Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

Well said! Ila dola gani isiyo na jeshi?
Mkuu unashangaa nini, mbona kuna madola duniani hayana majeshi !!!
-The Vatican.
-The Sovereign Order of Malta
-The Principality of Andorra

Kwenye suala la ajira, hujanishawishi mkuu.
Ajira zote za Zanzibar ni lazima uwe na kitambulisho cha mkazi.. labda nafasi nyeti za wizara/taasisi zinazihusiana na muungano mfano ofisi ya makamu wa rais.
Nadhani umesoma kwa kujibu, hujasoma ili kuelewa. Nimezungumza kwamba kwenye Union Matters watanganyika wanafanya kazi Zanzibar. Lakini huu mfumo uko hata kule Marekani. Kuna ofisi za jimbo na shirikisho. Hapa gumu kuelewa ni lipi ???
 
Wakati mwingine huwa unachemka sana Pascal Mayalla .
Muungano wa Union ndiyo nini ?!.

Muungano wetu ni utapeli wa wanasiasa hasa walioko madarakani . Nothing more
Kuvunjika kwa muungano ndio mwisho wa ccm...hasa ccm vibaraka kutokea zenji..hawa kufa kupona hawataki huu muungano feki ufe..wako lazi kuuwa ndugu na jamaa zao ila tu ccm iendelee kutawala..ili waendelee kufaidi mema ya nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Duh...!.
huku ni kuuchokoa Muungano!.
Ndani ya Muungano, Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT inayojitegemea kwa mambo yake ya ndani. JMT ndio nchi. Ni nchi moja yenye rais mmoja wa JMT na Amir Jeshi Mkuu.

Nje ya Muungano, Zanzibar ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT.

Muungano wetu ni Muungano unique duniani.
Kwa upande mmoja ni Muungano wa Union, yaani Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.

Kwa upande wa pili Muungano wetu ni federation yenye nchi mbili, serikali mbili na marais wawili.
P
P
Just as UK na jamaa zake England na Scotland nk
 
Hao wapemba nyoko sana, kuna vijiji vya Movemero Morogoro, Njombe nk, wamehamia huko wana nyumba, mashamba wanalima kila kitu na kuzalisha wake za watu ila kwa Watanganyika Zanzibar ni untouchable.

Kwani huu muungano unatufaidisha nini? Kama vipi tulianzishe tu.
Wivu huu sasa,tupige kura ya Maoni
 
Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:

1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?

2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?

3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?

4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?

5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?

6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?

Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:

1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?

2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.

3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?

Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.

Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.

Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.

Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.

Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?

Ina maana wewe ukiwa sehem ya mke wako anakuwa hana uhuru?
 
Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:

1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?

2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?

3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?

4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?

5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?

6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?

Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:

1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?

2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.

3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?

Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.

Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.

Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.

Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.

Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?

Muungano una nchi moja tu, ambayo ni Zanzibar.

Watanganyika hawaitaki nchi yao!

Kinachofanyika sasa ni nchi isiyotambulika kuikalia kimabavu na kuidumaza Zanzibar!!
 
Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:

1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?

2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?

3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?

4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?

5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?

6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?

Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:

1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?

2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.

3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?

Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.

Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.

Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.

Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.

Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?

 
Back
Top Bottom