Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.


Ni mzawa na nina hofu. Usijiingize kwenye malumbano ambayo huna full knowledge nayo. Na kwa hayo uliyoandika - hasa hapo kwenye red - napata picha!
 
Sasa sio udini tena imekuwa ni CCM? Mbona mkuu umeishiwa na hoja mepema!

Chama
Gongo la mboto DSM

To you and your party CCM, Those are the the two parts of the same coin....they are inseparable.
 
Ni mzawa na nina hofu. Usijiingize kwenye malumbano ambayo huna full knowledge nayo. Na kwa hayo uliyoandika - hasa hapo kwenye red - napata picha!

Nao marafiki ni wazawa tangu vizazi vya mabibi na mababu zao! Si hivyo tu tuna mahausiano ya karibu sana ya kifamilia! Tafuta wa kuwadanganya!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Nao marafiki ni wazawa tangu vizazi vya mabibi na mababu zao! Si hivyo tu tuna mahausiano ya karibu sana ya kifamilia! Tafuta wa kuwadanganya!

Chama
Gongo la mboto DSM

Karibu, tunaandaa mazishi tarehe 20.
 

Naona msambaza chuki mkuu amerejea.....tutarajie posts za kashfa za kidini soon!
 
Mkuu chama,
Sisi wengine tunaishi na kufanya kazi na wa dini tofauti mimi mtu ambaye nafanya nae kazi ni Budda nipo bongo namtumia pesa yupo Macao ananitumia bidhaa, hapa bongo nina marafiki wengi Wakirsto kuliko Waislam, sasa kwa nini tuchukiane.
Shekhe Hassani Ilunga ni dini gani? Au ni gaidi
 
Mkuu Ritz
Kuna humu JF ni hatari kuliko yale magaidi unayoyajua sema hawajawa na courage ila ni hatari sana; tukichukiana kwa misingi ya kidini tutachukia wangapi?

Chama
Gongo la mboto DS
M

.......

Waliomuua Padre ni akina nani eti???Nawachukia kweli!
 
Uislam siyo dini ya mtu. Nisaidie kujibu haya maswali yangu Adolf Hitler na Benito Mussolini walikuwa dini gani.
Kwani Adolf Hitler na Benito Mussolini walilkuwa Mapadri au Wachungaji? Mimi nimekuuliza SHEKHE HASSAN Ilunga ni dini gani? hapo kwenye red ndio inatofautisha kati ya Adolf Hitler , Benito Mussolini na HASSAN Ilunga
 
Kwani Adolf Hitler na Benito Mussolini walilkuwa Mapadri au Wachungaji? Mimi nimekuuliza SHEKHE HASSAN Ilunga ni dini gani? hapo kwenye red ndio inatofautisha kati ya Adolf Hitler , Benito Mussolini na HASSAN Ilunga

Na wale Makasisi waliolengesha watu Kanisani wakawaita Banyamulenge wawamalize unasemaje ?:whistle:
 
Nao marafiki ni wazawa tangu vizazi vya mabibi na mababu zao! Si hivyo tu tuna mahausiano ya karibu sana ya kifamilia! Tafuta wa kuwadanganya!

Chama
Gongo la mboto DSM

Nyamaza we kima; hujui madhila tunayopata kwenye kisiwa hiki..uhuru wa kuabudu ni next to null and it has become worse recently-----haya mambo yanajulikana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…