Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Huyu ni mtaka Shari, fujo, vita ndiyo maana mawazo yake yote yako Rwanda, Somalia,Libya na Iraq na si nje ya hapo
 
Huyu Raisi Mimi namkubali sana!!
Hata Kama Ni Mimi nisingesaini kwakweli!
Nyie mnaopenda kubembelezwa Safari hii mjipange upya!!
 
Hi
Hi fedha za nani?? Ni kodi zetu hizi ndizo anapandishie ngebe!!?? No please tumetengeneza sheria na taratibu namna ya kutumia fedha zetu ZIFUATWE!!
 
Kama ni Rais tu, kwa kweli tumempata!

Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuhusu udhaifu wa katiba yetu na namna inavyoruhusu Rais aliyepo madarakani (nakumbuka alitumia neno "kichaa") kujigeuza kuwa mtawala wa kiimla (ndio mnaita dikteta uchwara?) kwa urahisi sana.
 
Kwa kweli ni MUNGU tu ndo atakaye amua hatma ya Taifa hili .

Maana daaah yamezidi sasa [emoji17]
 
kadri siku zinavyosonga mbele naona huyu mzee anazidi kujidhalilisha kwa kauli zake mbovu....time will tell.
 
Hata Shein sidhani kama yuko sawa! Otherwise hawa jamaa hawajui kuwa wananchi wanawatazama.

Wanachokiongea majukwaani hakuna mwananchi mwenye akili timamu ataona ni sawa!

Naona kama vile wameamua kuwa KAMA NOMA NA IWE NOMA!
 
Binafsi nimejazwa hofu sana na hii hotuba ya Rais Magu, pale kibanda maiti. Anasema anayewagawa watz ni shetan, lakini anakili kuwa yeye ndiye bingwa wa kuwabagua wapinzani wake kwenye serikali yake!
 
Mi nimeangalia taarifa ya habari, nikatokwa machozi. Ee Mungu tudaidie
 
Kwahiyo umesikia peke yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…