Wanadai lakini hawamikiki maana sio zao.Ndiyo msingi wa china kudai Hong Kong na Taiwan ni sehemu zake
Kudai ni kutokana na ubabe tu, lakini mfano Taiwan ingekuwa na military power kubwa kuliko China usingesikia lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadai lakini hawamikiki maana sio zao.Ndiyo msingi wa china kudai Hong Kong na Taiwan ni sehemu zake
Rudi kwenu beniIpo siku tutawatoa tu
Hapa umeonesha kiasi gani u mtupu,ngoja nikuacheWanadai lakini hawamikiki maana sio zao.
Kudai ni kutokana na ubabe tu, lakini mfano Taiwan ingekuwa na military power kubwa kuliko China usingesikia lolote.
Kwa sababu hamkununua,kichwa unatumia kufanyia nini!?Mbona hakuna ardhi ya bara kule kwao?
Mjinga pekee ndie hujibu hoja kwa kejeri.Hapa umeonesha kiasi gani u mtupu,ngoja nikuache
Tanzania ni jina tu.Unafikiri kweli!?.. Tanzania ni muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar
Hivi china haimiliki Hong Kong!?..Hong Kong siyo semi autonomous!?..unakuja unasema hawamiliki,Sasa kujadili na wewe Kuna maana gani Kama vitu vyenyewe huvijui na unajifanya kujua!?Mjinga pekee ndie hujibu hoja kwa kejeri.
Umesema Taiwan, na mimi nimekujibu kwa Taiwan, usihamishe mada.Hivi china haimiliki Hong Kong!?..Hong Kong siyo semi autonomous!?..unakuja unasema hawamiliki,Sasa kujadili na wewe Kuna maana gani Kama vitu vyenyewe huvijui na unajifanya kujua!?
Kuna military academy ya ukomando Zanzibar,ambayo ni ya jwtz, muungano ukivunjika itaendelea kuwepo!?..itakua ya jeshi gani!?..mipaka ya Sasa ya baharini ya Tanzania itabaki vilevile!?..una umri gani wewe!?..shule ulipitapita!?Tanzania ni jina tu.
Kwani ikiondika Zanzibar tukabaki na jina la Tanganyika nchi itayeyuka, mpaka useme hakuna Tz bila znz?
Hebu Rudi post no 83 ulikoni-quote ukaangalie Kama hakuna hong KongUmesema Taiwan, na mimi nimekujibu kwa Taiwan, usihamishe mada.
Fanya Kazi acha mambo ya wakubwa lipa bill zako somesha watoto makorokocho mengine tupa kuleKuna video ya mahojiano na aliyekuwa waziri na pia Mwakilishi wa Tanzania UN Mheshimiwa Amina Salim Ali inayotembea kwenye mitandao ya kijamii akielezea kuwa Zanzibar ndiyo iliyotoa mtaji wa kuanzisha BOT kule kwenye East Africa Currency Board.
Na pia katika makubaliana ya muungano pia kuna fungi lao (asilimia 4 na ache) amblaa kwa sasa limefikia trillions na hawajalipwa
Hii ni moja ya Kero za muungano ambazo hatupewi sisi kama mwananchi mrejesho na wanasiasa wetu kuwa nini kimemalizwa na kipi bado na tatizo ni nini.
Mm ni Mtanganyika na sioni faida ya muungano kwangu. Kwa namna wanzibar wanavyowanyanyasa wa watu wa bara ni dhahiri huu muungano ni kwa faida ya hao ccm waliopo madarakani ila sio kwa watanganyika wa kawaidaWatanganyika wanajipendekeza kwenye muungano.
Jibu hoja acha mihemko.Kuna military academy ya ukomando Zanzibar,ambayo ni ya jwtz, muungano ukivunjika itaendelea kuwepo!?..itakua ya jeshi gani!?..mipaka ya Sasa ya baharini ya Tanzania itabaki vilevile!?..una umri gani wewe!?..shule ulipitapita!?
Hapo ulipotaja Hong Kong hakuna Taiwan?Hebu Rudi post no 83 ulikoni-quote ukaangalie Kama hakuna hong Kong
Sasa ikiwa hivyo Kuna Tanzania hapo!?..poor reasoning abilityJibu hoja acha mihemko.
-Muungano ukivunjika hicho chuo kinabaki kuwa mali ya Zanzibar na haitaathili ufanisi wa jeshi la Tanganyika.
-Muungano ukivunjika tunarudi kwenye mipaka kabla ya muungano.
- Shule nilienda kupata elimu, sikupita maana sio njia ile. Pole kama ulipita.
Soma post #1.Deni lipi?
Watawala wa Taiwan,mpaka 1940s walijihesabu wao ndiyo watawala halali wa Dola yote ya uchina na akina mao,waliokua wakitawala china bara ni waasiHapo ulipotaja Hong Kong hakuna Taiwan?
Mimi nimeamua kujibu kuhusu Taiwan.
Labda na wao wakiachia kila kitu hukuHata tukowachana na muungano, deni la Zanzibar lazima lilipwe.
Nimekwambia Tanzania ni jina tu.Sasa ikiwa hivyo Kuna Tanzania hapo!?..poor reasoning ability