Kwani yeye amekataa kulipa huo ushuru, punguzeni umaskini tenga 30 za ndizi nayo ni ishu ya kushughulikiwa na waziri??? hawana kazi za kufanya? au ndio maana kila mara wanafuatana na rais wa muungano kila anapoenda bara.unfair kivipi mbona bidhaa ikitoka Zanzibar kuja bara inalipiwa kodi.
Hata kama angemlazimisha kurudi bara na ndizi zake ingekuwa bora sio kumfanyia ukatiri kama huo.Kama soko aliitaji ndizi za bara sasa siwamuache zimdodee apate asala ili siku nyingine asilete bidhaa hizo, mfanyabiashara mpaka kuipeleka bidhaa sokoni kaona bidhaa inalipa na kuna wanunuzj, huyo waziri mjinga yeye anatakiwa atulie aache soko liamue .
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Wewe unataka meli nzima izamishwe!!Namshauri huyu mama aachane na ndizi. Sasa awe anapeleka kitimoto (nyama ya nguruwe).
Wakishalipa kodi wananyang'anywa bidhaa zao? Hivi umelewa context ya unyanganyi aliofanyiwa huyo mama. Kalipia vibali vyote na kodi na bado kaporwa bidhaa zake kwa sababu ya kijinga kabisa eti "soko la ndani la Zanzibar halihitaji ndizi za bara" kama ni kweli wangemwachia ndizi zake zingekosa wanunuzi zioze siyo kumnyang'anyaunfair kivipi mbona bidhaa ikitoka Zanzibar kuja bara inalipiwa kodi.
Vivyo hivyo hata bara tukitoa mzigo zenji unalipishwa kodiKwanini wazanzibari wakiingiza bidhaa bara wanalipishwa kodi?
Zamani tulikuwa tunaenda zenji na passportHizi ni nchi mbili tofauti
Enzi za Simba wa yuda ujinga kama huu haukuwepo!!!
Je anahitajika simba wa yuda Mwingine!!?
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu tuipendayo Sana!
Unakumbuka sukari kutoka Zanzibar ilivyo pigwa marufuku kuingia bara?umewahi kusikia waziri wa bara kataifisha vitu vya wapemba? We unaona huyu waziri katumia akili za utu hapo? Kama hawataki ndizi ndio ataifishe?...huyo mama mpaka anafika hapo sokoni hakupita kwenye mamlaka za ukaguzi? Maswali ni mengi ila wazanzibar ni watu wa HOVYO
Unakumbuka sukari kutoka Zanzibar ilivyo pigwa marufuku kuingia bara?Mbona ardhi mnamiliki bara wapemba kwenu hamruhusu, hiyo ni fair!?
Mzenji anakuwa mpaka raisi wa bara, mbara haruhusiwi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi hiyo ni fair!?
Wakina shaka na hangaya wanakula mema ya bara, mbara ananyang'anywa ndizi zake hiyo ni fair!?
Anyway ikifika uchaguzi huwa mnalipa gharama
Mbona mnakuwa wajinga. Bidhaa za kilimo ambazo si za nafaka, embe, ndizi na matunda mengine na mboga mboga ukileta znz au ukileta Tanzania bara zinahitaji kibali maalum. Kama huna hicho basi ni kosa kuingiza.
Hivi hamjiulizi kwanini maji ya kunywa ya znz huyakuti Tanzania Bara au sukari ya Znz si ruhusa kuingiza Tanzania bara. Wacheni mihemko ya kipuuzi na ujuaji ambao unatokana na ujinga wenu. Na kuchochea zana potofu kwa sababu mama yupo raisi na mzanzibar. Tangu mwenda zake yupo madarakani huwezi kuiona ndizi kutoka Tanzania bara ikiuzwa Zanzibar.
Tafuteni jengine
Tulisema samia hakuna chochote alicho tatua kwenye muungano bali kachochea matatizo zaidi....Saa 100 hafai kuongoza binadamu labda nguruwe tuKoti La Muungano Limeshambana Mvaaji Muda Mrefu
Umemsahau mwingereza aliyemweka madarakani Nyerere baada kupinduliwa ???... Nyerere na CIA watuombe msamaha watanganyika
Upofu wa macho na akili!Issue za kitoto
ye huyo ndio alikuwa jambazi kuuEnzi za Simba wa yuda ujinga kama huu haukuwepo!!!
Je anahitajika simba wa yuda Mwingine!!?
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu tuipendayo Sana!
Nioneshe rais wa jamhuri ya muungano wa TanzaniaHangaya