Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Kutoka Unguja Mh. Rais wetu mpendwa anaongea.... Rais kamshangaa Dr. Shein kwa jinsi gani anaweza kusaini makaratasi ya mtu anayekataa kumpa mkono
Nawaza jinsi Lowassa alivyo na moyo wa kipekee na wa kiuvumilivu. Huyu Lowassa ni mtu wa tofauti sana, tunatakiwa tumpe heshima yake kama taifa. Sio mtu wa vinyongo, ni mtu anayependa amani na ana focus mbele.
Yupo very strategic. Ni mtu mwenye kutafuta njia, sio kuangalia mabaya yaliyopita/alivyotendewa siku za nyuma.

Kiukweli tukiacha tofauti za kisiasa, this man deserves to be honoured sana.
Mtanikumbuka kwa hili andiko.

Naomba pia washauri wawe wanamwambia bwana mkubwa anapokosea, na ikibidi turudie utaratibu wa kuandikiwa hotuba. Tutalinusuru taifa na majanga yanayoweza kutokea.
Tusipende kuongea kwa hisia, hili litatugharimu kama taifa jamani.
 
Awamu hii, Nia/ chuki ya wanzanzibar kujitoa kwenye Muungano, huenda ikaongezeka zaidi...!!
 
Kumbe Mupo Nyie Magu-Fanboys ambao Ni BrainWashed??

Kabla Ya Kunita mimi Muongo Je Wewe Umekuja Na Evidence Gani Hapa Kuback up Your Claim??

I guess Kama Unavyodai Alipewa Gharama Za Matibabu Kwenda Kutibiwa India! Basi Zipo "Written documents" ZiUpload Hapa Uproove Kama Wewe Mkweli na Mimi Muongo!!

Usiwe Unakariri Yasemwayo Majukwaani Wakati Huwezi Kuyathibitisha Ukweli Wake dogo.

You kid bring Your Damn Proof to back up Your Fu**kin Claim, Otherwise get the hell out of my fu**kin Comments!
Shaka amsimanga Maalim Seif kutibiwa nje ya nchi

Maalim Seif akiri kufanyiwa hisani ya matibabu na viongozi wa CCM
 
Yule Aliyekuwa Mpaka Leo Hajaamini Kama CCM wana Akili Ndogo (Narrow Minded) Kuliko Hata Kuku Basi Mkutano Wa Leo Unguja na Uzi Huu Unatosha Kumjuilisha Hilo!!!

Kuhusu Rais Shein Kusaini Kwa Ajili Ya Kumpatia Hela Za Kusafiri Nje Ya Nchi, Pamoja Na Matibabu
Muheshimiwa Magufuli Kalizungumza Hili Pale Alipowasoma Wale Hadhira (CCM) kuwa Akili Zao Ni Finyu Kiasi Ya Kwamba Ni Brainwashed na Ni Remote Controlled Kiasi Ya Kwamba Watashindwa Kujiuliza Anasaini Kwa Sheria/Katiba ipi??

Ni Kweli Maalim Seif Alikuwa Ni Waziri Kiongozi, Na Baadae Akawa Makamo Wa Rais!
Kipindi Hicho Cha UwaziriKiongozi/UmakamoRaisi ni Kweli Alikuwa Akisafiri Kwa Kutumia Fedha Ya Serikali Kwa Ziara Zote Za Kiserikali Kwasababu Katiba inamruhusu Kufanya Hivyo.


Lakini Baada Ya Kuachana Na Nyadhifa Zote Hizo Basi Hasafiri Kwa Ziara Za Kiserikali, Bali Anasafiri Kwa Safari Zake Binafsi au Ziara Za Kichama!
Na Safari Hizo Zote Anatumia Pesa/Nauli Yake na Wala Si Kutoka Kwa Shein!

Mheshimiwa Magufuli Usiwachezee Watu Akili Kiasi Hicho Ya Kuwa Shein Atowe Pesa Za Serikali Ampe Seif Akazitembelee Ughaibuni.

Yeye Akiwa Ni Kama Makamo Wa Rais Mstaafu Atakuwa Anazohuduma Zilizoainishwa Kwenye Sheria Ni Lazima Azipate Kutoka Serikalini! Lakini Swala La Kusafiri na Kutibiwa Nje Ya Nchi Hilo Maalim Seif Haitegemei Serikali Kifedha Bali Ni yeye Mwenyewe Anaouwezo Wa Kujifadhili.

Labda ingefanana ungelisima Wewe Muheshimiwa Magufuli na Mheshimiwa Shein Mushirikiane Na Balozi Za Nchi Mbali mbali ili Anyimwe Viza Za Kusafiria Kama itawezekana! Na hilo Ndiyo lililo kwenye uwezo wenu.
atakuwa na yy hajui, kama alisema sadamu ni wa libya, vitu hvyo vidogo hataweza kujua kweli?
 
Nawaomba wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waungane kutoa hoja ya kumshitaki Rais kwa kutumia kipengele cha kutokuwa na uwezo wa kuiongoza nchi, au kipengele cha kukiuka maadili ya uanzishwaji wa vyama vya siasa.
Wabunge wa CCM au wepi hao?
 
Rais Magufuli anajitia tu aibu ktk ziara hii ya ZNZ
Wala alikua hajui nn akawaambie wakazi wa Unguja na Pemba
Lolote linalokuja yy anaongea
ndio unamjua leo, sisi tangu kampen zake tunajua ni mtu wa boko
 
anazidi kuongeza chuki na mipasuko kwa wazinzbar, kwani walishaanza kusahau sasa anawatonesha vidonda vyao
 
Yeye anamshangaa Shein kusaini makaratasi ya mtu baada ya kukataa kumpa mkono, lakini hashangai yeye aliyejitoa kafara ya kupambana na mafisadi kushiriki ufisadi wa boti bovu la bilioni nane kisha kujikausha kama siye vile, hashangai kuigwaya Lugumi hata kuiogopa kuitaja tu!!! Kweli hawakukosea waliosema ukistaajabu ya Mussa......

Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.

Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?

Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.
 
Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.

Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?

Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.

Nimuona akisema asingesaini fedha zake!! Aisee fedha za walipa kodi ni zako!! Tafadhali Magu usimharibu huyo muungwana! He is civilized you know!!
 
Wale waliokuwa wanaandika hotuba za Dr Kikwete na wajitokeze waliko waifanye kazi yao..
 
Back
Top Bottom