Huyu MOYONI anashangilia, amekomenti hivyo kukufurahisha, mbona mauaji mengine hayuko objective?!.. MDINI tu humjui.
mkuu
Ninamfaham vema nimejadili nae mambo mengi hapa janvin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu MOYONI anashangilia, amekomenti hivyo kukufurahisha, mbona mauaji mengine hayuko objective?!.. MDINI tu humjui.
tupe mfno au utpata msada tik marekani au israel
Tutafakari kwa nini wengi wa viongozi wa dini ya kikristo waliopigwa risasi kule Unguja ni kutoka Roman Catholic wala sio KKKT, Anglican, Moravian n.k???
Vita vyetu ni vya roho si vya mwili........
mbona kwenu mmeruhusiwahata hivyo ushoga ndio asili yenu
sera za upinzani nchi isitawalikefather tutakukumbuka daima!... Kifo chako ni alama ya udini uliojengwa na kutetewa na ccm ili waendelee kuhujumu taifa!.
Vyombo vya ulinzi si vipo tusubiri tuone au wewe una ushahuri gani.
Tumewasikia wenye maoni ya kupalilia chuki miongoni mwa watanzania kwa kisingizio cha mauaji ya maaskofu.
Walioumuua ni wakosaji sawa na wale wanaoshabikia mauaji na ulipizaji kisasi. ZNZ ni njema, atakaye na aje.
Polisi wanafanya uchunguzi na waliohusika watatiwa nguvuni bila shaka.
Haya ni mafanikio ya utawala wa dokta zaifu.
sera za upinzani nchi isitawalike