Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Manyara na zanzibar dongobeshi
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.

Yani waislamu mhhhhh
Rfk angu amepanga karibu na msikiti ni mdada anaish peke ake yani nyumba anayoish na msikitini ni pua na mdomo.
Asubui sa kumi na moja yule sheik anaetoa tarawee hua anasema amkeni tusali amkeni tusali hilo gari na nyumba kubwa unayoish utakufa utaziacha.
Siku nyingine akimuona huyo dada ameingia na mivyakula ndani asubui yake lazima aongee.
Yani hyo ni mipasho tena sio tarawee
Hehe mamake 😁 ila Hawa ndugu zetu Hawa 😁
 
Kutumia kipaza sauti nazo ni kelele zile zile. Kwani waumini hawajui muda wa kusali mpka uwe na kipaza sauti?
Hata kama wanapiga kelele ndyo ubebe mapanga, ukabomoe nyumba na kuchoma moto? Mbona hii machafuko tayari.
Ningetegemea ungemuita mhusika ukamwambia kama amekaidi kuna balozi, mwenyekiti, polisi na mahakama ingefanya kazi.
Wahusika hawaelewi sasa, mnawaambia msitumie uhuru wenu vibaya hawaelewi mnataka wafanywe nini?? KIBERITI
 
laiti ingetafsiriwa kwa lugha mbalimbali kungekua na amani tatizo wanakaririshwa....anyway....kasome SURATUL mariam utaelewa kuanzia mariam kuanzia Mariam alipotokewa na malaika Gibril[ wakristo wanamwita Rroho Mtakatifu}..na Mariam akapewa habari za Kumzaa ISSA BIN MARIAM{ yesu}...na wanasisitiza kwamba MARIAM amebarikiwa kuliko mwanamke yoyote yule kabla na baada ya enzi,na inasisitizwa Mariam hakuonja mauti,alipalizwa,na ISSA atakuja kama alama ya kiama...na anyway.....kimsingi wengi wangeiacha hiyo dini...alaf wana wana mabo ya kitoto,nakukmbuka wakati wa utawala wa alihassan mwinyi walianzisha vurumai kwamba wao pekee ndo wana haki ya kuchinja!!!!!yaani ufuge kuku wako,lakini ukitaka kumla ukamwite abdallah akuchinjie kudadadadadeq
Hahahaha umenikumbusha mbali,
Niliwahi kukaa Kondoa kukawa na mijadala baina yao waislamu wakawa wanaambiana "Kama ukristu ni dini kweli mbona hawaruhusiwi kuchinja!!? Aisee nilicheja sana halafu nikajikataa zangu
 
laiti ingetafsiriwa kwa lugha mbalimbali kungekua na amani tatizo wanakaririshwa....anyway....kasome SURATUL mariam utaelewa kuanzia mariam kuanzia Mariam alipotokewa na malaika Gibril[ wakristo wanamwita Rroho Mtakatifu}..na Mariam akapewa habari za Kumzaa ISSA BIN MARIAM{ yesu}...na wanasisitiza kwamba MARIAM amebarikiwa kuliko mwanamke yoyote yule kabla na baada ya enzi,na inasisitizwa Mariam hakuonja mauti,alipalizwa,na ISSA atakuja kama alama ya kiama...na anyway.....kimsingi wengi wangeiacha hiyo dini...alaf wana wana mabo ya kitoto,nakukmbuka wakati wa utawala wa alihassan mwinyi walianzisha vurumai kwamba wao pekee ndo wana haki ya kuchinja!!!!!yaani ufuge kuku wako,lakini ukitaka kumla ukamwite abdallah akuchinjie kudadadadadeq

Bunch of savages. Hii shida ipo kwa wale vilaza yani hawana elimu dunia pia hawana exposure wamekaririshwq upuuzi wa mudi.
 
Back
Top Bottom