Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Sijawahi kuwachukia Muslims kama ninavyowachukia kuanzia sasa!! I hate u so so so so much!!!nimetoka kanisani lakini kwahili siwezi kujizuia tena..
 
Mkuu Tuko

Pole sana nakuona umeandika kwa uchungu sana, lakini utanzania wetu ni zaidi ya hawa akina Ilunga. Serikali

inatuangusha, tusingefikia hapa tulipo bro.

I am confused kwakweli. Sijui niwachukie ama niwavumilie...
 
Ni muda muafaka wa Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, kukamatwa kwa uchochezi wake wa kuuliwa kwa viongoz wa dini ya kikristo
Naamini kabisa watawala wetu wanafahamu kinachoendelea lakini HAWAFANYI KITU!!! Sidhani kama watakamatwa waliotenda haya mauaji.
 
Mngekuwa mnalaani mauaji ya masheikh kule kenya kama mnavyolaani mauaji ya padri ningewaona wa maana sana

kwa kweli mauaji y a sheikh wa mombasa nayalaani sana tena nasikitika zaidi baada ya kugundua muuaji anayetuhum na kifo hicho ni Sheikh Ponda.
 
Sasa tunapoelekea kama taifa ni hatari, tusiwalaumu ndugu zetu waislam kabla hatujajua ni nan kafanya, ngoja tusubiri taarifa ya jeshi la polis ndo tufanye maamuzi kwani sasa inaelekea zanzibar si mahala salama kwa viongozi wa madhehebu ya kikristo,
 
Hata pinda jana ametoa kauli ya eti kulaani mauaji ya mchungaji kule Geita. Ni viongozi wa juu kabisa wa serikali ambao wananchi tunakuwa very anxious kusikia kauli zao na vitendo vyao juu ya mambo mazito lakini kama kawaida yao, wanaibuka na vi-statements ambavyo hata masikio yamekinai kusikia.
je waliomuua wamekamatwa?
 
Magaidi ndio waliomwua Padre Mushi.Kama hujui magaidi ni kina nani kamuulize George W.Bush
 
Naomba watu wasikimbilie ku-conclude kuwa ni ' mauji ya kidini'. Mara nyingi huku mtaani mchagga akiuwa issue ya ' kudhulumiana' fungu (mgawo) huwa ndio namba moja!
 
Hii ni hatari sana, siku wakristo nao wakatoa maneno kama hayooooo, sijui kama kutakuwa na amani tena, ......sehemu yeyeote ukitaka anamni jengenei utamaduni wa kuvumiliana....mfano mwananke mwenye akili, mume akirudi na mimaneno mingi, hutakiwi kujibu, atalala na kesho yeke umtayamaliza kwa amani




Kunahaja ya kufanya uchunguzi wa kina kwanini huyu Ilunga hakamtwi

Kikwete anaundugu naye?

Kikwete anamaslahi naye?

Kama hapana kwanini? naomaba tuingie ndani nakuutafuta ukweli, tutafute taarifa za huyu jamaa za kina na undani kisha kama itabidi.............Hawezi kutuweka watanzania zaid ya milioni 40 kuishi kwa mashaka na kuhatarisha maisha yetu.
 
Nazani vyombo vya usalama wachimbe zaidi wapate kiini cha mauaji haya,si bure hapa,kuna kitu tu kipo nyuma ya pazia
Kiini kina julikana bana labda watake kupoteza muda tu na pesa zetu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom