Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Halafu wanajiita dini ya haki na amani wakati nchi za Kiislam ndio zinaongoza kwa machafuko na wakikinukisha wanatafuta ukimbizi nchi za magharibi na sio za kiislam hapo ndio utachoka 🙂🙂🙂🙂 wakimbizi wa Libya, Syria, Palestina, Afghanistani na kwingineko hutawakuta Saudia, Qatari, UAE, Misri
Huwa najiuliza Sana lakini acha iwe hivyo maana dini yenyewe ilienezwa kwa jihad
 
inasikitisha sana manake mtume muhammad,wakati wa harakati zake za kuuneza uislam kwa jihad alilazimika kukimbilia ethiopia{chini ya kanisa la orthodx } na wakamsitiri lakini wafuasi wake sasa!!...ujue mimi huwa siwashangaai MAYAHUDI wanavowashuhulikia palestine kikatili,why?..kwa sababu ukiwapa nafasi hawa jamaa,,,wakajiorganise wanakuwa makatili maradufu....kajenge kanisa SOMALIA uone!!!
Uislamu ungetumia ushawishi ingekuwa dini nzuri Sana
Tatizo lao wanalazimisha kuuamini hii inatengeneza ukinzani miongoni mwao na Hadi jwa wale wasioamini
 
وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾

120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara(wakristo) mpaka ufuate mila zao. Sema: “Hakika mwongozo wa Allaah ndio mwongozo (pekee).” Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.
Sasa umeandika Nini hapa???Hao W ayahudi na Wakristo wakubaliane nawe katika uonevu na ujinga wa kuwatesa wengine?Ndugu kemea ubaya hata kama unatoka ndani yako ili kesho ukionewa Lau upate mtetezi
 
Basi tulia uoneshwe, ww unadhani waislam wa Zanzibar wana tofauti na wa Dar, Tanga, Moro au Mtwara, au Tabora na Kigoma? Jichanganye maana huna akili kichwani.

Usichokijua Waislam wote mlengo wao huwa ni mmoja, we jaribu hata huko uliko chana tu Msahafu, hata kama uko Mbeya we jaribu kuchana ndio utajua hao Waislam wanafanana na wamejaa Zaidi hapa Tanzania.

Shida yako umesahau kwenye uislam dini yao ndio ya haki, na bora, na kwamba kwa wao hakuna Dini nyingine ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Uislam.

Muislam hata awe mlevi wa kiwango gani, ila mbele yake jaribu kuchana Ukurasa hata wa Juzuu utakuja kuleta mrejesho hapa.

Unaingiza siasa kwenye Uislam? Mkuu utaumia, we jiheshimu, heshimu taratibu zao, huwezi wapigiza kelele usiku kucha eti unaabudu, Zanzibar ni nchi kama ilivyo, ENGLAND, WALES, SCOTLAND ndani ya UK.

Usiwaletee vitu vyako vya kipumbavu eti haki, haki, haki. Haki unaijua wewe?

Kama Zanzibar wanakubana hamia MBINGA huko, NGURUWE anafugwa kama kuku wa mtaani, yaan anaachwa ajitafutie chakula na huko hata Msikiti unaweza usiuone kabisa kwa maeneo hasa ya Vijijini.
Jifunzeni kuwavumilia wenzenu
 
Basi tulia uoneshwe, ww unadhani waislam wa Zanzibar wana tofauti na wa Dar, Tanga, Moro au Mtwara, au Tabora na Kigoma? Jichanganye maana huna akili kichwani.

Usichokijua Waislam wote mlengo wao huwa ni mmoja, we jaribu hata huko uliko chana tu Msahafu, hata kama uko Mbeya we jaribu kuchana ndio utajua hao Waislam wanafanana na wamejaa Zaidi hapa Tanzania.

Shida yako umesahau kwenye uislam dini yao ndio ya haki, na bora, na kwamba kwa wao hakuna Dini nyingine ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Uislam.

Muislam hata awe mlevi wa kiwango gani, ila mbele yake jaribu kuchana Ukurasa hata wa Juzuu utakuja kuleta mrejesho hapa.

Unaingiza siasa kwenye Uislam? Mkuu utaumia, we jiheshimu, heshimu taratibu zao, huwezi wapigiza kelele usiku kucha eti unaabudu, Zanzibar ni nchi kama ilivyo, ENGLAND, WALES, SCOTLAND ndani ya UK.

Usiwaletee vitu vyako vya kipumbavu eti haki, haki, haki. Haki unaijua wewe?

