Hakuna nchi yoyote ya kiafrika iliyonyooka na hii haitakuwa ya kwanza.Acha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Kwanza anyooke anaepinda sheria. Ikiwa juu hakujanyooka sembuse ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna nchi yoyote ya kiafrika iliyonyooka na hii haitakuwa ya kwanza.Acha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Mkuu hivi katiba kwa sasa bado inapewa stahiki yake? Kwani wanacholilia wapinzani ni kitu gani kila kukicha?Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshauri Rais wa Zanzibar kuwa kwasababu Shein ndiye anayesaini stahiki za yule aliyemkatalia kumpa mkono siku ya mazishi ya mzee Jumbe basi Shein naye asisaini tena stahiki za huyo mtu.
Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?
Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.
Kwahiyo hayo maalipo ya huyo maalim seif ni hisani ya dr shen?Kutoka Unguja Mh. Rais wetu mpendwa anaongea.... Rais kamshangaa Dr. Shein kwa jinsi gani anaweza kusaini makaratasi ya mtu anayekataa kumpa mkono
Utakaba hadi kivuli ukashtukiwa unapigwa matobo..Hii inaitwa man to man kwenye mpira ukikabwa man to man huwezi funga
Viongozi wa sasa busara imewekwa pembeni ni Jazba na visasi tuDuh! Aisee viongoz ni vizuri wasiwe na hasira kwani uongoz ni busara ndizo zinatakiwa zaidi ktk kufanya maamuzi... Zaidi ya hapo ni kuongeza tatzo na si kutatua tatizo..
Kikubwa ni katiba kuheshimiwa tu lkn kama katiba haipewi heshima yake hayo tuliyosikia zenji basi hata huku bara tutayasikiaHatari sana..,...nafikiri akina lowasa,sumaye watanyanyasika sana kupata haki zao,wawe wepesi kuuambia umma endapo itatokea,mbona hii ni haki ya kisheria!! Kulikoni!!! Sheria yenyewe si ya muungano!!
Kama lile la kupatwa kwa jua?Nchi inaongozwa kwa utashi, kuna giza mbele
Hakika lisemwalo lipo ukiwa na idea ya saikolojia kuling'amua hilo ni rahisi na utajua nini kinamkumbaNinapatwa na mashaka mengi kuwa pengine kuna wakati bob anakuwa sio yeye yaani akili yake inapata intruders. .na hili linasemwasemwa
Nawee tupashe mengine yaliyi jiliNdio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??
Ni heri ya janaTunakokwwnda sijui itakuwaje??!
Kweli hakuna kubembelezana sasaAcha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Bahati mbaya wewe mungu kakunyima elimuHata mimi nisinge saini.
Mlifikiri harakati za UKUTA zilikuwa hazina maana? Magu na katiba wapi na wapi?Forget about katiba na sheria kwa magu. Yeyd anachojua ana poli na jeshi kuifanya Tanzania anayoitaka. So we wait and seeKwani anadhani Dr. Shein anasaini stahiki za mpinzani wake (Maalim Seif) kwa hiyari yake? Huyo baba Jesca hajui kwamba kuna taratibu za kisheria zimewekwa na zimetajwa kwenye katiba kuhusu stahiki za wastaafu level ya Maalim Seif au ndo anadhihirisha ile tabia yake ya kutofuata utawala wa sheria?
Katiba ipi?Kwani Shein anaamua yeye au katiba ya nchi ndo inamfanya asaini
Psychiatric case?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hakika lisemwalo lipo ukiwa na idea ya saikolojia kuling'amua hilo ni rahisi na utajua nini kinamkumba