisa mtachakazwa na hao wanaowadanganya hawatakuja kuwasaidia. Mtakula virungu kuanzia 'Ostaz' mpaka maamuma
 
Ukiwa mjinga utapumbazwa maana ukristu unaonya "kutumia akili kumpenda Mungu na kufuata Imani"

LUKA 10:27
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye .....
 
Yebaaaa, yesu alisoma intaneshino skuli
 
Crusade war ushawahi kuisikia?
 
payback kwa nani wakati waislam wanauana wao kwa wao kama Libya na Afghanistan
Mkuu unajitia upofu au? Huko Libya na Afghanistan walikuwa wanauana kabla ya uvamizi wa nchi za marekani na ufaransa? Yule choko Obama si alisema anajutia kuivamia libya
 
Maana yake ni nini?
 
Kafa? Wewe kweli ni mjinga, ulitaka kila siku tuendelee kumzungumzia ikiwa tuko lishapita miaka miwili

Niliona msikitini mlisoma dua na kutoa sadaka ili afande sele afe ndani ya siku 7, dua iliongozwa na kishki. Vipi afande nae alikufa hizo siku 7?
Aliomba radhi kabla ya siku saba
 
Wakristu waliwafukuza wapi? Mbona nyie ndio mnawafikuza?
 
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Nina toka Ta, hakuna ujinga huo!
 
Huko ndiko akina Gwajima, Geor Davie, Mwamposa na mashujaa wa Imani wanapaswa kwenda kufanya injili.

Panatamanisha kwa kazi ya Mungu
 
Kwahiyo kwa mujibu wa aya hiyo ni kwamba ni halali kuchoma kanisa moto?
 

Ndio uone hata viongozi wengi ni vilaza uswahili mtupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…