Hata mimi nisinge saini.
Watu wanafiki sana tena haswaa hawa wajiitao wapinga kila litendwalo na uongozi was serikali ya awamu ya tano,hv rais kakosea kitu gani? Je,ilikuwa ni busara kwa seif kuukataa mkono wa rais mbele za watu na alikuwa anatoa picha gani kwa kadamnasi? Alifanya udhalikishaji na hyo ni kutokana na dhana yake kuwa hataki kukubali kuwa shein ndiye rais wa znzbar,sasa Leo hii na mijidevu yake kama kiota cha mwanchoko anapeleka fomu zake zisainiwe na MTU asiyemsadiki kuwa rais wake that is totally foolish upon him,next time ajifunze kiburi sio maunguana na nyie nyumbu sio kila jambo mnalisimamia vidole ikiwa hata halina tija acheni uzwazwa
Kama ilivyo haki yake kikatiba Seif kupata stahiki zake pia ni haki kikatiba seif kumpatia heshima rais wa nchi
Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.
Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?
Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.
Kama katika katiba inasema kila raia wa wa Tanzania analazimika kusimama bendera ya nchi inapopandishwa iweje kwa Rais kutopewa heshima yake na kudharauliwa kiasi cha seif kutokumpa mkono mbele za watu na jioni kwenda kudai pesa za matibabuHakuna sheria inayolazimisha viongozi kushikana mikono.
Haki za Seif zipo na zinalindwa kisheria. Kitendo cha kusema makaratasi yasisainiwe kwasababu amekataa kutoa mkono, ni jambo la hatari sana
Haki za watu zinalindwa kikatiba, kama kuna haja sheria zifutwe kwa utaratibu uliopo
Nimesikiliza hotuba za Rais ZNZ kwa mtazamo wangu naona zimeongeza ufa badala ya kuponya
Zimeacha ZNZ kwa makovu makubwa sana na hali itakuwa tatizo kubwa sana
ZNZ imegawanyika kwa kiwango kikubwa, haiwezekani kukawa na kejeli, dharau kisha watu kudhani kuna kuponya tatizo!
Kwahiyo kwako busara ni kurudia uchaguzi?Watu wanafiki sana tena haswaa hawa wajiitao wapinga kila litendwalo na uongozi was serikali ya awamu ya tano,hv rais kakosea kitu gani? Je,ilikuwa ni busara kwa seif kuukataa mkono wa rais mbele za watu na alikuwa anatoa picha gani kwa kadamnasi? Alifanya udhalikishaji na hyo ni kutokana na dhana yake kuwa hataki kukubali kuwa shein ndiye rais wa znzbar,sasa Leo hii na mijidevu yake kama kiota cha mwanchoko anapeleka fomu zake zisainiwe na MTU asiyemsadiki kuwa rais wake that is totally foolish upon him,next time ajifunze kiburi sio maunguana na nyie nyumbu sio kila jambo mnalisimamia vidole ikiwa hata halina tija acheni uzwazwa
Sawam tupe sheria hiyo inayosema ni wajibu wa Rais kupewa mkono?Kama katika katiba inasema kila raia wa wa Tanzania analazimika kusimama bendera ya nchi inapopandishwa iweje kwa Rais kutopewa heshima yake na kudharauliwa kiasi cha seif kutokumpa mkono mbele za watu na jioni kwenda kudai pesa za matibabu
Mzee jk akatuletea janga………¶
Kazi tunayo hadi 2020ndio unamjua leo, sisi tangu kampen zake tunajua ni mtu wa boko
Hata mimi ningemkomoa, si saini mpaka nitakapo jisikia ! .......yaaani nitamcheleweshea weeeh mpaka !Hata mimi nisinge saini.
Kauli zako zinaonekana zina harufu ya utovu wa maadili, hivyo judgement zako zina msukumo wa utukutu tu sio tafakar ya hekima. Kaa pembenSawam tupe sheria hiyo inayosema ni wajibu wa Rais kupewa mkono?
Pili, kuna uhusiano gani wa mikono ya watu wawili na uendeshaji wa nchi?
Tatu, haki za Seif zipo kwa ridhaa ya mtu au zipo kisheria?