Kama Zanzibar wanakubana hamia MBINGA huko, NGURUWE anafugwa kama kuku wa mtaani, yaan anaachwa ajitafutie chakula na huko hata Msikiti unaweza usiuone kabisa kwa maeneo hasa ya Vijijini.

Kwahiyo hao wakristo wanao vunjiww makanisa na kunyimwa uhuru wa kuabudu huko zenji walichana hizo kurwani??
 
Basi tulia uoneshwe, ww unadhani waislam wa Zanzibar wana tofauti na wa Dar, Tanga, Moro au Mtwara, au Tabora na Kigoma? Jichanganye maana huna akili kichwani.

Usichokijua Waislam wote mlengo wao huwa ni mmoja, we jaribu hata huko uliko chana tu Msahafu, hata kama uko Mbeya we jaribu kuchana ndio utajua hao Waislam wanafanana na wamejaa Zaidi hapa Tanzania.

Shida yako umesahau kwenye uislam dini yao ndio ya haki, na bora, na kwamba kwa wao hakuna Dini nyingine ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Uislam.

Muislam hata awe mlevi wa kiwango gani, ila mbele yake jaribu kuchana Ukurasa hata wa Juzuu utakuja kuleta mrejesho hapa.

Unaingiza siasa kwenye Uislam? Mkuu utaumia, we jiheshimu, heshimu taratibu zao, huwezi wapigiza kelele usiku kucha eti unaabudu, Zanzibar ni nchi kama ilivyo, ENGLAND, WALES, SCOTLAND ndani ya UK.

Usiwaletee vitu vyako vya kipumbavu eti haki, haki, haki. Haki unaijua wewe?

Kama Zanzibar wanakubana hamia MBINGA huko, NGURUWE anafugwa kama kuku wa mtaani, yaan anaachwa ajitafutie chakula na huko hata Msikiti unaweza usiuone kabisa kwa maeneo hasa ya Vijijini.
Ilimu baba!! Nenda skuli kasome kidogo uweze chukuliana na wengine.Acha kujifungia kwenye chumba kimoja(uislam)na kulazimisha jirani Yako awe kama wewe.Hujui hata kama Kuna dini nyingine na Zina taratibu zao?Tatizo ilimu ndo maana mwanzilishi hakujua kusoma na Wala hakujishughulisha kujifunza .Usimuige kila kitu bathi.Tafuta ilimu Dunia kidogo ikisaidie kuiheshimu wengine.
 
Uislamu ungetumia ushawishi ingekuwa dini nzuri Sana
Tatizo lao wanalazimisha kuuamini hii inatengeneza ukinzani miongoni mwao na Hadi jwa wale wasioamini

Uislamu ungetumia ushawishi ingekuwa dini nzuri Sana
Tatizo lao wanalazimisha kuuamini hii inatengeneza ukinzani miongoni mwao na Hadi jwa wale wasioamini
laiti ingetafsiriwa kwa lugha mbalimbali kungekua na amani tatizo wanakaririshwa....anyway....kasome SURATUL mariam utaelewa kuanzia mariam kuanzia Mariam alipotokewa na malaika Gibril[ wakristo wanamwita Rroho Mtakatifu}..na Mariam akapewa habari za Kumzaa ISSA BIN MARIAM{ yesu}...na wanasisitiza kwamba MARIAM amebarikiwa kuliko mwanamke yoyote yule kabla na baada ya enzi,na inasisitizwa Mariam hakuonja mauti,alipalizwa,na ISSA atakuja kama alama ya kiama...na anyway.....kimsingi wengi wangeiacha hiyo dini...alaf wana wana mabo ya kitoto,nakukmbuka wakati wa utawala wa alihassan mwinyi walianzisha vurumai kwamba wao pekee ndo wana haki ya kuchinja!!!!!yaani ufuge kuku wako,lakini ukitaka kumla ukamwite abdallah akuchinjie kudadadadadeq
 
Zanzibar iendelee tu kuwa sehemu ya tanzania, vinginevyo kutakuwa na upuuzi wa kidini kwa kuita nchi ya kiislam. Na hawatakuwa pamoja watavurugana na kujikuta jamhuri mbili za kiislam unguja na pemba, itakuwa aibu sana kama kule somalia dini moja lakini kuna ushenzi mwingi wa kujigawa
Umeñena vyema.Hawa watu hawakosi sababu ya kubaguana.Ndivyo walivyo.
 
Back
Top Bottom