msebia
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 470
- 357
Nadhani ndio uhalisia ingawa ni mchungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ndio uhalisia ingawa ni mchungu
Wewe kwenu hamtaki wageni wanunue ardhi mnataka wenye meno ya kama yenu watu mbona wanapiga kelele daily?Huwa najiuliza Sana lakini acha iwe hivyo maana dini yenyewe ilienezwa kwa jihad
Rudi ukasome hiyo comment halafu soma maoni ya niliyemjibu ndio utaelewaBoko haram imenzishwa na westerners?Hebu tupe ushahidi
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Hehe mamake 😁 ila Hawa ndugu zetu Hawa 😁Yani waislamu mhhhhh
Rfk angu amepanga karibu na msikiti ni mdada anaish peke ake yani nyumba anayoish na msikitini ni pua na mdomo.
Asubui sa kumi na moja yule sheik anaetoa tarawee hua anasema amkeni tusali amkeni tusali hilo gari na nyumba kubwa unayoish utakufa utaziacha.
Siku nyingine akimuona huyo dada ameingia na mivyakula ndani asubui yake lazima aongee.
Yani hyo ni mipasho tena sio tarawee
Wahusika hawaelewi sasa, mnawaambia msitumie uhuru wenu vibaya hawaelewi mnataka wafanywe nini?? KIBERITIKutumia kipaza sauti nazo ni kelele zile zile. Kwani waumini hawajui muda wa kusali mpka uwe na kipaza sauti?
Hata kama wanapiga kelele ndyo ubebe mapanga, ukabomoe nyumba na kuchoma moto? Mbona hii machafuko tayari.
Ningetegemea ungemuita mhusika ukamwambia kama amekaidi kuna balozi, mwenyekiti, polisi na mahakama ingefanya kazi.
Haki kwa Waislam ?Ulizia kinachowapata wafanyakazi wa ndani uarabuni,ulizia somalia nk nk.Haki bila shaka kwao inatafsiri tofauti sanaKwanini wafanye hivyo wakati wapo kwenye dini ya haki?
Adhana ilimfanya Liam neeson asilimu,the most beautiful prayer call..halafu dakika mbili tuKwani azana sio kelele??
Hahahaha umenikumbusha mbali,laiti ingetafsiriwa kwa lugha mbalimbali kungekua na amani tatizo wanakaririshwa....anyway....kasome SURATUL mariam utaelewa kuanzia mariam kuanzia Mariam alipotokewa na malaika Gibril[ wakristo wanamwita Rroho Mtakatifu}..na Mariam akapewa habari za Kumzaa ISSA BIN MARIAM{ yesu}...na wanasisitiza kwamba MARIAM amebarikiwa kuliko mwanamke yoyote yule kabla na baada ya enzi,na inasisitizwa Mariam hakuonja mauti,alipalizwa,na ISSA atakuja kama alama ya kiama...na anyway.....kimsingi wengi wangeiacha hiyo dini...alaf wana wana mabo ya kitoto,nakukmbuka wakati wa utawala wa alihassan mwinyi walianzisha vurumai kwamba wao pekee ndo wana haki ya kuchinja!!!!!yaani ufuge kuku wako,lakini ukitaka kumla ukamwite abdallah akuchinjie kudadadadadeq
laiti ingetafsiriwa kwa lugha mbalimbali kungekua na amani tatizo wanakaririshwa....anyway....kasome SURATUL mariam utaelewa kuanzia mariam kuanzia Mariam alipotokewa na malaika Gibril[ wakristo wanamwita Rroho Mtakatifu}..na Mariam akapewa habari za Kumzaa ISSA BIN MARIAM{ yesu}...na wanasisitiza kwamba MARIAM amebarikiwa kuliko mwanamke yoyote yule kabla na baada ya enzi,na inasisitizwa Mariam hakuonja mauti,alipalizwa,na ISSA atakuja kama alama ya kiama...na anyway.....kimsingi wengi wangeiacha hiyo dini...alaf wana wana mabo ya kitoto,nakukmbuka wakati wa utawala wa alihassan mwinyi walianzisha vurumai kwamba wao pekee ndo wana haki ya kuchinja!!!!!yaani ufuge kuku wako,lakini ukitaka kumla ukamwite abdallah akuchinjie kudadadadadeq
Misri wakoptikiMisri Ina waislamu lukuki ila hao wapentekoste pia wamejaa
Wewe kwenu hamtaki wageni wanunue ardhi mnataka kweny meno ya kama yenu watu mbona wanapiga kelele daily?
Zanzibar ni wabinafsi na Wana tamaduni zao sio dini ni kwamba hawawependi wabara ...punguzeni shobo.
Moshi siyo nchi,huwa mna nini vichwani,maji!!?Moshi pamoja na kuwa na wakristo wengi hutasikia kesi za namna hii
That was part of the script, and doesn’t make it right through our life reality momentsAdhana ilimfanya Liam neeson asilimu,the most beautiful prayer call..halafu dakika mbili tu
Dini inaingiaje kwenye Bara na visiwani!?Wewe unaona hiyo iko sawa??kutopenda wabara na kuwatenga je ndio mafundisho ya dini yenu hayo?
Part of the script!?..which script!?..it's a realityThat was part of the script, and doesn’t make it right through our life reality moments
Hao pentekoste kelele nyingi,hulali,wanaweka mziki mnene, Zanzibar makanisa yapo kitambo tuNaam ni kweli ila dhima ni ileile kuvumilia Iman za wengine