nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,622
Viboflo wasiojua sheria wala kanuni inayowaongoza!! VISASI VISASI VISIRANI TU!!Unayemtukana ni baba yako! Laana hiyo
Unayemtukana ni baba yako! Laana hiyo
Haya bwana , kama muumini wa shetani, umeshinda; kama muumini wa Mungu umeshindwa, kwaheri usiku mwemaHakuna laana mbaya kama kukakataa kumshika mkono rais wa nchi anayesaini posho zako..!
Hata me sisainiii
Haya bwana , kama muumini wa shetani, umeshinda; kama muumini wa Mungu umeshindwa, kwaheri usiku mwema
Nami pia siamini,Siamini kama Rais katoa kauli hiyo, weka clip.. maana kinywa cha Rais hakiwezi kutamka maneno hayo
Hakuna kitu kama hicho ni sawa na kusubiri meli ubungo!!Eti ndo mtu wa kutuvusha TZ ya Viwanda huyu,mweeh!