CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Sasa kama huelewi unataka nini?Kwahiyo mtu ana nguvu sana kuliko serikali?
Hata kama haelewi ndiyo uchome mpka nyumba yake na kumpiga? Hiyo tunaita machafuko au vurugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama huelewi unataka nini?Kwahiyo mtu ana nguvu sana kuliko serikali?
Hata kama haelewi ndiyo uchome mpka nyumba yake na kumpiga? Hiyo tunaita machafuko au vurugu
Unaanzaje kuchinja wakati unamfanyakazi wa ndani (house boy)?Kuku wanazonunua vibanda vya chips wanahisi Nani kachinja
Utakuwa huwajui vizuri Wazanzibari! Hao watu ni washari sana. Hapo dini inatumiwa tu kama kisingizio. Shida yao kubwa hapo ni kuwachukia tu watu wa Bara.Hoja sio wa bara na wa Zanzibar, msingi mkuu wa hoja ni Ukristo vs uislam huko Zanzibar.
Kwa hio vibanda vya chips vina house boy auUnaanzaje kuchinja wakati unamfanyakazi wa ndani (house boy)?
Hiyo inaashiria vurugu na kuchinjana kwao ni kawaida.Sasa kama huelewi unataka nini?
Utakuwa huwajui vizuri Wazanzibari! Hao watu ni washari sana. Hapo dini inatumiwa tu kama kisingizio. Shida yao kubwa hapo ni kuwachukia tu watu wa Bara.
Siku zote wanapenda wanufaike zaidi wao kupitia huu Muungano, na siyo watu wa Tanganyika. Na ndiyo maana wanawawekea Watanganyika kila aina ya vikwazo.
Mbona Bara kuna Makanisa na Misikiti isiyo na idadi, lakini huwezi kuona vurugu za kipuuzi?
Itakuwa ni Vatican ya Sinza bila shaka. Ila siyo ile ya Roma, Italy.Nimeoana malalamiko kama haya ya waislam waishio VATICAN.
Hizo nchi ndizo walizopora maliasili zao kwa hiyo ni payback timeHalafu wanajiita dini ya haki na amani wakati nchi za Kiislam ndio zinaongoza kwa machafuko na wakikinukisha wanatafuta ukimbizi nchi za magharibi na sio za kiislam hapo ndio utachoka 🙂🙂🙂🙂 wakimbizi wa Libya, Syria, Palestina, Afghanistani na kwingineko hutawakuta Saudia, Qatari, UAE, Misri
Wazanzibari ni watu wa hovyo sana. Wanapenda sana ile tabia ya kipuuzi ya changu changu, chako changu.View attachment 2470940
Mwakinyo amesema “Baada ya miaka mingi kupita nimekuwa mstari wa mbele sana kuipambania Boxing ya Zanzibar mpaka kufanikiwa kupata ridhaa kupitia Mh. Rais wa Zanzibar na Baraza lake kupata kibali cha kufanya fight.
“Ajabu ni kwamba Boxer wa Zanzibar wasioona ukubwa wa hili jambo wameandika barua wakidai ile ni fursa yao Wazanzibar na sio ya Watu wa Tanzania Bara so hawataki tujihusishe nao”
“Na sasa sijui ikisemwa kuwa kuna Muungano uliopo kati yetu Muungano huo unaunganisha kitu gani anyway kila la kheri Mabingwa.”
Sasa kwanini wengi mnapenda sana dini kuliko Mungu?Ukiwa mjinga utapumbazwa maana ukristu unaonya "kutumia akili kumpenda Mungu na kufuata Imani"
LUKA 10:27
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote
Mkuu Vatican siyo nchi ni eneo la Kanisa Catholic kama ilivyo pale st. Peter posta! Sasa sijui unamaanisha kuna waislam wanaishi kanisani?Nimeoana malalamiko kama haya ya waislam waishio VATICAN.
Hao jamaa ni shida tangu enzi za ukoloni wa muarabu aliyejikita hayo maeneo aliwaharibu sana hata namna wavyoishi leo hii si sawa yani hata wao kwa wao upendo na Amani iliopokati yao ni unafiki mtupu sasa itakua ajabu sana wakaonyesha Upendo na Amani kwa watu wa bara...Wazanzibari ni watu wa hovyo sana. Wanapenda sana ile tabia ya kipuuzi ya changu changu, chako changu.
Na ndiyo maana natamani siku moja wajitenge ilo kila nchi ijitegemee kivyake.
kwani umeambiwa na nani kuwa hao wazanzibari wanakupenda wewe mshamba mjinga mkubwa?Hao jamaa kiukweli kutoka moyoni siwapendi hata kuwaona na ni bahati tu wanaishiaga Pwani huko ila wakipanda milimani huku wataisoma na pedo zao motherfuckers
Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
payback kwa nani wakati waislam wanauana wao kwa wao kama Libya na AfghanistanHizo nchi ndizo walizopora maliasili zao kwa hiyo ni payback time
vatican ni nchi kamili hata kama ina square kilometer 0.49Mkuu Vatican siyo nchi ni eneo la Kanisa Catholic kama ilivyo pale st. Peter posta! Sasa sijui unamaanisha kuna waislam wanaishi kanisani?
Akikujibu nitagHizo nchi ulizozitaja, Nani amesababisha machafuko
payback kwa wazungu waliokuwa wamewatawala na kuchukuwa resources zao. Hao walibya na Afghanistan yote wamesababishiwa na wazungu, hebu kasome tena historia ya hayo mataifa.payback kwa nani wakati waislam wanauana wao kwa wao kama Libya na Afghanistan
Kesi zipo kibao na Moshi sio kiswani mbona wanagomea kuwauzia watu wa nje na kabila lao ardhi.Moshi pamoja na kuwa na wakristo wengi hutasikia kesi za namna hii
Mfano tabia zipi? Uvivu?Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Chai hii .Lini Muhammad alikimbilia kanisani??inasikitisha sana manake mtume muhammad,wakati wa harakati zake za kuuneza uislam kwa jihad alilazimika kukimbilia ethiopia{chini ya kanisa la orthodx } na wakamsitiri lakini wafuasi wake sasa!!...ujue mimi huwa siwashangaai MAYAHUDI wanavowashuhulikia palestine kikatili,why?..kwa sababu ukiwapa nafasi hawa jamaa,,,wakajiorganise wanakuwa makatili maradufu....kajenge kanisa SOMALIA uone!!!