Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Hivi ile boat ya Azam unaeza panda na nguruwe

Nataka enda na panga Kali na kundi la watu 20 hivi tukamfunge sehemu kwnye mti ole wake wake watageuka nyama au nikaanze fuga nguruwe zanzibar
Huo ni ugomvi bro
 

Warumi 7
Ndugu zangu, hamjui (maana nasema na hao waijuao sheria) ya kuwa torati humtawala mtu wakati anapokuwa yu hai?
 
Kuna muda ninawatetea waislamu ila Kuna muda ninataka kuamini uislamu ni ugaidi
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Serikali ungeweka kibano kama inavofanya nyakati za uchaguzi kuhakikisha chama kinashika HATAMU Basi Hali ingekuwa shwari Sana!

Ukiona kimya maana yake yanayotokea yana Baraka za kiimani kutoka KWA wahusika!

Shame on you!!
 
Hivi ile boat ya Azam unaeza panda na nguruwe

Nataka enda na panga Kali na kundi la watu 20 hivi tukamfunge sehemu kwnye mti ole wake wake watageuka nyama au nikaanze fuga nguruwe zanzibar
Watakufanya mbaya mchana kweupe hao jamaa huwa wana majini kichwani kama yule jamaa alitolewa na yakahamishiwa kwa nguruwe, Kwa hivyo wakiona nguruwe huwa yanapanda tena kwani bado kuna uwiano flani kati ya mwisilamu,majini na nguruwe...
 
Mimi naona ifikie wakati tuuvunje tu huu Muungano, ili kila upande ushinde mechi zake.
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
 
Marko 12:31

Na ya pili ndiyo hii: 'Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe
 
Uhuru wa kidini ni muhimu kuwepo ila pia tuepuke kubugudhi watu na makelele, mimi nipo upande huu, ila suala la kupiga mziki ya kidini kwa sauti ya juu asubuhi mpaka asubuhi siliafiki kabisa, tuwe na kiasi katika ibada zetu
Ni kweli hata waislamu ile asubuhi saa 11 na jioni saa 1 wanapiga kelele sana na vipaza sauti.
Iweke sheria ni kusali kimya kimya. Wanatupigia kelele sana
 
Yani waislamu mhhhhh
Rfk angu amepanga karibu na msikiti ni mdada anaish peke ake yani nyumba anayoish na msikitini ni pua na mdomo.
Asubui sa kumi na moja yule sheik anaetoa tarawee hua anasema amkeni tusali amkeni tusali hilo gari na nyumba kubwa unayoish utakufa utaziacha.
Siku nyingine akimuona huyo dada ameingia na mivyakula ndani asubui yake lazima aongee.
Yani hyo ni mipasho tena sio tarawee
 
Yaaani hiyo mikoa yote Ina watu wenye akili timamu halafu unataka wawafuate wazanzibari??
Aliyekuambia Zanzibar hawana akili timamu ni nani? Dharau zenu ndio maana mnamwagiwa tindikali boya wewe. Kwahiyo tofauti ya TANGA na ZANZIBAR ni nini?
 
Hao jamaa kiukweli kutoka moyoni siwapendi hata kuwaona na ni bahati tu wanaishiaga Pwani huko ila wakipanda milimani huku wataisoma na pedo zao motherfuckers

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…