Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Dini yetu wapi ilisema kuhusu wabara? Tambua shobo zinawagharimu ..Hamtakiwi ila shobo kibao kaeni kwenu.
Mtakuja kuuliwa na upumbavu wenu.

Bunch of savages..ukristo ni kama maji usipounywa basi utachambia. Naona ukristophobia unawatesa waisalamu poleni sana.

Kama mawawzo yako ni hayo ya kuua wakristo basi pole ukristo unaenea kwa kasi sana hofu dhidi ya ukristo haito wasaidia.
 
Yani waislamu mhhhhh
Rfk angu amepanga karibu na msikiti ni mdada anaish peke ake yani nyumba anayoish na msikitini ni pua na mdomo.
Asubui sa kumi na moja yule sheik anaetoa tarawee hua anasema amkeni tusali amkeni tusali hilo gari na nyumba kubwa unayoish utakufa utaziacha.
Siku nyingine akimuona huyo dada ameingia na mivyakula ndani asubui yake lazima aongee.
Yani hyo ni mipasho tena sio tarawee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka sana.
 
Dini yetu wapi ilisema kuhusu wabara? Tambua shobo zinawagharimu ..Hamtakiwi ila shobo kibao kaeni kwenu.
Mtakuja kuuliwa na upumbavu wenu.
Hapo kwenye kuuliwa mbona wao ndio hulalamika wanauliwa na watu kutoka bara? Wanasema kila baada ya miaka mitano wabara huenda huko kuua
 
Kasemo history ya Libya, Iraq, Tunisia, Sudan, Somalia, Nigeria, utaelewa Nini namaanisha. Libya walikuwa wanataka mafuta, nchi ilitulia tu, wakawavuruga, Iraq walikuwa wanataka mafuta, wakawavuruga, Sudan mpaka zikavunjika, kisa wachukue mafuta Sudan Kusini, Nigeria Biafra walitaka kujitenga, hawakupewa sapoti kisa hawana interest napo, Saudi Arabia, Kuwait, Qatar, hakuna matatizo kwasababu wanapata wanachokitaka. Jielimishe ya Dunia upate maarifa
Ukiwa mjinga lazima uvurugwe. hizo nchi Kama zilivurugea basi ni kwa kuwa Kuna wajinga wengi mno. Ukitaka kujua hili nendeni na nyie mkavuruge UK au US
 
Acha uongo bidada
Tena nikwambie tena.
Kuna siku huyo Mzee mtoa tarawee nilikutana nae nikiwa nmevaa dera mida ya sa kumi hapo nje kuna kiduka pia. Nikamsalimia akaitikia. Badae tena jion jion nilikua natoka nmevaa suruali Ile kufika nje huyo hapo nkamwambia mzee shikamoo hakunijibu jamani nikarudoa hakujibu.

Huo msikitini upo Mwanza-Maduka Tisa-Uwanja wa mbuzi umekaa sehem kweny makazi ya watu kabisa kabisa.

Na muda wa tarawee ndo muda ambao huyo Mzee anautumia kutukana watu na sio kuwaita ibadani.
 
Yuko wapi leo hii??
Kafa? Wewe kweli ni mjinga, ulitaka kila siku tuendelee kumzungumzia ikiwa tuko lishapita miaka miwili

Niliona msikitini mlisoma dua na kutoa sadaka ili afande sele afe ndani ya siku 7, dua iliongozwa na kishki. Vipi afande nae alikufa hizo siku 7?
 
Basi tulia uoneshwe, ww unadhani waislam wa Zanzibar wana tofauti na wa Dar, Tanga, Moro au Mtwara, au Tabora na Kigoma? Jichanganye maana huna akili kichwani.

Usichokijua Waislam wote mlengo wao huwa ni mmoja, we jaribu hata huko uliko chana tu Msahafu, hata kama uko Mbeya we jaribu kuchana ndio utajua hao Waislam wanafanana na wamejaa Zaidi hapa Tanzania.

Shida yako umesahau kwenye uislam dini yao ndio ya haki, na bora, na kwamba kwa wao hakuna Dini nyingine ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Uislam.

