Yule Aliyekuwa Mpaka Leo Hajaamini Kama CCM wana Akili Ndogo (Narrow Minded) Kuliko Hata Kuku Basi Mkutano Wa Leo Unguja na Uzi Huu Unatosha Kumjuilisha Hilo!!!
Kuhusu Rais Shein Kusaini Kwa Ajili Ya Kumpatia Hela Za Kusafiri Nje Ya Nchi, Pamoja Na Matibabu
Muheshimiwa Magufuli Kalizungumza Hili Pale Alipowasoma Wale Hadhira (CCM) kuwa Akili Zao Ni Finyu Kiasi Ya Kwamba Ni Brainwashed na Ni Remote Controlled Kiasi Ya Kwamba Watashindwa Kujiuliza Anasaini Kwa Sheria/Katiba ipi??
Ni Kweli Maalim Seif Alikuwa Ni Waziri Kiongozi, Na Baadae Akawa Makamo Wa Rais!
Kipindi Hicho Cha UwaziriKiongozi/UmakamoRaisi ni Kweli Alikuwa Akisafiri Kwa Kutumia Fedha Ya Serikali Kwa Ziara Zote Za Kiserikali Kwasababu Katiba inamruhusu Kufanya Hivyo.
Lakini Baada Ya Kuachana Na Nyadhifa Zote Hizo Basi Hasafiri Kwa Ziara Za Kiserikali, Bali Anasafiri Kwa Safari Zake Binafsi au Ziara Za Kichama!
Na Safari Hizo Zote Anatumia Pesa/Nauli Yake na Wala Si Kutoka Kwa Shein!
Mheshimiwa Magufuli Usiwachezee Watu Akili Kiasi Hicho Ya Kuwa Shein Atowe Pesa Za Serikali Ampe Seif Akazitembelee Ughaibuni.
Yeye Akiwa Ni Kama Makamo Wa Rais Mstaafu Atakuwa Anazohuduma Zilizoainishwa Kwenye Sheria Ni Lazima Azipate Kutoka Serikalini! Lakini Swala La Kusafiri na Kutibiwa Nje Ya Nchi Hilo Maalim Seif Haitegemei Serikali Kifedha Bali Ni yeye Mwenyewe Anaouwezo Wa Kujifadhili.
Labda ingefanana ungelisima Wewe Muheshimiwa Magufuli na Mheshimiwa Shein Mushirikiane Na Balozi Za Nchi Mbali mbali ili Anyimwe Viza Za Kusafiria Kama itawezekana! Na hilo Ndiyo lililo kwenye uwezo wenu.