Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Yaani uchaguzi wa Rais Na wabunge unaona jambo dogo huku watu wanapotezwa maisha Na wengine kuuliwa ? Hongera sanaLabda kwa mambo madogo madogo sio kwa jambo kubwa kama hilo !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani uchaguzi wa Rais Na wabunge unaona jambo dogo huku watu wanapotezwa maisha Na wengine kuuliwa ? Hongera sanaLabda kwa mambo madogo madogo sio kwa jambo kubwa kama hilo !
Pole sana kwa kupotelewa na ndugu zako..naomba tusahau yaliyopita tusonge mbele kuipata serikali moja ya JMT.Yaani uchaguzi wa Rais Na wabunge unaona jambo dogo huku watu wanapotezwa maisha Na wengine kuuliwa ? Hongera sana
Mbona unabadilisha hos angani?Pole sana kwa kupotelewa na ndugu zako..naomba tusahau yaliyopita tusonge mbele kuipata serikali moja ya JMT.
Kubaki na hasira..chuki na visasi haitosaidia.
#MaendeleoHayanaChama
Duh ! Sina maana Hiyo huenda nimekuelewa vibaya au umenielewa vibaya ! Sorry tuachie hapo !Yaani uchaguzi wa Rais Na wabunge unaona jambo dogo huku watu wanapotezwa maisha Na wengine kuuliwa ? Hongera sana
Hii ilikuwa mojawapo ya taarifa ya habari mwaka 2010 ikisomwa katika chombo cha habari cha kimaifa ikiitaja zanzibar kama nchi;
Zanzibar Siyo Nchi
Ni nchi inakidhi vigezo vyote
Zanzibar Siyo Nchi
Je, zanzibar ina uwakilishi umoja wa mataifa kama mwanachama?Ni nchi inakidhi vigezo vyote
Watu
Bunge
Mipaka
Jeshi
Sarafu
Wimbo wa taifa
Bendera
Haina Uwakilishi UNJe, zanzibar ina uwakilishi umoja wa mataifa kama mwanachama?
HapanaJe, zanzibar ina uwakilishi umoja wa mataifa kama mwanachama?
Imekaa hivyo kwasabb Zanzibar ni nchiHii imekaaje??
Hii kauli ya Mizengo Pinda, July 2008, ilipingwa vikali na wajumbe wa baraza la wawakilishi huku wakitaka zanzibar iendelee kutambulika kama nchi."Zanzibar siyo nchi".
By Mizengo Pinda (former PM)
HapanaJe, zanzibar ina uwakilishi umoja wa mataifa kama mwanachama?
Nakumbuka mpk Pinda akatoa mchozi bungeniHii kauli ya Mizengo Pinda, July 2008, ilipingwa vikali na wajumbe wa baraza la wawakilishi huku wakitaka zanzibar iendelee kutambulika kama nchi.