Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Hahahaha umenikumbusha mbali,
Niliwahi kukaa Kondoa kukawa na mijadala baina yao waislamu wakawa wanaambiana "Kama ukristu ni dini kweli mbona hawaruhusiwi kuchinja!!? Aisee nilicheja sana halafu nikajikataa zangu
ahahaaaaa!!!!! alaf wana kauli yao kwamba muumini wa kweli lazima awe na nguvu!!!...basi wanacheza kung-fuu kama BOLO YANG!!!!...ndo manake wanawekeza kwa nguvu za mwili[ata MUNGU wao wanampigania kupitia upanga, smg,mabomu na kung-fu}..........ujue ndo manake hawapendi makanisa maeneo wanayoishi kwani wakriso wamewekeza sana KIROHO na wao wamewekeza sana KIMWILI sasa maombi yanapozidi waskaji zao{ majini ] wanateseka sana........kasome SURATUL JINN uone[wanaingia mpaka misikitini..shabaash!!!
 
Kwahiyo hao wakristo wanao vunjiww makanisa na kunyimwa uhuru wa kuabudu huko zenji walichana hizo kurwani??
Ukiona unanyimwa haki ya kuabudu huko Zenji rudi kwenu Bara, Sisi WATANGANYIKA ni wakorofi na always tunalazimisha sana tamaduni zenu zikubalike kule.

Wale jamaa ni waislam kwa 99.9% unataka waendeshe nchi yao kwa taratibu za VATICAN?

Mtaumia, niseme wazi hakuna watu wenye ushirikiano kwenye masuala hayo ya Dini kama hao waislam. Ikitokea Dini tofauti na wao wakawafanyia vurugu wenzao, hata kama ni Suni na Shia hao jamaa wataungana na utaumia.

Mnapoamua kutetea kitu chochote msiishie kwenye Sheria za ndani ya nchi tu, angalieni pia imani za watu.

Hizi dharau kwa Wazanzibar niwaambieni ziwe kwenye masuala ya ajira, umiliki wa Ardhi nk, mkijaribu kuweka kwenye mlengo huu wa Kidini basi ugomvi huo mtapigana na waislam wa Tanzania nzima na sio Zanzibar kwa kigezo cha kuwaonea waislam wenzao.

Jengeni hoja za Zanzibar kwa muktadha wa Ajira, Elimu, Umeme nk msijenge kwa mlengo wa Dini, hamtoungwa mkono na waislam wa Bara.

USHAURI WANGU NI HUO.
 
ahahaaaaa!!!!! alaf wana kauli yao kwamba muumini wa kweli lazima awe na nguvu!!!...basi wanacheza kung-fuu kama BOLO YANG!!!!...ndo manake wanawekeza kwa nguvu za mwili[ata MUNGU wao wanampigania kupitia upanga, smg,mabomu na kung-fu}..........ujue ndo manake hawapendi makanisa maeneo wanayoishi kwani wakriso wamewekeza sana KIROHO na wao wamewekeza sana KIMWILI sasa maombi yanapozidi waskaji zao{ majini ] wanateseka sana........kasome SURATUL JINN uone[wanaingia mpaka misikitini..shabaash!!!
Hahahaha ila we jamaa
 
Kaanza kuingiza lini!?..yaani hutaki kuwa kasilimu!?
Ndio sitaki kukubali kuwa alislim kweli ile ilikua ni script alipangiwa na director au alipanga mwenyewe sababu jamaa ni mbishi kweli hata movie zake yupo radhi acheze mwenyewe mwanzo mwisho...
 
Ukiona unanyimwa haki ya kuabudu huko Zenji rudi kwenu Bara, Sisi WATANGANYIKA ni wakorofi na always tunalazimisha sana tamaduni zenu zikubalike kule.

Wale jamaa ni waislam kwa 99.9% unataka waendeshe nchi yao kwa taratibu za VATICAN?

Mtaumia, niseme wazi hakuna watu wenye ushirikiano kwenye masuala hayo ya Dini kama hao waislam. Ikitokea Dini tofauti na wao wakawafanyia vurugu wenzao, hata kama ni Suni na Shia hao jamaa wataungana na utaumia.

Mnapoamua kutetea kitu chochote msiishie kwenye Sheria za ndani ya nchi tu, angalieni pia imani za watu.

Hizi dharau kwa Wazanzibar niwaambieni ziwe kwenye masuala ya ajira, umiliki wa Ardhi nk, mkijaribu kuweka kwenye mlengo huu wa Kidini basi ugomvi huo mtapigana na waislam wa Tanzania nzima na sio Zanzibar kwa kigezo cha kuwaonea waislam wenzao.

Jengeni hoja za Zanzibar kwa muktadha wa Ajira, Elimu, Umeme nk msijenge kwa mlengo wa Dini, hamtoungwa mkono na waislam wa Bara.

USHAURI WANGU NI HUO.
Aisee angalau waislamu watanganyika akina JK hawana ujinga wa waislamu wa wazanzibari
 
Wewe kwenu hamtaki wageni wanunue ardhi mnataka kweny meno ya kama yenu watu mbona wanapiga kelele daily?

Zanzibar ni wabinafsi na Wana tamaduni zao sio dini ni kwamba hawawependi wabara ...punguzeni shobo.
Tatizo la Zanzibar ni shule yaan no ilimu.Watu wa hivyo ni rahisi kuwatumia kama mbwa kamata Ile,ua yule .
 
Ndio sitaki kukubali kuwa alislim kweli ile ilikua ni script alipangiwa na director au alipanga mwenyewe sababu jamaa ni mbishi kweli hata movie zake yupo radhi acheze mwenyewe mwanzo mwisho...
Kuna movie kaigiza kasilimu!?..hakuna muigizaji Hollywood atayembishia director,hupati kazi!!!..
 
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Hiyo Mikoa yote uliyoitaja wala haina utaahira wa kiwango cha kubomoa Makanisa kisa utofauti wa imani, tena Dsm sijui hata imeingiaje kwenye hiyo orodha yako.
Mkuu inaonekana unakurupuka sana kama umeachwa na gari stand

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Hata Majini na MASHETANI yanatumwa kwenda kuwafanyia fujo wakristo kwamujibu wa Quran ilivyoandikwa na Jesuit.


Ndugu zangu mmeingizwa Kingi
 
Hahahaha umenikumbusha mbali,
Niliwahi kukaa Kondoa kukawa na mijadala baina yao waislamu wakawa wanaambiana "Kama ukristu ni dini kweli mbona hawaruhusiwi kuchinja!!? Aisee nilicheja sana halafu nikajikataa zangu
Boss ukachinje kuku au mnyama yoyote halafu una house boy? Huyo house boy atakuwa anakula mshahara wa bure. Mimi mwenyewe huwa sichinji huwa nawaita wanachinja.
 
Back
Top Bottom