jambo la msingi kwa wazanzibari na watanzania wote keshokutwa jumaa tano tujitokeze kwenda kupiga kura.
kura yako ndio itakayo amua nani awe kiongozi wako.
kura ndio itatoa matokeo.tuacha mihemko.kura ndio itakayo amua.
wajibu wa kila mtanzania mwenye sifa kwanza ni kwenda kupiga kura.
na ninaamini kila chama kina wakala wake atakaye hakikisha kura za mgombea wake, tuache kuwa na wasiwasi, jipangeni tu.
kura yako ndio itakayo amua nani awe kiongozi wako.
kura ndio itatoa matokeo.tuacha mihemko.kura ndio itakayo amua.
wajibu wa kila mtanzania mwenye sifa kwanza ni kwenda kupiga kura.
na ninaamini kila chama kina wakala wake atakaye hakikisha kura za mgombea wake, tuache kuwa na wasiwasi, jipangeni tu.