inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa mawazo yako unadhani mzungu anajali dini,kwamba england itakuja kuchakaza!?..wao walileta dini Kama nyenzo ya ukoloni na kupata vibaraka,hapo unajiona mwenzao kuliko wewe na muislam wa kinyamwezi,ndicho walichotakaWanaipata shida ni haya makanisa madogo madogo. Lile kanisa alikuwa anasali Ramadhani mnatamani mlivamie lkn mkikumbuka kwamba ni Anglican ambalo wenye kanisa lao ni England mnarudi nyuma na kobaz zenu.
Jaribuni mliguse lile kanisa mtachakazwa na hao wanaowadanganya hawatakuja kuwasaidia. Mtakula virungu kuanzia 'Ostaz' mpaka maamuma
Unajenga kanisa unapiga miziki usiku kucha na vilio juu watu hawa lali huko sio iringa,kwani mkilia kwa sauti ya chini na hiyo miziki yenu huyo yesu mwana wa mariyamu hawezi wasikia?Hata ulichoandika hukielewi kuna watu wanapigania dini hapo? Kwanini uhuru wa dini uwe haki kwa waislamu na usiwe haki kwa wakristo zenji? Ukiachilia mbali hayo masuala ya ardhi n.k
Hoja hapa ni wazenji waislamu kukosa ustaarabh na uvumilivu wa kidini hili ndilo tatizo kuu,hasa kwa nchi inayoheshimu misingi ya haki za binadamu hasa haki ya kuabudu.
Unasema na kutetea hivyo kwa sababu wewe sio mkristo na hauko zenji ila uko bara na unaishi na unaabudu utakavyo.
Ila fahamu haya yana mwisho wake
Unajua makanisa znz yameanza kujengwa mwaka gani ?Imagine umeamka asubuhi unaenda kuchoma msikiti mbagala. Dunia nzima itakushukis na waislam wa iraq watakuja. Ila sasa swala liwe la mkristo mbona utasota. Hii dini hii basi tu. Ni wabinafsiView attachment 2470745
Kweli kafiri hana akili viwanda kila siku vinafiatua watu wanasoma na kuhafidhi kuchana kwenu hakuna tijaUsichokijua huo uislamu unaokuhofisha wewe ni wakimama sana.
Nimewahi wafanyia madharau Msikiti mmoja upo Gairo na hakuna kitu walinifanya maana ni wangepoteana
Madharau yenyewe nilibutua huo unaoiita msahafu na hadi leo ni mtumishi wa umma
Ungejua hao wanglikana wanavyopata misaada na ufadhili kutoka Uingereza hata usingeandika hayaKwa mawazo yako unadhani mzungu anajali dini,kwamba england itakuja kuchakaza!?..wao walileta dini Kama nyenzo ya ukoloni na kupata vibaraka,hapo unajiona mwenzao kuliko wewe na muislam wa kinyamwezi,ndicho walichotaka
Utafiti wako uko sawa [emoji817]Ndo tatizo la kutoka kufokolewa halafu unakuja kushiriki mjadala wenye uhitaji wa akili.....
Nilichojifunza kuhusu dini, kutoka jf, ni kuwa waislamu na wakristo wanachukiana; utofauti ni kuwa chuki ya waislamu pengine haijifichi sana ila ya wakristo imejificha flani hivi lakini ni kali kweli kweli......iko very deep.
Hakuna watu wenye chuki kama waislamu sema tu ndio sheria ya nchi yetu inasaidia.
Kuna kipindi nilikuwa najichanganya na waislamu hata ukiniona unaweza kujua ni muislamu.Aisee wale watu wanatuzungumzia vibaya hata wakisikia mashambulio ya kigaidi mfano ilivotekea kenya.
unaweza kumuona yupo kimya ila wakiwa wenyewe wanafurahi sana ijalishi amesoma,prof,askari na n.k.
Kiufupi Imani imegeuka vita ya kuonewa kama wanavo aminishana
Kafiri hana akili ya kufikiri
Mkirisito anayo ficha moyoni mwake ni makubwa zaidi ya yale anayo yaonyeshaAngalau we umekuwa mkweli, hiyo ndo hali halisi kwa wakristo wengi......chuki kali kama hiyo ndo waliyonayo sema wanajificha kwelikweli.
Ila ndg yangu kama hupendi kuwaona waislamu nchi hii au dunia hii basi ni bora tu ukajirestisha in peace kwa sababu they are there and they will always be there.......whatever, whenever, nigga, fuc%k you gon' do!!
Makanisa ya kishenzi ya kirokole vilio usiku kucha na mziki kagame aliyepiga matukuMbona makanisa Zanzibar yapo kabla wote sisi hatujazaliwa? Au hilo kanisa ni la nabii?
Makanisa ya kishenzi ya kirokole vilio usiku kucha na mziki kagame aliyepiga matuku
Shenzi typeKuna muda ninawatetea waislamu ila Kuna muda ninataka kuamini uislamu ni ugaidi
Shenzi type
Ndugu yangu hili suala natamani litokee hata baadae saa 9 alasiri
Mkipata jibu hapo, ndio mtajua ukweli na pengine mtapata ufumbuziMimi naona ifikie wakati tuuvunje tu huu Muungano, ili kila upande ushinde mechi zake.
Unawajua wale wa makelele kila alfajiri ya kila siku?Agustino ramadhani akisali wapi!?...pentekoste ndiyo wale wapo watatu lakini wanaweka CD makelele toka ijumaa mpaka jumapili!?
Upuusi!Ukiona unanyimwa haki ya kuabudu huko Zenji rudi kwenu Bara, Sisi WATANGANYIKA ni wakorofi na always tunalazimisha sana tamaduni zenu zikubalike kule.
Wale jamaa ni waislam kwa 99.9% unataka waendeshe nchi yao kwa taratibu za VATICAN?
Mtaumia, niseme wazi hakuna watu wenye ushirikiano kwenye masuala hayo ya Dini kama hao waislam. Ikitokea Dini tofauti na wao wakawafanyia vurugu wenzao, hata kama ni Suni na Shia hao jamaa wataungana na utaumia.
Mnapoamua kutetea kitu chochote msiishie kwenye Sheria za ndani ya nchi tu, angalieni pia imani za watu.
Hizi dharau kwa Wazanzibar niwaambieni ziwe kwenye masuala ya ajira, umiliki wa Ardhi nk, mkijaribu kuweka kwenye mlengo huu wa Kidini basi ugomvi huo mtapigana na waislam wa Tanzania nzima na sio Zanzibar kwa kigezo cha kuwaonea waislam wenzao.
Jengeni hoja za Zanzibar kwa muktadha wa Ajira, Elimu, Umeme nk msijenge kwa mlengo wa Dini, hamtoungwa mkono na waislam wa Bara.
USHAURI WANGU NI HUO.
Unataka kusemaje? Hata kama yameanza jana ndo yachomwe?Unajua makanisa znz yameanza kujengwa mwaka gani ?
Dini zinawapumbaza sana waafrika, imekua kama kilevi kikali.
Religion is the opium of the people- Karl Max