vyansekale
Member
- Mar 8, 2021
- 19
- 6
HahahahahaZanzibar ni nchi huru isiyo na uhuru!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaZanzibar ni nchi huru isiyo na uhuru!
Mkuu unashangaa nini, mbona kuna madola duniani hayana majeshi !!!Well said! Ila dola gani isiyo na jeshi?
Nadhani umesoma kwa kujibu, hujasoma ili kuelewa. Nimezungumza kwamba kwenye Union Matters watanganyika wanafanya kazi Zanzibar. Lakini huu mfumo uko hata kule Marekani. Kuna ofisi za jimbo na shirikisho. Hapa gumu kuelewa ni lipi ???Kwenye suala la ajira, hujanishawishi mkuu.
Ajira zote za Zanzibar ni lazima uwe na kitambulisho cha mkazi.. labda nafasi nyeti za wizara/taasisi zinazihusiana na muungano mfano ofisi ya makamu wa rais.
Zanzibar ni dola, nchi ni Tanzania.Hongera umeeleza vizuri sana sana ila mwanzoni umekosea kusema Zanzibar ni dola na sio nchi...usahihi ni kuwa Zanzibar ni nchi lakini sio dola.
Kuvunjika kwa muungano ndio mwisho wa ccm...hasa ccm vibaraka kutokea zenji..hawa kufa kupona hawataki huu muungano feki ufe..wako lazi kuuwa ndugu na jamaa zao ila tu ccm iendelee kutawala..ili waendelee kufaidi mema ya nchi.Wakati mwingine huwa unachemka sana Pascal Mayalla .
Muungano wa Union ndiyo nini ?!.
Muungano wetu ni utapeli wa wanasiasa hasa walioko madarakani . Nothing more
Just as UK na jamaa zake England na Scotland nkDuh...!.
huku ni kuuchokoa Muungano!.
Ndani ya Muungano, Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT inayojitegemea kwa mambo yake ya ndani. JMT ndio nchi. Ni nchi moja yenye rais mmoja wa JMT na Amir Jeshi Mkuu.
Nje ya Muungano, Zanzibar ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT.
Muungano wetu ni Muungano unique duniani.
Kwa upande mmoja ni Muungano wa Union, yaani Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.
Kwa upande wa pili Muungano wetu ni federation yenye nchi mbili, serikali mbili na marais wawili.
P
P
Wivu huu sasa,tupige kura ya MaoniHao wapemba nyoko sana, kuna vijiji vya Movemero Morogoro, Njombe nk, wamehamia huko wana nyumba, mashamba wanalima kila kitu na kuzalisha wake za watu ila kwa Watanganyika Zanzibar ni untouchable.
Kwani huu muungano unatufaidisha nini? Kama vipi tulianzishe tu.
Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?
2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?
3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?
4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?
5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?
6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?
Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?
2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.
3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?
Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.
Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.
Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.
Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?
Siku nyingine ukishajua utatype uharo usinikoti.Wivu huu sasa,tupige kura ya Maoni
Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?
2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?
3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?
4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?
5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?
6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?
Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?
2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.
3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?
Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.
Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.
Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.
Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?
Zenji ni parasite kwa Tanganyika.
Watu hufariki ila nchi hudumu milele.Hivi Tanganyika ipo wapi au kafa nayo Nyerere
Iko wapi Tanganyika ?Watu hufariki ila nchi hudumu milele.
Pale pale ilipokuwepo 1961.Iko wapi Tanganyika ?
Pale pale ilipokuwepo 1961.
Kupe haitoshi mfano mzuri ni mnyoo wa tumboni ascaris au tapewormTena obligate parasite..kupe hao.
#MaendeleoHayanaChama
We makumaku mbona unajihangaisha hivyo.Mzee uliombwa huko nini ?
We makumaku mbona unajihangaisha hivyo.
Ukinambia ni sehemu ya Tanzania nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar?
2. Kwanini ni ngumu ajira za Zanzibar kuhusisha Watanganyika?
3. Kwanini wana rais wao na bendera yao?
4. Kwanini wana taasisi zao zinazojitegemea kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi nk?
5. Kwanini timu za Zanzibar zinaiwakilisha Zanzibar kama nchi kwenye mashindano mbalimbali ya CAF kwa ngazi ya vilabu?
6. Kwanini taasisi zao zinaendeshwa tofauti kabisa na Tanzania, mfano kule watu wanatibiwa bure kwa hospitali za serikali, gharama za umeme ni nafuu sana nk?
Ukinambia Zanzibar ni nchi huru nitakuuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini haina amiri jeshi mkuu kwa maana ya kwamba haina jeshi linalojitegemea?
2. Kwanini Tanzania ikikopa Zanzibar wanapata fungu lao tena kwa uwiano usio sawa (Zanzibar inapata ratio kubwa) huku ikiwa mlipaji wa mkopo akiwa Tanzania bara pekee.
3. Kwanini haina sarafu yake yenyewe?
Mtazamo wangu: Muungano una mapungufu mengi.
Huwezi kuwa na Nchi ambayo kuna wakati inakuwa nchi kamili na kuna wakati inakuwa sehemu ya nchi nyingine.
Nadhani ni muda sahihi Zanzibar kuwa mkoa wa Tanzania, ama tuwaachie nchi yao wajitegemee.
Inavyoonekana ni kuwa Nyerere alitaka kuwalaghai Wazanzibari mwisho wa siku akajikuta anatengeneza muungano usioeleweka na sasa madhara yake yapo dhahiri.
Hoja ya usalama kwangu haina mashiko! Kama tumeweza kuilinda mipaka yetu yote dhidi ya nchi korofi zinazotuzunguka tutashindwaje kujilinda dhidi ya Zanzibar?
Wala! Mimi nimeiona hiyo mikitu maeneo mbalimbali huku bara wana tabia chafu hatari.Uliandika mwenyewe , Mimi nauliza Tu usikasirike
Wala! Mimi nimeiona hiyo mikitu maeneo mbalimbali huku bara wana tabia chafu hatari.