Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Hatari sana..,...nafikiri akina lowasa,sumaye watanyanyasika sana kupata haki zao,wawe wepesi kuuambia umma endapo itatokea,mbona hii ni haki ya kisheria!! Kulikoni!!! Sheria yenyewe si ya muungano!!
Lowasa aliyajua hayo ndio maana alitoa mkono haraka na tabasamu juu.
 
Niliwaambia hapa kaeni tayari kwa lolote leo. Tushakula hasara miaka mitano
 
Aisee nahisi kama mh.wetu hayupo sawa.sijui lakini
 
Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.

Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?

Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.

Duh...shughuli shughulini.Ndo maana tunasema katiba inavunjwa na Magu watu hawasikii.
 
Nchi Ya Viwanda Na Kwasasa Iko Kwenye Mambo Ya Sheria. Tangu Jpm Aseme Mtu Akikamatwa Na Kidhibiti Hakuna Haja Ya Mahakama Afungwe Haraka Bado Sijaona Utekelezaji Wake Hasa Kwa Upande Wa Mahakimu Na Majaji. Ni Kama Wanatafakari Hili Jambo
Sheini Aendelee Kusaini KwakuwA Sheria Inamtaka Kufanya Hivyo.

Hii Nchi Kwasasa Kuna Weza Kufanyika Badiliko La Sheria Kwa Maslahi Ya Wachache!
 
Rais wangu mh. Magufuri visasi na vinyongo havijengi..! Timiza matakwa ya kisheria na wajibu wako kama rais kwisha figisi za Zanzibar waachie zitakutia lawamani bure!
 
Back
Top Bottom