Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeshaaambiwa anastahili tuzo! Sasa sijui ni ya niniBasi kama vp stahiki za Maalim Seif apewe Jecha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshaaambiwa anastahili tuzo! Sasa sijui ni ya niniBasi kama vp stahiki za Maalim Seif apewe Jecha.
Sio hisani hizo anasaini kikatibaHakuna laana mbaya kama kukakataa kumshika mkono rais wa nchi anayesaini posho zako..!
Ni mali zako hizo?Mimi siyo kusaini tu hata gari na ulinzi wa serikali ningemnyang'anya nyambafu..!
Hata mimi nisinge saini.
unamaanisha nini mkuuNinapatwa na mashaka mengi kuwa pengine kuna wakati bob anakuwa sio yeye yaani akili yake inapata intruders. .na hili linasemwasemwa
Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshauri Rais wa Zanzibar kuwa kwasababu Shein ndiye anayesaini stahiki za yule aliyemkatalia kumpa mkono siku ya mazishi ya mzee Jumbe basi Shein naye asisaini tena stahiki za huyo mtu.
Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?
Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.
Ndo indirect asiifate tenaKwani Shein anaamua yeye au katiba ya nchi ndo inamfanya asaini
Akili inapata kitu kinachoitwa unwanted guestsunamaanisha nini mkuu
Mswahili sasa yupo huru na wakati wowote unaweza kumuona mitaa ya ilala anakunywa kahawa bila ulinziNaanza kumkumbuka marehemu Chiluba jinsi alivyoingia madarakani na kudharau waliomtangulia kama Mzee Kaunda. Kilichotokea ni kuwa baada ya yeye kuondoka madarakani aliyoyafanya kwa mwenzie yakajirudi kwake na alikaa sana "Segerea" ya Zambia na hakuna aliyemuunga mkono tena akajihisi upweke sana na ndio uliochangia safari yake ya peponi au jehanamu mapema. Madaraka ni dhamana unayoipata miongoni mwa wengi sio ujanja wako, hebu muoneni JK jinsi alivyoishi kwa kauli za hekima kiasi kuwa hata kama kamuumiza mtu bado unamuona binadamu.
Hayo mamlaka akupe nani, we subiria mabosi wako wa lumumba waidhinishe buku7 zako watoto wasilale njaaHata mimi nisinge saini.
Lissu ni zaidi ya mtabiriManeno ya Tundu Lissu yanadhidi kudhihirika.
Mkuu kwenye avatar yangu walibandika neno BANNEDKaka ni kama ulikuwa kifungoni shida nini?
Teeeeeeeh, Teeeeeeeeh, Teeeeeeeeeeh mkuu hilo ni fumbo!!!!Waliomchagua wanajuta!
kuna sheria inasema ni lazima mpeane mikono? lakini hicho anachokisaini kiko kwenye sheria. mkiambiwa mkuu anatumia mamlaka yake kwa utashi wake na sio sheria isemavyo mnakataa. hapa ndio tabia ya mkulu inapoonyesha kwake sheeia sio kitu muhimu sana bali ni kile akipendacho yeye ndio sheria.
utamfanya nini rais ukiweka pending makaratasi yako?kuna sheria inasema ni lazima mpeane mikono? lakini hicho anachokisaini kiko kwenye sheria. mkiambiwa mkuu anatumia mamlaka yake kwa utashi wake na sio sheria isemavyo mnakataa. hapa ndio tabia ya mkulu inapoonyesha kwake sheeia sio kitu muhimu sana bali ni kile akipendacho yeye ndio sheria.