Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

ukweli ni kwamba maalimu seif hakutaka unafki hata wasipo saini haki zaki itakuwa ni muendelezo wa zulma tu ila katika dini zote mbili zulma ni thambi kubwa sana fikiria we hapo ulipo aliyekuzulumu utampa hata salamu yako?
Utakuwa ni muendelezo wa kutofuata katiba na watakuwa wanajiandalia njia ya kwenda icc
 
Huu sasa ni uchochezi! kwani alivyosaini kapungukiwa nini.
 
Hayo maneno ya magufuli hayakuwa maneno ya busara na hekima kama kiongozi wa nchi. Huyu mtu anahitaji kuthibitiwa.
Wapemba hawana maana yeyote, usipompigia kura Seif, basi husalimiwi, huzikwi wala huuziwi kitu dukani ! Hata Hotelini wakijua wewe ni CCM huuziwi chakula. Jamaa kwenye matokeo yaliyofutwa waliweka watu wakudhibiti CCM isipigiwe kura ! ........lugha ya Mheshimiwa ndo Wapemba wanaielewa vizuri
 
Bwana Mdogo sheria haifanyi kazi kinyumenyume

Ikatungwa sheria Leo Haiwezi kuhukumu ya JANA.

SHULE SHULE SHULE

You're not serious.

Cheki sheria mpya ya kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii imetungwa lini na inatumika kwa kina nani halafu urudi hapa.
 


Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.

Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?

Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.


Katiba si vikaratasi tu? Muda wa kujali katiba haupo tena.
 
Dini yangu mimi inanifundisha kuwa unafiki ni mmbaya kuliko kitu chochote.Na mtu mnafiki ni muuaji.
Labda nikuulize kidogo hayo Makaratas ya Maalim ambayo Shein anassin,yeye Shein anasain kama nani kwa Maalim ukizingatia kuwa Seif hamtambui Shein na serikali yake.
Sheria inamtaka kusaini
 
Jamani huyu mtu akiachiwa atazidi kuivuruga nchi, ana matatizo makubwa
Kweli kabisa mkuu. Huyu mtu kila akiongea ni visasi na hasira tu. Sijui ni baba wa aina gani. Sijui amelelewa katika mazingira gani? Sijui kweli kama ana imani ya dini yoyote kwasababu dini zote huhubiri upendo, amani, msamaha na mshikamano. Huyu anahubiri visasi, utengano, vitisho, na mabavu! Tulifikaje hapa?!
 


Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.

Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?

Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.

Kama rais hajui kuwa kusaini posho ni jambo la kisheria kwenye mambo mengine inakuwaje
 
Back
Top Bottom