Anonymous xNani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anonymous xNani?
Maskini Magu afadhali asingekuwa Rais ameharibu kila kitu!! tumemwona katika udhaifu wote. JK welcome back awamu ya tatu yako
Wewe ukiajiriwa huwezi kusema hulazimiki kufanya kazi. Kumtaka ndio lazima yenyewe kwani ndiyo kazi yake anayolipwa kwayo. Rais anafanya kazi kwa mujibu wa katiba, sheria na taratibu sio kwamba anafanya jinsi anavyotaka yeye. Akifanya kwa jinsi anavyotaka yeye ndio utaona matokeo kama ya sinto fahamu ya hivi karibuni ya maandamano na mikutano ya siasa.ila haimlazimishi ! ......maana hakuna adhabu ikiacha
Hahahaa. ungejua. Ni mpinzani ambaye nimebadilika fikra! Zenye mashiko na uzalendo kwa nchi yangu. Tunashuhudia kabisa upinzani wa kweli ni ule uliokuwepo wakati wa Dr Slaa na Prof Lipumba. Na ndio maana wanaonekana ni hatari kwa maslahi ya baadhi yao wakaamua kutafuta mbinu za kuwapiga chini. Uliobaki sasa sio upinzani ni upingaji tu. Wengi wao ni wasaka tonge tu. Eti mtu bila tafakuri yoyote unaamua kubadilishia gia angani na kupiga chini ajenda ya ufisadi hivihivi. Kisa eti tumemsafisha. Yuleyule ambaye tulikuwa tukimwita fisadi kwa zaidi ya miaka nane wajameni. Hatutasahau kamwe tendo hili katika historia ya nchi yetu. Na tutawarithisha vizazi vijavyo matendo haya makuu ya ukosefu wa maadili yaliyotokeaWewe utakuwa ni mwanaLUMUMBA.
I can guess. Huyo jamaa aliyechoma nauli ya ndege kuja kumpigia kura mkubwa lakini sasa anajuta. Ila amefunguka vizuri tu kwa uwazi kwakuwa hata mkubwa mwenyewe si huwa anasema nasema kweli na msema kweli ni mpenzi wa MunguAnonymous x
Ile picha ya Seif akikataa kuupokea mkono Wa Shein inabidi tuitengenezee T-shirts na kuzivaa kwa wingi ili kuendelea kumkera mkuu.
Angalau tupate na sisi kitu cha kumkera.
Ujinga upi?Nyie mna matatizo sana. Yaani Maalim Seif afanye ujinga kisha aachwe tu kwa vile ana haki ya kupokea mafao?
Very sad bro..Hajui kuchuja maneno...hana maono wala dira..kwake linalomwijia kichwan anaropoka..hili ni tatizo kubwa na kwa mtindo huu wa kauli za kibabe wala hawezi kulisogeza taifa mbele..leo ukweli unaanza kujidhihili...uchumi wa nchi uko hovyo sana..lakin yy bado ni majigambo ..
Hotuba zake huwezi kuzifanyia marejeo zimejaa ubinafsi..mimi ndio rais..mimi ndio rais..huku akitafuta umaarufu kwa watanzania wajinga wanaomshukuru kwa kuliwezesha tukio la kupatwa kwa jua kutokea nchini...
Si kila msitu ni kwa ajili ya kila nyani..hata nafasi ya urais si kwa kila mtu wa aina yake..ajifunze kuliunganisha taifa na sio kuligawa..asifikir yeye ana akili sana kuliko watanzania wengine..zile pushups na kupita juu ya roof ya gari vinasadifu aina ya mtu tulie nae..
Kwa bahati mbaya hata waziri mkuu nae kawa kimya na kwa hali ilivyo inaonekana ni mtu wa kuburuzwa asiyeweza mshauri rais ipasavyo..yupo yupo tu anahangaika..
Ziara yake zanzibar imetia chumvi kwenye kidonda...mambo ya ajabu sana..
Mlioushangilia wakatoliki and ule wa mazishi ya Aboud JumbeUjinga upi?
Wakati wa kupokea buku saba?Hata mimi nisinge saini.
Hahahahahah,yaani mtu ukichoka bwn unaweza fanya lolote etiI can guess. Huyo jamaa aliyechoma nauli ya ndege kuja kumpigia kura mkubwa lakini sasa anajuta. Ila amefunguka vizuri tu kwa uwazi kwakuwa hata mkubwa mwenyewe si huwa anasema nasema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Hii inaweza kuwa kali sana kuliko hata t-shirt za UtakuWazo zuri sana hili.
vipi hua haulambi lambi na lips? kukata kata vi jani je? wanaume wengine bwana!!Tatizo Rais anaongeaga mambo bila kutafakari,hiyo sio hiyari yake!Ni takwa la kikatiba!Hutasaini ataenda mahakamani na mahakama itaamuru apewe stahiki zake,au utaigomea na mahakama pia?Huu ukurupukaji na matamko ya mwendokasi kufurahisha halaiki hayana msingi na yanamtia aibu Rais!Rais anaongea watu tunaoelewa tunainamisha vichwa chini kwa aibu!
Hivi huwa anapata muda wa kutafakari matamko yake? Au bora liende!!
.........aliouanzisha Seif na wapemba wake !Rais anaendeleza mgawanyiko
atasubiri sheria impe, akikufanya wa nini na wewe mfanye wa kazi gani !haaaaaaaaaa kwan yy ndo anaamua nan apate posho au n sheria????