Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Duh !! Lakini Mungu si Athumani sasa hivi mambo ni mpwito mpwito !! Mshindwe wenyewe tu !!
Hakuna tushindwe wenyewe bado Zanzibar Si nchi , inatawaliwa Na Tanganyika. Mwinyi kaletwa Na Magufuli kuimaliza . Pesa zote ambazo Wazanzibari walionje hutumar zinachukuliwa Na Tanganyika. Wazanzibari