TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

Mwifwa
Kama ni hivyo atakuwa ni mwanaccm pekee mwenye uungwana!

Hebu jaribu ku-imagine, Jeshi la Polisi lilipiga marufuku hata uvaaji wa T/Shirt, zilizoandikwa We pray for Lissu!
Mkuu Mbona Umesema ni "pekee".

Wako wanaCCM wengi wenye UTU kama walivyo ndani ya CHADEMA na kwingineko.

With all these differences, As A Nation, We shall overcome, aamen.
 
Apumzike kwa amani ndg Turki , bila shaka Lissu alipokuwa Zanzibar alisema nae chochote
Lissu hana shukrani aliendelea kuponda CCM hata Kama walimsaidia. Mbowe mwongo hakutoa chochote Hadi turky akawasaidia ndege ya rafiki zake akawahishwa Nairobi kwa matibabu zaidi Hadi leo kapona kwa msaada wa Wana CCM. Turky alitoa ndege alikuwa mbunge wa CCM chadema mlikuwa wapi?
 
Lissu Hana shukrani aliendelea kuponda CCM hata Kama walimsaidia. Mbowe mwongo hakutoa chochote Hadi turky akawasaidia ndege ya rafiki zake akawahishwa Nairobi kwa matibabu zaidi Hadi leo kapona kwa msaada wa Wana CCM. Turky alitoa ndege alikuwa mbunge wa CCM chadema mlikuwa wapi?

..TL alimshukuru Mh.Turky ktk ufunguzi wa kampeni za Chadema.
 
Mwifwa
Kama ni hivyo atakuwa ni mwanaccm pekee mwenye uungwana!

Hebu jaribu ku-imagine, Jeshi la Polisi lilipiga marufuku hata uvaaji wa T/Shirt, zilizoandikwa We pray for Lissu!

Hawa maccm ni mashetani ya aina yake, hata kuzuia kutomtakia kupona haraka kwa Tundu Lissu, alipojeruhiwa vibaya kwa risasi, katika tukio "lililopangwa"
Mambo mengine mngewaelewa chadema mngewapiga mawe akina Mbowe. Wana CCM walitoa ndege kumuwahisha Lissu Nairobi, Mbowe na genge lake wakawa wanagombea kukaa Nairobi ili walipwe posho kukaa na mgonjwa Hadi Mke wa Lissu akakasirika.
Leo Turky kafariki Siri zinawekwa hadharani.
 
Kweli we ni kazi na si kadh hlo jina halifanan nawe kamwe
Mambo mengine mngewaelewa chadema mngewapiga mawe akina Mbowe. Wana CCM walitoa ndege kumuwahisha Lissu Nairobi, Mbowe na genge lake wakawa wanagombea kukaa Nairobi ili walipwe posho kukaa na mgonjwa Hadi Mke wa Lissu akakasirika.
Leo Turky kafariki Siri zinawekwa hadharani.
 
Mambo mengine mngewaelewa chadema mngewapiga mawe akina Mbowe. Wana CCM walitoa ndege kumuwahisha Lissu Nairobi, Mbowe na genge lake wakawa wanagombea kukaa Nairobi ili walipwe posho kukaa na mgonjwa Hadi Mke wa Lissu akakasirika.
Leo Turky kafariki Siri zinawekwa hadharani.
Lissu aliposhambuliwa Watanzania wengi (wakiwemo CCM, CDM, CUF, ACT, wasio na vyama ,nk, akina Ndugai, Tulia, Ummy, Turky, nk) wali-react naturally kibinadamu kama binadamu mwadilifu anavyo-react kwa matukio ya nmana hiyo: walisikitika na kila mmoja akitafuta jinsi gani ya kuokoa maisha ya mhanga huyo! Ilikuwa ni baada ya siku chache bosi wao alipoonesha bila kificho kuwa hakufurahia kunusurika kwa mtu huyo, ndipo walipoanza nao kulazimisha moyo wa kishetani (ili wasipoteze ulaji wao) hadi kufikia kumfanyia dhihaka na hatimaye kumvua ubunge wake. Kumbuka kuwa ni Bw. Nyalandu mwana CCM pekee aliyesema liwalo naliwe nitaendelea kuonesha kujali na kulaani udhalimu huu, na matokeo yake ilibidi aondoke CCM!! Duniani kuna binadamu wanyama, ambao kila Jumapili au Ijumaa hutaka public iwaone kuwa ni watu wa Mungu lakini ni wanyama, ni wanyama, ni wanyama. Huwa natamani Mungu awape adhabu wakiwa bado hapa hapa duniani.
 
Mambo mengine mngewaelewa chadema mngewapiga mawe akina Mbowe. Wana CCM walitoa ndege kumuwahisha Lissu Nairobi, Mbowe na genge lake wakawa wanagombea kukaa Nairobi ili walipwe posho kukaa na mgonjwa Hadi Mke wa Lissu akakasirika.
Leo Turky kafariki Siri zinawekwa hadharani.

Ndege haikutolewa na CCM imetolewa na Turky kama Turky
 
Mwaka 2017 Lissu aliposhambuliwa kwa risasi, Turky alitafuta ndege iliyompeleka Lissu Nairobi na kuwa mdhamana wa deni la kukodi ndege iliyokuwa inamilikiwa na FlyghtLink ambao ni jamaa zake katika biashara.[emoji1536][emoji1545]
 
RIP kiongozi. Naona waungwana wanashadidia kukodisha ndege ya kumpeleka Lissu Nairobi 2017, kama kazi kubwa aliyofanya wakati wa uhai wake.
 
Back
Top Bottom