kuwa nini kimemalizwa na kipi bado na tatizo ni nini
Dawa ni Zanzibar wafungue kesi ya kikatiba kudai wapate stahiki halali ya mgao kupitia mtaji wao waliouweka pamoja na mgao wa 4%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuwa nini kimemalizwa na kipi bado na tatizo ni nini
NdioView attachment 2973004
Na rukwa wapewe ukanda wao wa mbeya? Na kagera wapewe ukanda wao wa mwanza? Na pwani wapewe dsm yao?.
Huo ulikuwa ni mkataba kati ya Wajerumani na Sultani.. Sisi hautuhusu..Mbali ya mtaji hata ardhi ya pwani kuanzia Tanga hadi Ntwala ni mali ya Zanzibar,yaani waZanzibali ndio wale watenda wema waondokao.
Nyie endeleeni kuyachokoa tu.
View attachment 2972777
Sawa Tutaka walipe gharama za wakuwapelelea umeme, chakula na ulinziKuna video ya mahojiano na aliyekuwa waziri na pia Mwakilishi wa Tanzania UN Mheshimiwa Amina Salim Ali inayotembea kwenye mitandao ya kijamii akielezea kuwa Zanzibar ndiyo iliyotoa mtaji wa kuanzisha BOT kule kwenye East Africa Currency Board.
Na pia katika makubaliana ya muungano pia kuna fungi lao (asilimia 4 na ache) amblaa kwa sasa limefikia trillions na hawajalipwa
Hii ni moja ya Kero za muungano ambazo hatupewi sisi kama mwananchi mrejesho na wanasiasa wetu kuwa nini kimemalizwa na kipi bado na tatizo ni nini.
Dawa ni Zanzibar wafungue kesi ya kikatiba kudai wapate stahiki halali ya mgao kupitia mtaji wao waliouweka pamoja na mgao wa 4%
Hilo la kutoa pesa kwa ajili ya BOT auHata tukowachana na muungano, deni la Zanzibar lazima lilipwe.
hivi mku serikali inaweza kuuza ardhi kimya kimya bila kuwapa taarifa wananchi?Ardhi si walinunua!!..mbona huoni Kama ubalozi wa marekani umekwapua ardhi oyster bay!?
Kwamba ramani ya mkoloni ndio uhalisia sahihi?Mbali ya mtaji hata ardhi ya pwani kuanzia Tanga hadi Ntwala ni mali ya Zanzibar,yaani waZanzibali ndio wale watenda wema waondokao.
Nyie endeleeni kuyachokoa tu.
View attachment 2972777
aiseee mkuu nilikuwa nafuatilia mjadiliano wenu, naona jamaa kaona ehee kumbe mimi kichwani mweupe kaaamua kuingia chaka kusema usiku mwema🤣🤣🤣. Alikuwa anatapatapa kutafuta pa kushika. Ubarikiwe sana mkuuHatukuongelea utawala, tuliongelea umiliki.
Kumiliki na kutawala ni vitu viwili tofauti. Ni sawa na mmiliki wa gari kutafuta dereva wa kuliendesha, je akiliendesha ndio atakuwa mmiliki?
Kwamba Tanganyika ilikuwa crobat kiasi hicho kiasi cha kupewa mtaji Na Zanzibar?! Watu ambao hata bili ya Tanesco ilikuwa hawawezi kulipa hadi tukasikia Neno 'kata' enzi ya Magu? Tuache masikhara.Kuna video ya mahojiano na aliyekuwa waziri na pia Mwakilishi wa Tanzania UN Mheshimiwa Amina Salim Ali inayotembea kwenye mitandao ya kijamii akielezea kuwa Zanzibar ndiyo iliyotoa mtaji wa kuanzisha BOT kule kwenye East Africa Currency Board.
Na pia katika makubaliana ya muungano pia kuna fungi lao (asilimia 4 na ache) amblaa kwa sasa limefikia trillions na hawajalipwa
Hii ni moja ya Kero za muungano ambazo hatupewi sisi kama mwananchi mrejesho na wanasiasa wetu kuwa nini kimemalizwa na kipi bado na tatizo ni nini.
Kwani walinunua juzi kipindi Cha social media!?..walinunua sabini kweusi,na hati wanazohivi mku serikali inaweza kuuza ardhi kimya kimya bila kuwapa taarifa wananchi?
wewe taarifa umepata wapi mkuu?Kwani walinunua juzi kipindi Cha social media!?..walinunua sabini kweusi,na hati wanazo
Aaah babu,nenda ardhi kaulize,nchi itasema Ina ardhi yake bagamoyo bila kuwa na uhakika,yaani wakurupuke tu!?..kinachokuuma nini Zanzibar kuwa na ardhi bagamoyo wakati Burundi wanayo huko dodoma wanataka kujenga kiwanda Cha mbolea!?wewe taarifa umepata wapi mkuu?
mbona unakasirika? Mm nataka kujua.sasa wakisema wana ardhi znz ina maana waliuziwa na kama mtu kama wewe raia umepata hizo taarifa una shida gani na ss kushare ili tujue? Maana umesema miaka hyo social media bado sasa ndo nikawa nataka nijue weww ulijuaje?Aaah babu,nenda ardhi kaulize,nchi itasema Ina ardhi yake bagamoyo bila kuwa na uhakika,yaani wakurupuke tu!?..kinachokuuma nini Zanzibar kuwa na ardhi bagamoyo wakati Burundi wanayo huko dodoma wanataka kujenga kiwanda Cha mbolea!?
Nyie ndio mnaamini kuwa mtu wa kwanza kuuona mlima Kilimanjaro ni Johannes Rebmann.Hivi mnaijua hii Zanzibar au basi mnakuja na akili za porini tu eti mfalme ni Simba tu ,wakati Simba anamuogopa kakakuona.
1875 hii hapa Zanzibar ipo ,pembeni kuna wahehe na wanyamwezi.Wengine mmetokea misitu ya Congo au mnataka tuanze kupimana DNA ??
View attachment 2972787
Acha upumbavumbona unakasirika? Mm nataka kujua.sasa wakisema wana ardhi znz ina maana waliuziwa na kama mtu kama wewe raia umepata hizo taarifa una shida gani na ss kushare ili tujue? Maana umesema miaka hyo social media bado sasa ndo nikawa nataka nijue weww ulijuaje?
😅 Kobaz wana hoja mfilisi sana, akibaniwa kwenye kona anaibuka na matusi.aiseee mkuu nilikuwa nafuatilia mjadiliano wenu, naona jamaa kaona ehee kumbe mimi kichwani mweupe kaaamua kuingia chaka kusema usiku mwema🤣🤣🤣. Alikuwa anatapatapa kutafuta pa kushika. Ubarikiwe sana mkuu
..Mgogoro wa fedha kati ya Tgk na Znz ulishughulikiwa / uliamuliwa na Shirika la Fedha Duniani [ IMF.].
..IMF ndio waliopendekeza Znz iwe inapewa mgao wa 4% ya mapato ya muungano.
..pia IMF ndio waliotoa pendekezo kwamba mmoja kati ya Manaibu Gavana wa BOT atoke Znz.