Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Wanaipata shida ni haya makanisa madogo madogo. Lile kanisa alikuwa anasali Ramadhani mnatamani mlivamie lkn mkikumbuka kwamba ni Anglican ambalo wenye kanisa lao ni England mnarudi nyuma na kobaz zenu.

Jaribuni mliguse lile kanisa mtachakazwa na hao wanaowadanganya hawatakuja kuwasaidia. Mtakula virungu kuanzia 'Ostaz' mpaka maamuma
Kwa mawazo yako unadhani mzungu anajali dini,kwamba england itakuja kuchakaza!?..wao walileta dini Kama nyenzo ya ukoloni na kupata vibaraka,hapo unajiona mwenzao kuliko wewe na muislam wa kinyamwezi,ndicho walichotaka
 
Hata ulichoandika hukielewi kuna watu wanapigania dini hapo? Kwanini uhuru wa dini uwe haki kwa waislamu na usiwe haki kwa wakristo zenji? Ukiachilia mbali hayo masuala ya ardhi n.k

Hoja hapa ni wazenji waislamu kukosa ustaarabh na uvumilivu wa kidini hili ndilo tatizo kuu,hasa kwa nchi inayoheshimu misingi ya haki za binadamu hasa haki ya kuabudu.

Unasema na kutetea hivyo kwa sababu wewe sio mkristo na hauko zenji ila uko bara na unaishi na unaabudu utakavyo.

Ila fahamu haya yana mwisho wake
Unajenga kanisa unapiga miziki usiku kucha na vilio juu watu hawa lali huko sio iringa,kwani mkilia kwa sauti ya chini na hiyo miziki yenu huyo yesu mwana wa mariyamu hawezi wasikia?
 
Usichokijua huo uislamu unaokuhofisha wewe ni wakimama sana.
Nimewahi wafanyia madharau Msikiti mmoja upo Gairo na hakuna kitu walinifanya maana ni wangepoteana

Madharau yenyewe nilibutua huo unaoiita msahafu na hadi leo ni mtumishi wa umma
Kweli kafiri hana akili viwanda kila siku vinafiatua watu wanasoma na kuhafidhi kuchana kwenu hakuna tija
 
Kwa mawazo yako unadhani mzungu anajali dini,kwamba england itakuja kuchakaza!?..wao walileta dini Kama nyenzo ya ukoloni na kupata vibaraka,hapo unajiona mwenzao kuliko wewe na muislam wa kinyamwezi,ndicho walichotaka
Ungejua hao wanglikana wanavyopata misaada na ufadhili kutoka Uingereza hata usingeandika haya
 
Ndo tatizo la kutoka kufokolewa halafu unakuja kushiriki mjadala wenye uhitaji wa akili.....

Nilichojifunza kuhusu dini, kutoka jf, ni kuwa waislamu na wakristo wanachukiana; utofauti ni kuwa chuki ya waislamu pengine haijifichi sana ila ya wakristo imejificha flani hivi lakini ni kali kweli kweli......iko very deep.
Utafiti wako uko sawa [emoji817]
 
Hakuna watu wenye chuki kama waislamu sema tu ndio sheria ya nchi yetu inasaidia.
Kuna kipindi nilikuwa najichanganya na waislamu hata ukiniona unaweza kujua ni muislamu.Aisee wale watu wanatuzungumzia vibaya hata wakisikia mashambulio ya kigaidi mfano ilivotekea kenya.
unaweza kumuona yupo kimya ila wakiwa wenyewe wanafurahi sana ijalishi amesoma,prof,askari na n.k.

Kiufupi Imani imegeuka vita ya kuonewa kama wanavo aminishana

Ndio maana ata darasani akili hamna kazi kuwaza alifu bete che
 
Kafiri hana akili ya kufikiri

wewe mwenye dini iliyoshushwa una nini kwenye mchango wa maendeleo zaidi ya kutumia teknolojia yake kama hapa unacomment ujinga.
wewe na yeye nani kakuzidi kufikiri zaidi ya kuwaza mabikra 70 wakati mwenzako anawaza kukutengenezea gari na internet uje kuongea pumba.
 
Angalau we umekuwa mkweli, hiyo ndo hali halisi kwa wakristo wengi......chuki kali kama hiyo ndo waliyonayo sema wanajificha kwelikweli.

Ila ndg yangu kama hupendi kuwaona waislamu nchi hii au dunia hii basi ni bora tu ukajirestisha in peace kwa sababu they are there and they will always be there.......whatever, whenever, nigga, fuc%k you gon' do!!
Mkirisito anayo ficha moyoni mwake ni makubwa zaidi ya yale anayo yaonyesha
 
Nazani busara inahitajika
Dini sio kila kitu kwenye hii Dunia
 
Tatizo ni mjinga mmoja asiyejua kuandika na kusoma amewafanya wengine kuwa majinga
 
Ukiona unanyimwa haki ya kuabudu huko Zenji rudi kwenu Bara, Sisi WATANGANYIKA ni wakorofi na always tunalazimisha sana tamaduni zenu zikubalike kule.

Wale jamaa ni waislam kwa 99.9% unataka waendeshe nchi yao kwa taratibu za VATICAN?

Mtaumia, niseme wazi hakuna watu wenye ushirikiano kwenye masuala hayo ya Dini kama hao waislam. Ikitokea Dini tofauti na wao wakawafanyia vurugu wenzao, hata kama ni Suni na Shia hao jamaa wataungana na utaumia.

Mnapoamua kutetea kitu chochote msiishie kwenye Sheria za ndani ya nchi tu, angalieni pia imani za watu.

Hizi dharau kwa Wazanzibar niwaambieni ziwe kwenye masuala ya ajira, umiliki wa Ardhi nk, mkijaribu kuweka kwenye mlengo huu wa Kidini basi ugomvi huo mtapigana na waislam wa Tanzania nzima na sio Zanzibar kwa kigezo cha kuwaonea waislam wenzao.

Jengeni hoja za Zanzibar kwa muktadha wa Ajira, Elimu, Umeme nk msijenge kwa mlengo wa Dini, hamtoungwa mkono na waislam wa Bara.

USHAURI WANGU NI HUO.
Upuusi!
 
Back
Top Bottom