Zanzibar: Serikali yalaani vitendo vya unyanyasaji wa kidini vinavyoendelea visiwani

Zanzibar: Serikali yalaani vitendo vya unyanyasaji wa kidini vinavyoendelea visiwani

Kufunga ni pamoja na kushinda tamaa,
Kama umefunga Lakini mtu akila ugali kuku mbele Yako unaona kama roho inataka kutoka ..
Jikaze ndio mfungo huo
Hii inathibitisha kuwa baadhi ya ndugu zetu waislam wanajinyima kula ili kutengeneza afya zao, ila sio imani zao. Yaani mtu kafunga, lakini akiniona nakula anapata kihoro, anashikwa na tamaa, anapata hasira kwa nini mimi nakula yeye ana njaa, huyo anashinda njaa tu hana lolote analofanya kiimani. Aungane na mimi tupige ugali samaki asijishindishe njaa.

Kazini kwangu kuna jamaa toka Tanga, yeye hataki unafiki wala hajifichi, lunch time anaagiza msosi wake anakula tena mbele za watu. Kufunga ni imani ya mtu.
 
Inalaani halafu haichukui hatua ni upuuzi, a failed state
 
Serikali imekamata watu waliokuwa wanapika chakula majumbani mwao na kuwatoza faini 50000/- kila mmoja. Sasa serikali gani iliyowatoza hao mama ntilie?
Ukiisoma vizuri hiyo barua, ni kama inamaanisha kuwa wanaoenda kinyume na inavyotakiwa kwny mwezi mtukufu ndiyo itawachukulia hatua, ikiwemo wanaokula waziwazi.
 
Muda wote Serikali ilikuwa wapi? Kwanini walikaa kimya kwa muda zaidi ya siku 4? Walikuwa wanasubiri watu waumizwe na kudhalilishwa kwanza?
 
Kulingana na waraka huo, anayeingilia uhuru wa kuabudu wa mtu mwingine, ni anayekula hadharani wakati wa mfungo.

Swali linabaki pale pale, Sheria inasemaje?

Na Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini?
Hilo tamko limekaa Very strategic.

Namna Msomaji atavyoelewa ndio hivyo hivyo litakavyomaanisha.
 
Hilo tamko limekaa Very strategic.

Namna Msomaji atavyoelewa ndio hivyo hivyo litakavyomaanisha.
Limeandikwa kimtego,

Jambo zuri ni kuwa haipo back up ya kisheria Wala Katiba,

Ni tamaduni tu za Walio wengi.

Kuwa wengi Si kigezo cha kusumbua Wachache.

Tuvumiliane.
 
Kama SMZ ina nia ya dhati ya kukomesha hili ni rahisi.

Ichukue vijana pale Lugalo wavae kiraia watapakae Mjini Magharibi wakila ovyo mitaani.

Hao wanaopiga watu huku wana njaa zao kali hawatokaa wapige mtu tena.
Ndio ccm inavyofanya kila wakati wa uchaguzi. Hili limepelekea majaji, ubakaji na wizi wa mali. Mwananchi unapokuwa na mtazamo kama huu, inakatisha tamaa kama hili taifa litafika wakati likaheshimu katiba, sheria na zaidi utu wa Mtz.
 
Serikali ya kijinga, polisi wana toa tamko kuwa tume wakanata waliokula hadharani ina maana hata polisi hawajui katiba ya nchi?
 
Sehem ya kuchukua hatua ina laani?. Pumbavu kabisa...
 
IMG_5030.png
 
Back
Top Bottom