Zanzibar ni nzuri kwa kuisikia ila ni chafu kwa kuiona

Ukitaka kutaja aibu ya mwenzako taja yako kwanza

Embu twambie kwenu hlf tukujadili kma ni pasafi au pachafu
 
Naomba kueleweshwa, kwa hiyo Bara ni kusafi sana, hakuna uchafu, wasio waislamu ni wasafi sana, si ndio !!??
Ndugu yangu kazi ya kafiri nikujikweza na kujiona bora ukweli ulivio dar inaongoza kwa uchafu wote unao ujua
 
Hata dar maeneo yanayokaliwa na waislam wengi machafu sana!! Mfano,manzese,magomeni,mabibo,kigogo,ilala,temeke .kifupi waislam wengi wachafu.nangoja povu
 
Wazee wa "uchumi wa buluu" Wanavyo pasifia kwao sasa utasema New York City ya Africa
 
Ni ngumu kumtenga muafrika na uchafu...

Ukiona sehemu safi Afrika ujue ni mitaa wanayoita uzunguni, ushuani na majina kama hayo...
 
Zenji 70% ya wanaume watu wazima ktk ujana wao wamelawitiwa... Hali ya ushoga ni kubwa sana... Ndiyo maana ile issue ya afwande wao sio habar kwao...
 
Ulitaka waisilamu ndio watengeneze sehemu ya kutupa uchafu serikali kodi inayo kusanya serikali ya nn?mbona dar inaongoza kwa uchafu kazi kuwaandama waisilamu
Wasitupe taka hovyo na maeneo wasafishe yawe masafi
 
Huna lolote wewe unateletea habari wa wachungaji unakuta wanaubili kwa lugha ya kiswahili ukiwa waulize swali wanasema wewe ujaelewa sababu huna roho mtakatifu[emoji12][emoji2957][emoji23]
 
Ukitaka kutaja aibu ya mwenzako taja yako kwanza

Embu twambie kwenu hlf tukujadili kma ni pasafi au pachafu
Kutiaka kumjua kafiri akikutukana mkubalie kisha muulize wewe jambo hilo kwenu halipo?jibu lake kusepa hata huyu awezi taja mkoa wake wala kabila lake
 
Na gari zao wakikaa wanaangaliana kama matiki maji ila wapemba ni ndugu zangu ila hii ni too much.
 
Cha kushangaza, Zanzibar ya Sultan haikuwa hivyo. Hao Wazanzibari waliopinduliwa ambao wengi wao ndiyo walikuwa idara zote za kuendesha nchi walipokimbilia Oman wakapewa nyadhifa huko, sasa tunaiona Oman kuwa na maendeleo, kwa usafi kwa aliyefika Oman, hakuna mfano wake labda uilinganishe na Singapore.

Mimi siyo Muunguja lakini nasema watu kutoka bara waliojazana huko ndiye waliopeleka huo uchafu, kama walivyotuletea Dar na viunga vyake.

Naona umechomekea Waislam, kwa kujujuza tu, hakuna imani inayofundisha na kuongoza kwa usafi kama Uislam.
 
So tupinge chafu au tupige vita uislam Kwa kuwa waislam wa Pemba wachaf?. Mbona udinism hapa jf una mizizi ya chuma?
Moderator
YinYang
Comment za kidini ziondoeni mana sioni kama zitaendeleza mjadala nje ya kuleta watu kutukanana humu
Africa kuna upumbavu wa aina take,watu wakikemea kitu zinatangulizwa dini-kwa hiyo unataka watu wasizungumze kisa dini za kikoloni.
 
Kwa hiyo ulitaka wa Oman na Sultani waendelee kukaa Zanzibar?
 
Watu wa pwani wachafu bna!! Ukitoa kuoga na kujifukiza udi huwa wanaishi kwenye mazingira machafu sana nadhani pia inachangiwa na uvivu.
 
Siyo kweli, mimi siyo Mpemba wala Mzanzibari lakini nimeenda sana Unguja na Pemba. Mgahawa upi huo wa Pemba ulioukuta mchafu?

Kuwa mkweli.
Wapemba tunaishi nao ni wachafu kama Wahindi
Nadhani shule nayo inachangia maana wengi wao hawana elimu.
 
Wengi humu wanadhani usafi ni kutawaza na kujifukiza udi wanasahau usafi unaangaliwa na mazingira yanayokuzunguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…