Unapata hasira kwa lipi? hizo ni hofu mnazojipa wenyewe; ila kwa uhakika wakristo wazawa wa Zanzibar hawana hofu yoyote nilikuwapo mwaka jana sikuyaona hayo unayoyasema kila kitu kilikuwa shwari. Nyie ndio mnaotaka kupotosha watu kwa hisia zenu; Mkuu nimeshakuambia isemee nafsi yako undani wa mtu huujui kuvaa msalaba au kushika tasbihi haimaanishi wewe ni muumini au mwadilifu!
Chama
Gongo la mboto DSM
Sasa sio udini tena imekuwa ni CCM? Mbona mkuu umeishiwa na hoja mepema!
Chama
Gongo la mboto DSM
Ni mzawa na nina hofu. Usijiingize kwenye malumbano ambayo huna full knowledge nayo. Na kwa hayo uliyoandika - hasa hapo kwenye red - napata picha!
Umeacha lini uchichman.?,ilo pango la panya peleka malawi..Pimbi mwingine huyo!
Chama
Gongo la mboto DSM
Nao marafiki ni wazawa tangu vizazi vya mabibi na mababu zao! Si hivyo tu tuna mahausiano ya karibu sana ya kifamilia! Tafuta wa kuwadanganya!
Chama
Gongo la mboto DSM
In Matthew 5:22, Jesus said it like this: But anyone who says, "you fool" will be in danger of the fires of hell.
In other words, disrespect is the doorway to all forms of Malice (intentionally inflicted harm), evil, sinister and diabolical and malicious behavior.
The God of peace will soon crush Satan under your feet. May the grace of the Lord Jesus Christ, and the love of God, and the fellowship of the Holy Spirit be with you all.
Rest in Peace
Naona msambaza chuki mkuu amerejea.....tutarajie posts za kashfa za kidini soon!
To you and your party CCM, Those are the the two parts of the same coin....they are inseparable.
Umeacha lini uchichman.?,ilo pango la panya peleka malawi..
Karibu, tunaandaa mazishi tarehe 20.
iyo taka ulizoweka jf nazo hoja...umeandika au umeandikiwa kilaza wew..Umeishiwa na hoja!
Chama
Gongo la mboto DSM
Shekhe Hassani Ilunga ni dini gani? Au ni gaidiMkuu chama,
Sisi wengine tunaishi na kufanya kazi na wa dini tofauti mimi mtu ambaye nafanya nae kazi ni Budda nipo bongo namtumia pesa yupo Macao ananitumia bidhaa, hapa bongo nina marafiki wengi Wakirsto kuliko Waislam, sasa kwa nini tuchukiane.
Shekhe Hassani Ilunga ni dini gani? Au ni gaidi
Kwani Adolf Hitler na Benito Mussolini walilkuwa Mapadri au Wachungaji? Mimi nimekuuliza SHEKHE HASSAN Ilunga ni dini gani? hapo kwenye red ndio inatofautisha kati ya Adolf Hitler , Benito Mussolini na HASSAN IlungaUislam siyo dini ya mtu. Nisaidie kujibu haya maswali yangu Adolf Hitler na Benito Mussolini walikuwa dini gani.
Kwani Adolf Hitler na Benito Mussolini walilkuwa Mapadri au Wachungaji? Mimi nimekuuliza SHEKHE HASSAN Ilunga ni dini gani
Kwani Adolf Hitler na Benito Mussolini walilkuwa Mapadri au Wachungaji? Mimi nimekuuliza SHEKHE HASSAN Ilunga ni dini gani? hapo kwenye red ndio inatofautisha kati ya Adolf Hitler , Benito Mussolini na HASSAN Ilunga
Mkuu kwani hizo clip za huyu gaidi anayejiita Shekhe mbona zimejaa humu JF au unajifanya kipofu?Ilunga siyo Shehe labda tusaidie wewe Shehe wa Msikiti gani?
Mkuu anzisha thread yake tutakujaNa wale Makasisi waliolengesha watu Kanisani wakawaita Banyamulenge wawamalize unasemaje ?:whistle:
Nao marafiki ni wazawa tangu vizazi vya mabibi na mababu zao! Si hivyo tu tuna mahausiano ya karibu sana ya kifamilia! Tafuta wa kuwadanganya!
Chama
Gongo la mboto DSM