Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Na hapa ndio mwisho kabisa wa akili yako.haya tuma salamuLowasa aliyajua hayo ndio maana alitoa mkono haraka na tabasamu juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapa ndio mwisho kabisa wa akili yako.haya tuma salamuLowasa aliyajua hayo ndio maana alitoa mkono haraka na tabasamu juu.
Cha ajabu zaidiNdio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??
Sina uhakika wewe uko exempted katika hili kwamba hutonyooka pia!Acha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Nawaomba wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waungane kutoa hoja ya kumshitaki Rais kwa kutumia kipengele cha kutokuwa na uwezo wa kuiongoza nchi, au kipengele cha kukiuka maadili ya uanzishwaji wa vyama vya siasa.Toa ushauri nini kifanyike mkuu
Jinga kubwa..katika hao ambao wamekuwa brain washed ni wewe pia na wewe tuletee ushahidi wa nyaraka za malipo zinazoonyesha ya kuwa Seif amelipa mwenyewe? kama kukariri yanayosemwa basi you make two of us... nakwambia tena wewe ni muongo unakuja namihemko yako.. safari ya Seif kwenda kwenye matibabu India imelipwa na SMZ..kama huna cha kuongea basi nenda Kanye..Kumbe Mupo Nyie Magu-Fanboys ambao Ni BrainWashed??
Kabla Ya Kunita mimi Muongo Je Wewe Umekuja Na Evidence Gani Hapa Kuback up Your Claim??
I guess Kama Unavyodai Alipewa Gharama Za Matibabu Kwenda Kutibiwa India! Basi Zipo "Written documents" ZiUpload Hapa Uproove Kama Wewe Mkweli na Mimi Muongo!!
Usiwe Unakariri Yasemwayo Majukwaani Wakati Huwezi Kuyathibitisha Ukweli Wake dogo.
You kid bring Your Damn Proof to back up Your Fu**kin Claim, Otherwise get the hell out of my fu**kin Comments!
nakumbuka pale mlimani, baada ya kusema wanafunzi wa udom vilaza, waadhir wakiwemo mapofessor, walilalamika sana kuhusu hzi kauli zake, ambazo hajui impact yake baadaye anapokuwa anaongea yy kama raisJamani huyu mtu akiachiwa atazidi kuivuruga nchi, ana matatizo makubwa
Umesomeka mkuuNawaomba wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waungane kutoa hoja ya kumshitaki Rais kwa kutumia kipengele cha kutokuwa na uwezo wa kuiongoza nchi, au kipengele cha kukiuka maadili ya uanzishwaji wa vyama vya siasa.
ana misifa yule hata akiandikiwa hasomi!Magufuli awe na written speeches siyo Propaganda.
Leaders have to walk the talkTutasikia mengi sana
Hicho sio kitu cha muhimu ila ni kitu kinaonyesha jinsi viongozi wetu wa kiafrika wanatumia madaraka vibaya.Ndio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??
Hicho sio kitu cha muhimu ila ni kitu caha kusikitsha sana kinaonyesha jinsi viongozi wetu wa kiafrika wanatumia madaraka vibaya kukomoa.