MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Kwahiyo wewe unataka kusema Sultan Seyyid Said na Jamshid (waarabu) wana common culture, history and language na wabantu wakina Karume ???Hujaelewa bado maana ya taifa? Ngoja nirudie tena
A nation is a large group of people who inhabit a specific territory and are connected by history, culture, or another commonality.
Mataifa yapo mengi. WaIrish ni taifa, WaBritish ni taifa, WaJapan ni taifa, WaIran ni taifa n.k. Zanzibar ni taifa ukisoma vizuri hiyo maana ya taifa, ukijua historia ya Zanzibar utaona Zanzibar ni taifa. Tanganyika ilivyokuwepo haikuwa taifa. Ilikuwa ni nchi bandia.
Karume aliyetokea Malawi? Mbona historia yake inajulikana.Kwahiyo wewe unataka kusema Sultan Seyyid Said na Jamshid (waarabu) wana common culture, history and language na wabantu wakina Karume ???
Bwahahahaha! Kwenye JALA Customary Law encompasses Religious laws, like Islamic/Mohamedan Law. Hili naona limekupita kabisa, lakini utaelewa taratibu.JALA hairuhusu sheria za kidini, bali inaruhusu na kutambua matumizi ya sheria za kimila, miongoni mwa mengine.
MWONGO WEWE. The Holly See na The Vatican City are two separate legal entities. The Holly See inaweza ikahamia hata Tanzania leo hii, endapo kama Papa ataamua kuishi Tanzania. Lakini The Vatican City itaendelea kuwa nchi iliyoko ndani ya Roma, Italia. AU haukufundishwa kwamba The Holly See iliwahi kuhama baada ya Papa kufurumushwa Vatican na Napoleon ???Halafu ni hivi, matumizi ya jina 'Vatican' au 'Holy Sea' hutumika kumaanisha 'Mamlaka Kuu ya Kanisa Katoliki' kwa hiyo sidhani kama ni kitu cha kibishania, that's how it is.
Umesoma Bilateral Agreement between The United Republic of Tanzania and The Vatican City ??? Huu mkataba ndiyo ambao umeanzisha mahusiani baina ya hizi nchi mbili, na kutoa mwongozo wa shughuli zote za Kanisa Takatifu la Mitume nchini Tanzania. Wewe Mkatoliki gani huufahamu ???Siyo kweli kwamba Tanzania inazitambua Sheria za Vatican (Katoliki). Kwa sheria ipi?
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba kila Mzanzibari asili yake ni Oman ???Karume aliyetokea Malawi? Mbona historia yake inajulikana.
Mimi nitakuambia mambo ya kitaalamu, huu muda wa kuzungumzia siasa uchwara za kijamaa sina kabisa. Ninachosema ni hivi, sheria zinatambua kwamba Zanzibar inaweza kujiunga na taasisi za kimataifa na kuingia mikataba ya kimataifa. Hutaki unaacha....Kwa sababu hizo ulizotoa na mifano uliyotoa ukubali kuwa huu siyo muungano, ni vamizi. Nyerere alipinga Zanzibar kujiunga na OIC kwa kusema itaenda kinyume cha katiba ya JMT na nchi kutokuwa na dini (secular state). Tunashukuru kwa ulivyoonyesha wazi kuwa huo mnaouita muungano siyo muungano wa kawaida.
HAKUNA KITU CHA NAMNA HIYO.Za ndani kabisa siku tukivunja muungano Zanzibar anachukua km 16 kutoka usawa wa bahari piga kutoka feri na kama ubungo
Usipotoshe. Asili ya Mzanzibari ni Zanzibar. Oman ni ndugu zetu.Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba kila Mzanzibari asili yake ni Oman ???
Kwahiyo unataka kusema wakina Seyyid Said asili yao ni Pwani ya Afrika Mashariki ??Usipotoshe. Asili ya Mzanzibari ni Zanzibar. Oman ni ndugu zetu.
Naona upo at deniability.Kuna vamizi siyo muungano.Ila wakati wa vamizi, Zanzibar ilikuwa ni nchi.
