Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Ndugu yangu angalia usije kufa kwa ugonjwa wa moyo, huu Muungano hakuna wa kuuvunja hayupo hajazaliwa na hatozaliwa wee umia vumilia mpaka mwisho wa dahari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu angalia usije kufa kwa ugonjwa wa moyo, huu Muungano hakuna wa kuuvunja hayupo hajazaliwa na hatozaliwa wee umia vumilia mpaka mwisho wa dahari.
Anapatikana mtaa wa Tandamti na Congo Kariakoo location namba nitafute.
Ndiyo, Zanzibar ni dola kwasababu haijawahi kupoteza mamlaka yake yote ya kujitawala (State-Hood and Sovereignty), Tanganyika haipo. Japo kuna wataalamu wengi wanaamini kwamba Tanganyika bado ipo, ilichofanya ni kubadilisha tu jina na kuitwa JMT baada ya kupoka madaraka ya Zanzibar.Kwaiyo unamaanisha Zanzibar ni dola na Tanganyika ni dola nchi ni Tanzania
Zanzibar ni mkoa uliochangamka, hadhi ya Hussein Mwinyi kwenye baraza la Mawaziri haina tofauti na hadhi ya kipara mkata umeme.Jana nikiwa sehemu fulani nilisikia baadhi ya wasomi wakijadili mambo kadhaa hasa wakiitaja nchi iitwayo Zanzibar.
Kwa walio na ufahamu vizuri nitaomba msaada hapa. Kwa uelewa wangu, ili sehemu ya ardhi inayokaliwa na watu iitwe nchi(state), ni lazime pawepo na mambo yafuatayo:
1. Mipaka kamili inayotambulika kimataifa
2. Serikali
3. Watu na makazi
4. Iwe na uwezo wa kuingia makubaliano na nchi nyingine bila kuingiliwa au kuhitaji ruhusa kutoka sehemu nyingine.
Ikiwa sehemu inajitosheleza kwa mambo yote hayo manne basi, huitwa na kutambulika kama nchi.
Lakini sehemu hiyo (nchi) inaweza kupoteza sifa ya kuitwa nchi na jumuia za kimataifa kama:
1. Itaungana na nchi nyingine kutengeneza nchi au taifa moja
2. Itakubali kutawaliwa na nchi nyingine
3. Mipaka yake itamezwa na nchi nyingine
4. Itagawanyika katika sehemu ndogondogo zenye mamlaka kamili
Je, baada ya Zanzibar kuungana na Tanganyika na kuunda serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bado Zanzibar inatambulika kama nchi? ni vigezo gani huifanya zanzibar kuitwa nchi?
Zbr haina jeshiNi nchi inakidhi vigezo vyote
Watu
Bunge
Mipaka
Jeshi
Sarafu
Wimbo wa taifa
Bendera
Andiko la kisiasa tu hilo, hakina mantiki in real sense.Hii imekaaje??
View attachment 2455879
Ndugu yangu angalia usije kufa kwa ugonjwa wa moyo, huu Muungano hakuna wa kuuvunja hayupo hajazaliwa na hatozaliwa wee umia vumilia mpaka mwisho wa dahari.
Jeshi la Zbr linaitwaje ?Huu ndio uzuri mmoja wa JF, uelimishaji umma, huna haja ya hairs na kutokana watu humu, rubbish, bull crap, huu ni uwanja wa kuelimishana, muungano wetu ni unique haupo pengine popote duniani!, muungano wetu kimataifa tuu ndio muungano wa union uliounda nchi moja ya JMT, lakini kitaifa, muungano wetu sio union, ni federation yenye nchi mbili, katiba mbili, marais wawili, mabunge mawili, Mahakama mbili, nyimbo mbili za taifa, bendera mbili, majeshi mawili, sarafu ndio moja. Tofauti pekee kati ya nchi hizi mbili ni moja ndio yenye sovereignty na nyingine haina.
P
Jeshi la Zanzibar ni KMKM, JKU na vikosi vya SMZ.Jeshi la Zbr linaitwaje ?
Anapatikana mtaa wa Tandamti na Congo Kariakoo location namba nitafute.
Na wakuu wa vikosi wote Mwinyi kaleta kutoka kwao TanganyikaJeshi la Zanzibar ni KMKM, JKU na vikosi vya SMZ.
P
Hussein Mwinyi ni mtanganyika, mwenye asili ya mkoa wa Pwani huko Kisarawe, kama sio kisarawe basi Mkuranga.Sikuwa najua kuwa Bakhresa, Samia na Hussein Mwinyi ni Wapemba.
Ndiyo, Zanzibar ni dola kwasababu haijawahi kupoteza mamlaka yake yote ya kujitawala (State-Hood and Sovereignty), Tanganyika haipo. Japo kuna wataalamu wengi wanaamini kwamba Tanganyika bado ipo, ilichofanya ni kubadilisha tu jina na kuitwa JMT baada ya kupoka madaraka ya Zanzibar.
Hili linakuwaje gumu kueleweka ilhali nchini Marekani kuna madola 50 (States) yanayojitawala na kujiendesha yenyewe chini ya Serikali Kuu ya Shirikisho ??
Zanzibar tangu imezaliwa, ukimuondoa Mwinyi Mkuu, Dr. Salmin na Dr. Shein, Zanzibar haijawahi kutawaliwa na MZanzibari, hivyo sii ajabu, kuongozwa na Wabara!, kama Zanzibar iliongozwa watu kutoka Oman, Malawi na Bara, kuna ajabu gani Wabara wakawa ndio wakuu wa hivyo vikosi kutokana na ukweli huu Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?Na wakuu wa vikosi wote Mwinyi kaleta kutoka kwao Tanganyika
Yaani PM Muhammed Shamte Mpemba wa Ole si Mzanzibari ??Zanzibar tangu imezaliwa, ukimuondoa Mwinyi Mkuu, Dr. Salmin na Dr. Shein, Zanzibar haijawahi kutawaliwa na MZanzibari, hivyo sii ajabu, kuongozwa na Wabara!, kama Zanzibar iliongozwa watu kutoka Oman, Malawi na Bara, kuna ajabu gani Wabara wakawa ndio wakuu wa hivyo vikosi kutokana na ukweli huu Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
P
Jeshi ni moja tu JWTZ, hivyo vingine vyote ni kama vikosi vya mgambo tu, sawa ?Jeshi la Zanzibar ni KMKM, JKU na vikosi vya SMZ.
P
Samahani nilimsahau Shamte.Yaani PM Muhammed Shamte Mpemba wa Ole si Mzanzibari ??
Ndivyo sheria na katiba zinavyosema hivyo ???
Yes jeshi as jeshi ni moja, wale ni migamboJeshi ni moja tu JWTZ, hivyo vingine vyote ni kama vikosi vya mgambo tu, sawa ?
Hapo sawaYes jeshi as jeshi ni moja, wale ni mitambo
Hivyo rais wa Zanzibar ni amir jeshi wa migambo ya Zanzibar ya KMKM, JKU na vikosi vya SMZ.
P