Duh !! Lakini Mungu si Athumani sasa hivi mambo ni mpwito mpwito !! Mshindwe wenyewe tu !!
Duh !Hakuna tushindwe wenyewe bado Zanzibar Si nchi , inatawaliwa Na Tanganyika. Mwinyi kaletwa Na Magufuli kuimaliza . Pesa zote ambazo Wazanzibari walionje hutumar zinachukuliwa Na Tanganyika. Wazanzibari View attachment 2297760wanapewa pesa Za madafu
Wanailamba bila bughudha huku wanabembelezwa wasiuvunje muungano !! Au vipi ??!!Wataanzaje mana asali ya Tanganyika imeeazidia utamu.
#MaendeleoHayanaChama
Ila wazenji kwa kulia lia..ndio mana midebwedo.Hakuna tushindwe wenyewe bado Zanzibar Si nchi , inatawaliwa Na Tanganyika. Mwinyi kaletwa Na Magufuli kuimaliza . Pesa zote ambazo Wazanzibari walionje hutumar zinachukuliwa Na Tanganyika. Wazanzibari View attachment 2297760wanapewa pesa Za madafu
Wenyewe ndio hawataki muungano uvunjike..undhani ukovunjika walamba asali wa zenji wataishije..mana kuna wabunge jina wapo dodoma wanalamba asali mwaka mzima ila wanayo yasikiliza ni 90% masuala ya Tanganyika.Wanailamba bila bughudha huku wanabembelezwa wasiuvunje muungano !! Au vipi ??!!
Ni kwa sababu hakuna aliye Familia yako ameuliwa au kutiwa kilema. Mzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufiIla wazenji kwa kulia lia..ndio mana midebwedo.
#MaendeleoHayanaChama
Kwa vipi Na mama hapo ni Kama remote controlDuh !! Lakini Mungu si Athumani sasa hivi mambo ni mpwito mpwito !! Mshindwe wenyewe tu !!
Kwanini mtake kuvunja muungano..ili hali muungano ni kitu kizuri cha faida kwa wote.?Ni kwa sababu hakuna aliye Familia yako ameuliwa au kutiwa kilema. Mzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufi
Sasa mtafanyeje?Kwa vipi Na mama hapo ni Kama remote control
Sasa mtafanyeje?
Mimi nakushauri acha kulialia ungana na wenzako wazenji wanao lamba asali ya Tanganyika maisha yaendelee mana huu muungano sioni ukifa.
#MaendeleoHayanaChama
Kwanini mtake kuvunja muungano..ili hali muungano ni kitu kizuri cha faida kwa wote.?
Je wewe ni muumini wa muungamo ama utengano?
Je uko tayari kwa serikali moja tu ya JMT.??
#MaendeleoHayanaChama
Duh...!.
huku ni kuuchokoa Muungano!.
Ndani ya Muungano, Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT inayojitegemea kwa mambo yake ya ndani. JMT ndio nchi. Ni nchi moja yenye rais mmoja wa JMT na Amir Jeshi Mkuu.
Nje ya Muungano, Zanzibar ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT.
Muungano wetu ni Muungano unique duniani.
Kwa upande mmoja ni Muungano wa Union, yaani Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.
Kwa upande wa pili Muungano wetu ni federation yenye nchi mbili, katiba mbili, serikali mbili na marais wawili, ila kati ya hizo nchi mbili, moja ni dola na nyingine sio dola.
P
Remote control kivipi tena ilhali yeye ndiye TOP Nchi nzima ??!Kwa vipi Na mama hapo ni Kama remote control
Siku zote palipo waislam wengi lazima pawe na ubaguzi mkubwa saanaHao wapemba nyoko sana, kuna vijiji vya Movemero Morogoro, Njombe nk, wamehamia huko wana nyumba, mashamba wanalima kila kitu na kuzalisha wake za watu ila kwa Watanganyika Zanzibar ni untouchable.
Kwani huu muungano unatufaidisha nini? Kama vipi tulianzishe tu.
Kwahiyo wewe hutaki muungano bali utengano.Najua nafanya nini , sikumwagii mtama . Yana mwisho apendavyo Ałlah
Kumbuka chenye mwanzo kina mwisho
Jamani wapeni uhuru%%%@Zanzibar ni nchi huru isiyo na uhuru!
Ndivyo tunavyoonyeshwa kuwa yuko top , hata wewe unajua kuwa yeyer ni remote control tuRemote control kivipi tena ilhali yeye ndiye TOP Nchi nzima ??!