Hakuna proof yoyote ya uwepo wa human beings wakati wa kumegeka, ila ile 1732 wakati Sultan Seyyid Said anahamishia makao makuu ya Sultanet yake toka Oman kuja Zanzibar, alikuta visiwa vile vina wenyewe, hivyo huyu ni mvamizi!. Mjerumani alipokuja Karl Peters aliingia mikataba na wenyeji, japo ilikuwa ni kwa lugha ya Kijerumani, na kina Sultan Mangungo hawakujua kusoma wala kuandika, wala kilichomo kwenye mikataba hiyo lakini saini zao za dole gumba zilikuwepo kuonyesha kukubali. Sultan yeye alivitwaa visiwa vya Unguja na Pemba baada ya kumfanya kitu ambacho hakijulikani mtawala wa asili wa Zanzibar, Mwinyimkuu na hivyo kuvitwa visiwa hivyo kama ameokota dodo chini ya mwambe!. Is that right?. What happened to Mwinyimkuu?Watu wa bara walivukaje bahari mpaka Zanzibar? Ukisema walikuwepo wakati visiwa vinamegeka siyo kweli. Modern human hakuwepo enzi hizo.
Hakuna kitu nakitaman kama zanzibar kuwa dissolved kama Tanganyika na kubak mikoa tu. Tukiwaacha waende zaoUkinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?
2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?
3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?
4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?
5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?
6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?
Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?
2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.
3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?
Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.
Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.
Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.
Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?
tatizo ni mambo yanavyokuwa mtu wa bara kwenda zenji vikwazo vyake sasa utadhani unaingia china na hata ukiwa huko unabaguliwa lkn wazenji wakija bara fresh ni kama mjuba anavyoingia mageto kwake utata ndo unaanzia hapa tunafika mpka kweny kumiliki ardhi wazenji wanamiliki bara lkn ni tofauti kwa mbara atakavyokuwa zenji kwa mfumo huu nini faida ya muungano sasa hpa ndo inshu ya serikali 3 ilipoanzia ili kuwepo na vikwazo pande zote mbara aende zenji kwa kibali the same na kwa mzenjiDuh!...huu muungano mbona mnaupinga hivi?....
You nailed it !! Na huo ndio ukweli!!!Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?
2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?
3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?
4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?
5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?
6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?
Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?
2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.
3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?
Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.
Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.
Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.
Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?
tatizo ni mambo yanavyokuwa mtu wa bara kwenda zenji vikwazo vyake sasa utadhani unaingia china na hata ukiwa huko unabaguliwa lkn wazenji wakija bara fresh ni kama mjuba anavyoingia mageto kwake utata ndo unaanzia hapa tunafika mpka kweny kumiliki ardhi wazenji wanamiliki bara lkn ni tofauti kwa mbara atakavyokuwa zenji kwa mfumo huu nini faida ya muungano sasa hpa ndo inshu ya serikali 3 ilipoanzia ili kuwepo na vikwazo pande zote mbara aende zenji kwa kibali the same na kwa mzenji
Duh !! Lakini Mungu si Athumani sasa hivi mambo ni mpwito mpwito !! Mshindwe wenyewe tu !!Mliyataka wenyewe kwa kukubali anti ya uingereza ya kuivamia Zanzibar.
Uelewe pesa zote zinazopatikana kuanzia Za viza mpaka utalii Na sehemu Za historia , bandari zimechukuliwa kwa nguvu Na Tanganyika. Haya ni masharti mnayowapa vibaraka wenu mnayowapa madaraka kwa nguvu
Wataanzaje mana asali ya Tanganyika imeeazidia utamu.Duh !! Lakini Mungu si Athumani sasa hivi mambo ni mpwito mpwito !! Mshindwe wenyewe tu !!
Last point kuhusu usalama[emoji108][emoji108][emoji108]Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?
2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?
3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?
4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?
5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?
6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?
Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?
2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.
3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?
Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.
Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.
Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.
Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?
Mbona hata Tanganyika kwenyewe , wenye hizo sifa wanatukuzwa.Na sasa hivi wameanza kufukuzwa watanganyika taratiibu kwa kisingizio cha umalaya na omba omba