Muislam hata awe mlevi wa kiwango gani, ila mbele yake jaribu kuchana Ukurasa hata wa Juzuu utakuja kuleta mrejesho hapa.

Unaingiza siasa kwenye Uislam? Mkuu utaumia, we jiheshimu, heshimu taratibu zao, huwezi wapigiza kelele usiku kucha eti unaabudu, Zanzibar ni nchi kama ilivyo, ENGLAND, WALES, SCOTLAND ndani ya UK.

Usiwaletee vitu vyako vya kipumbavu eti haki, haki, haki. Haki unaijua wewe?

Kama Zanzibar wanakubana hamia MBINGA huko, NGURUWE anafugwa kama kuku wa mtaani, yaan anaachwa ajitafutie chakula na huko hata Msikiti unaweza usiuone kabisa kwa maeneo hasa ya Vijijini.
Usichokijua huo uislamu unaokuhofisha wewe ni wakimama sana.
Nimewahi wafanyia madharau Msikiti mmoja upo Gairo na hakuna kitu walinifanya maana ni wangepoteana

Madharau yenyewe nilibutua huo unaoiita msahafu na hadi leo ni mtumishi wa umma
 
Mimi nawakubari sana waislamu, na nnapoelekea naona kabisa ipo siku ntasilimu, nawakubari waislamu wanaotenda haki na wanaotenda mema sio wanaotenda maovu kwa waislamu na wasio waislamu, sio km Mufti Lion
 
Uliuchoma Moto au uliupiga mateke mkuu ebu fafanua hapo kwenye kuubutua ulifanyaje fanyaje?
Nilipiga teke tafsiri yake ni madharau kwa hicho mnachokihofia!

Na kitendo kama hicho Allah huwa anatetewa na wafuasi wake yeye mwenyewe si hajiwezi kumbuka eneo ni Gairo
 
Nilipiga teke tafsiri yake ni madharau kwa hicho mnachokihofia!

Na kitendo kama hicho Allah huwa anatetewa na wafuasi wake yeye mwenyewe si hajiwezi kumbuka eneo ni Gairo
Ungetia kiberiti alafu ungeona nini kingekupata au fanya hivyo kesho karibu na msikiti uliopo karibu nawe km hujageuka farasi wakaanza kukupanda, hujawahi kusikia ile story ya yule kijana alibadirika sura?
 
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Ndo tatizo la kutoka kufokolewa halafu unakuja kushiriki mjadala wenye uhitaji wa akili.....

Nilichojifunza kuhusu dini, kutoka jf, ni kuwa waislamu na wakristo wanachukiana; utofauti ni kuwa chuki ya waislamu pengine haijifichi sana ila ya wakristo imejificha flani hivi lakini ni kali kweli kweli......iko very deep.
 
Hao jamaa kiukweli kutoka moyoni siwapendi hata kuwaona na ni bahati tu wanaishiaga Pwani huko ila wakipanda milimani huku wataisoma na pedo zao motherfuckers

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
Angalau we umekuwa mkweli, hiyo ndo hali halisi kwa wakristo wengi......chuki kali kama hiyo ndo waliyonayo sema wanajificha kwelikweli.

Ila ndg yangu kama hupendi kuwaona waislamu nchi hii au dunia hii basi ni bora tu ukajirestisha in peace kwa sababu they are there and they will always be there.......whatever, whenever, nigga, fuc%k you gon' do!!
 
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Hebu itoe Morogoro hapo
 
Mnamo Machi 19, 2020, Mchungaji James* aliamka kama kawaida na kuondoka kwenda kufanya maombi katika kanisa lake katika kisiwa cha Zanzibar, kilicho karibu na pwani ya Afrika mashariki mwa Tanzania. Lakini alipofika, kwa mshtuko wake, alikuta kanisa lake lilikuwa limeboreshwa. Kabla hajaelewa kilichotokea, kundi la Waislamu wenye itikadi kali lilimshukia wakiwa na mapanga.

"Nilienda kufungua na kupanga viti kwa ajili ya maandalizi ya maombi yetu ya asubuhi nilipopata kuta zimebomolewa na paa ikiwa juu ya vifusi," Mchungaji James aliambia ICC. "Ghafla, kundi la Waislamu (wenye siasa kali) walitokea kutoka kwenye majengo ya karibu na kanisa letu na kuanza kunipiga ... walisema kwamba kanisa halihitajiki katika eneo hilo."

