Hata mimi nisinge saini.
No hu sign kwakua unampenda au kumchukia, una sign kwakua ni haki yake kikatiba na kwakua hajavunja sheria basi swala la kukataa mkono nikuonyesha kutoridhika kwake, ilibidi asikilizwe na baada ya kusikiliza then ndipo uangalie kama kuna kosa au la na kama kuna kosa basi vyombo vya kusimamia haki vipo... Kuna mambo ya msingi ya kuzingatia, kusimamia haki hata kama inamhusu mtu ambaye hakupendezi wewe binafsi.