Mungu alishaitazama tz ndio maana akajibu maombi ya wengi. Kutupa rais anayeweza kutumbua mafisadi na wezi kupitia makontena hewa na wafanyakazi hewa. Unadhani ni uwezo wa binadamu pekeeMungu itazame tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu alishaitazama tz ndio maana akajibu maombi ya wengi. Kutupa rais anayeweza kutumbua mafisadi na wezi kupitia makontena hewa na wafanyakazi hewa. Unadhani ni uwezo wa binadamu pekeeMungu itazame tz
Ewe m mungu iangalie nchi yetu kwa jicho la huruma tumezidiwaNdio madhara ya KUOKOTA urais
Kwa matamko hayo,kwa kupandikiza chuki hivyo,kwa visasi hivyo kweli tutafika uchumi wa kati aaah haaaSema unashindwa wewe sip wengine. Na tunasema aongeze speed. Hii ni ndogo wajameni. Tutafika lini uchumi wa kati kama tukisuasua ?
So unataka nchi upewe wewe ili uifilisi. Mungu yupo pamoja na Taifa. Mtasema sana lakini hamtafanikiwaJamani huyu mtu akiachiwa atazidi kuivuruga nchi, ana matatizo makubwa
Tuambie wewe nini kingine umekiona beneficial..Ndio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??
Chuki iko wapi uliyoiona. Mbona aliyekataa kumpa mkono rais hamumsemi kama anapandikiza chuki. Acheni upuuz.Kwa matamko hayo,kwa kupandikiza chuki hivyo,kwa visasi hivyo kweli tutafika uchumi wa kati aaah haaa
Wewe utakuwa ni mwanaLUMUMBA.Mungu alishaitazama tz ndio maana akajibu maombi ya wengi. Kutupa rais anayeweza kutumbua mafisadi na wezi kupitia makontena hewa na wafanyakazi hewa. Unadhani ni uwezo wa binadamu pekee
Ndio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??
Ila si mlikua mnamtukana kila siku, sasa fungeni breakhebu muoneni JK jinsi alivyoishi kwa kauli za hekima kiasi kuwa hata kama kamuumiza mtu bado unamuona binadamu.
Siyo usingetoa ndogo [emoji4]Hata mimi nisinge saini.
Ndio tatizo la upinzani wa Tanzania, kosa likifanywa na upinzani, Wanapongez, ila serikali ikikaza wanalaum sanaChuki iko wapi uliyoiona. Mbona aliyekataa kumpa mkono rais hamumsemi kama anapandikiza chuki. Acheni upuuz.
Isimseme vibaya MtukufuSorry mtoa mada,ili iitwe habari inatakiwa ikidhi vigezo vipi?