Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Tuko
Pole sana nakuona umeandika kwa uchungu sana, lakini utanzania wetu ni zaidi ya hawa akina Ilunga. Serikali
inatuangusha, tusingefikia hapa tulipo bro.
Naamini kabisa watawala wetu wanafahamu kinachoendelea lakini HAWAFANYI KITU!!! Sidhani kama watakamatwa waliotenda haya mauaji.Ni muda muafaka wa Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, kukamatwa kwa uchochezi wake wa kuuliwa kwa viongoz wa dini ya kikristo
We unadhani nani?Akiuawa Zanzibar ni Muislaam kaua ? Nyie ndo maana mnawekewa picha kisha mnasema mungu ! Pathetic creatures !
Mngekuwa mnalaani mauaji ya masheikh kule kenya kama mnavyolaani mauaji ya padri ningewaona wa maana sana
Actually he doesn't have one to even sit on...Are you sitting on your brain?
Waislam mna roho za kikatili sana hata haifai kuwa duniani!No ! Sababu serikali kugawa MoU na misamaha holela ya kodi kwa ukiristo !
ni ndoto kwa serikali hii-wahusika watafutwe na kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria
Machafuko ya dunia kwa sasa
yameletwa na hawa ndugu zetu wanaosari kwa kugonoka
!
Mf. Niger, Nigeria, Mali, Somali na
Zanzibar .. Wanachokitaka hasa
hakijulikana.
#Huenda haya mauaji
wanayoyafanya yanawaongezea umri
wa kuishi.
R.I.P
je waliomuua wamekamatwa?Hata pinda jana ametoa kauli ya eti kulaani mauaji ya mchungaji kule Geita. Ni viongozi wa juu kabisa wa serikali ambao wananchi tunakuwa very anxious kusikia kauli zao na vitendo vyao juu ya mambo mazito lakini kama kawaida yao, wanaibuka na vi-statements ambavyo hata masikio yamekinai kusikia.
Acha kujidhalilisha wewe mvaa pedo Kama sisi mabintiWewe ndiye uliye na udini usimsingizie JK kwa udahifu wako
Chama
Gongo la mboto DSM
Hii ni hatari sana, siku wakristo nao wakatoa maneno kama hayooooo, sijui kama kutakuwa na amani tena, ......sehemu yeyeote ukitaka anamni jengenei utamaduni wa kuvumiliana....mfano mwananke mwenye akili, mume akirudi na mimaneno mingi, hutakiwi kujibu, atalala na kesho yeke umtayamaliza kwa amani
Kiini kina julikana bana labda watake kupoteza muda tu na pesa zetu...Nazani vyombo vya usalama wachimbe zaidi wapate kiini cha mauaji haya,si bure hapa,kuna kitu tu kipo nyuma ya pazia