Kilichofuata ni mfululizo wa mashambulizi ya kikatili yaliyopelekea Mchungaji James kupoteza sio tu kanisa lake bali hata nyumba yake na mali zake zote.

“Walinikata mara kadhaa kichwani na mikononi na kuondoka kuelekea nyumbani kwangu. Waliamuru mke wangu na watoto watoke nje ya nyumba na kuichoma moto. Tulipoteza kila kitu ndani ya nyumba, kuanzia mali ya kibinafsi, nguo, na vitabu vya shule vya watoto wangu hadi Biblia na vitabu vya nyimbo. Waumini wa kwanza walifika dakika kumi na tano baadaye na kunikuta nimelala kando ya kanisa letu lililobomolewa. Walinikimbiza hospitalini.”

Kubomolewa kwa kanisa la Mchungaji James sio kisa pekee cha mateso katika Kisiwa chenye uhuru cha Zanzibar, ambako Waislamu wengi wanaendelea kukandamiza Ukristo. Mnamo mwaka wa 2019, Kanisa la Kipentekoste lilifungwa kwa mwaka mmoja baada ya Sheikh kutoka msikiti wa karibu kulalamika kwamba ibada ilikuwa kubwa sana.

Katika kesi nyingine, kanisa moja liliamriwa na mahakama kusitisha ujenzi baada ya malalamiko ya ardhi yaliyowasilishwa na mfanyabiashara tajiri Mwislamu.

Kwa upande wa Mchungaji James, anaendelea kusubiri haki itendeke, ingawa anajua kuwa fidia kutoka kwa serikali haiwezekani.

“Tuliripoti suala hilo kwa mamlaka na kutoa taarifa. Hadi sasa, hakuna kilichofanyika. Ombi letu ni kwamba tusiamke hata siku moja na kukuta kiwanja chetu cha kanisa kimezungushiwa uzio na mkandarasi anayeweka msikiti.”

Huku hayo yakijiri, kanisa lake limelazimika kukataa kukutana kila Jumapili kwa hofu ya kushambuliwa.

Askofu Dan* amekuwa sauti muhimu kwa uhuru wa ibada ya Kikristo kisiwani humo. Ingawa ameona baadhi ya mafanikio kwa mwaka mzima, aliiambia ICC kuwa kuna kazi nyingi zaidi ambayo inahitaji kufanywa.

"Kikwazo kikubwa zaidi katika kufikia usawa wa kimahakama ya kidini ni msongamano wa maafisa wa mahakama wa Kiislamu ambao hawachukui hatua zozote dhidi ya ghasia za kidini zinazofanywa dhidi ya Kanisa," alisema. "Kesi za wahalifu Waislamu kuchoma makanisa zimepungua, lakini tuna kesi za hivi sasa ambapo makanisa yanahusika katika mabishano mahakamani kuhusu ardhi na kesi za ubakaji zinazoendeshwa na vijana wa Kiislamu."

Akitafakari kuhusu hali ya mateso Zanzibar hivi sasa, mchungaji Adam* wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God atoa maoni kwamba:

“Zanzibar bado iko kwenye kina kirefu cha ubaguzi wa kidini na kutengwa unaowahusu Wakristo, kwa kuwa ni kundi la watu wachache. Kanisa la Zanzibar limejaribu kuiomba serikali kuingilia kati na kuweka usawa ambapo imani na maeneo ya ibada tofauti yanaheshimiwa na kulindwa na sheria. Hii bado ni ndoto na dua yetu ya kila siku, na hatutakata tamaa kuziomba mamlaka za Zanzibar kuwalinda waumini dhidi ya mashambulizi yanayoratibiwa na waasi wa Kiarabu.”

Kwa mahojiano, tafadhali wasiliana na press@persecution.org.

C&P
Mbona makanisa Zanzibar yapo kabla wote sisi hatujazaliwa? Au hilo kanisa ni la nabii?
 
Back
Top Bottom