Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Tena ya kutisha na kukatisha tamaaTutasikia mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ya kutisha na kukatisha tamaaTutasikia mengi sana
Hahaha endelea kutoamini nchi nzima tumeona sio kusikia tuSiamini kama Rais katoa kauli hiyo, weka clip.. maana kinywa cha Rais hakiwezi kutamka maneno hayo
UnbelievableHahaha endelea kutoamini nchi nzima tumeona sio kusikia tu
Ile picha ya Seif akikataa kuupokea mkono Wa Shein inabidi tuitengenezee T-shirts na kuzivaa kwa wingi ili kuendelea kumkera mkuu.Yeye anamshangaa Shein kusaini makaratasi ya mtu baada ya kukataa kumpa mkono, lakini hashangai yeye aliyejitoa kafara ya kupambana na mafisadi kushiriki ufisadi wa boti bovu la bilioni nane kisha kujikausha kama siye vile, hashangai kuigwaya Lugumi hata kuiogopa kuitaja tu!!! Kweli hawakukosea waliosema ukistaajabu ya Mussa......
Nilistaajabuuu...km mkuu wa nchi sijui anatufundisha nini...angepewa majaribu kama ya Lowassa sijui ingekuwajeUnbelievable
Huyu ana nia mbaya na kuwachonganisha Wazanzibar tu, kauli zake zote ni za ovyo kwa wazanzibar sio za kuunganisha ni za kuwagawa ili aendelee kuwatawala.
Kingine hata ukinyoa nywele na kupunguza ndefu, uchaguzi haurudiwi ng'oo !Kingine amesema kama kuna mtu anamshindwa yeye atatumia dakika 5 tu!
Malipo ya viongozi wastaafu yapp kwenye katiba na hawana namna ya kuyazuiaRais kasema "Kama mtu anakataa mkono wako nawe kataa mkono wake kwa mambo yake, nikuombe nawe uwe unamkatalia mkono wako kufanye mambo yake' Anamuomba Mungu kumpa walau robo ya moyo wa Shein lakini naye ambae walau robo ya mawazo yake."
Wacha kupotosha watu
Si Shein wala Magufuli mwenye uwezo wa Kukataa kusign pesa za Maalim Seif
Atamthibiti nani kama wew na mimi wote tunamwogopa?Hayo maneno ya magufuli hayakuwa maneno ya busara na hekima kama kiongozi wa nchi. Huyu mtu anahitaji kuthibitiwa.
kupewa mkono ni jambo la binafsi kusaini posho ni jambo la kisheria,kutompa mkono, seif hajavunja sheria lakini kutosaini posho atakua kavunja sheria,swali anaevunja na asievunja nani anahatarisha amaniBaadhi ya wanajamii forum mnashangaza et JPM kumwambia Shein asisaini posho za SEIF anajenga chuki lkn SEIF kuukataa mkono wa Shein sio kujenga chuki.
Bwana Mdogo sheria haifanyi kazi kinyumenyumeHiyo sheria ya Seif kulipwa posho iko kwenye bible au Qur'an?
Si inatenguliwa tu anakula jeuri yake au inasainiwa kila baada ya miezi saba.
Mi nakerwa na unafiki tu,kumpongeza Seif kwa kile alichokifanya halafu leo uje kulialia eti rais anachochea mgawanyiko ni upuuzi.
Hawezi kupunguza maana hiyo ndiyo kazi yake inayo muingizia kipatoWe nae tueleze hayo mengine....punguza munkari
Aisee hata mimi nimeshangaa sana[emoji15] [emoji23]Baadhi ya wanajamii forum mnashangaza et JPM kumwambia Shein asisaini posho za SEIF anajenga chuki lkn SEIF kuukataa mkono wa Shein sio kujenga chuki.
Ukibeep .......unapigiwa tu !Too low to argue with me.